Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,478
- 39,996
Nimepata picha ya eneo la tukio, kwa kweli inasikitisha sana. Sijui kama kuiweka hapa itakuwa sawasawa kwani sehemu ya mwili wa Marehemu inaonekana.
Iweke lakini iwe kwa muda tu (say 7:00PM EST)halafu uiondoe
i dont understand!!!!
Nimepata picha ya eneo la tukio, kwa kweli inasikitisha sana. Sijui kama kuiweka hapa itakuwa sawasawa kwani sehemu ya mwili wa Marehemu inaonekana.
...duuu masikini ..he was a very nice and potential lady....jamani ,..HIZI SAFARI ZA KUPITA MIKOANI KUMALIZA KIRUSI CHA WAPINZANI NI KIBARUA KIZITO....nilikuwa naongea na muhashimiwa mmoja kabla ya hizi ziara akaniambia inabidi kuwaombea sana maana mizunguko ya mokoani ni migumu na barabara ni mbaya...