Jana kwenye kipindi cha ITV nilimsikia waziri Selemani Jafo akisema shule za umma zimeboreshwa sana hivyo anategemea shule nyingi za binafsi zitashindwa kujiendesha na kufa.
Kwakweli mawazo haya yamenistua hasa kutolewa na kiongozi kijana kama Selemani Jafo. Nilitegemea kaja na mawazo mbadala kuhakikisha shule binafsi zinaboreka na kujiendesha sawa na shule za umma kwani lengo lao ni moja kuelimisha nguvu kazi ya Tanzania.
Nilitegemea kaja na wazo la kuzipatia shule binafsi ruzuku angalau nao wazikarabati shule zao ziendane na shule za umma.
Naimani shule binafsi zikipewa ruzuku ya elfu hamsini kwa kila mtoto wataweza kusomesha watoto bure sawa na shule za serikali.
Kwakweli mawazo haya yamenistua hasa kutolewa na kiongozi kijana kama Selemani Jafo. Nilitegemea kaja na mawazo mbadala kuhakikisha shule binafsi zinaboreka na kujiendesha sawa na shule za umma kwani lengo lao ni moja kuelimisha nguvu kazi ya Tanzania.
Nilitegemea kaja na wazo la kuzipatia shule binafsi ruzuku angalau nao wazikarabati shule zao ziendane na shule za umma.
Naimani shule binafsi zikipewa ruzuku ya elfu hamsini kwa kila mtoto wataweza kusomesha watoto bure sawa na shule za serikali.