Kisura
JF-Expert Member
- Jun 21, 2007
- 364
- 26
Kisura Iam so sorry to write this: "uliyoyaandika hapo juu ni UNAFIKI WA HALI YAJUU! eti alikuwa na roho ya upendo lakini alikuwa anaogopwa" Kauli kama hizo ni mbaya saana. Kwa nini watu tunapenda kuwa wanafiki? we sema pole thats enough kila mtu atakuelewa. WATANZANIA TUMEZIDI KWA UNAFIKI, MPAKA LINI?.
Again Iam sory kukujulisha haya niliyoyaandika. But Iwas unconfortable na nimeona nikwambie tuu.
Unafiki? Kwasababu mtu akifa haturuhusiwi kusema tunacho-feel ? nani anasema haya? Anyhow, you can be un comfortable any way you can,Its your right.
Pole nimeitoa, na kumjua Mama Mbatia the way alivyokuwa, I will say it, anytime. This is my approach and the way to sympathize with the loss and remember who she was. If it hurts you, I am sorry, kila mtu ana njia yake ya ku-mourn. And you mister, cannot tell me otherwise. Deal with this your way, and I will my way. This is not unafiki under any circumstances.
Pole sana baba kwa hii loss, same goes to the nation.