TANZIA Waziri Salome Mbatia afariki dunia, maswali yaibuka!

Kisura Iam so sorry to write this: "uliyoyaandika hapo juu ni UNAFIKI WA HALI YAJUU! eti alikuwa na roho ya upendo lakini alikuwa anaogopwa" Kauli kama hizo ni mbaya saana. Kwa nini watu tunapenda kuwa wanafiki? we sema pole thats enough kila mtu atakuelewa. WATANZANIA TUMEZIDI KWA UNAFIKI, MPAKA LINI?.

Again Iam sory kukujulisha haya niliyoyaandika. But Iwas unconfortable na nimeona nikwambie tuu.

Unafiki? Kwasababu mtu akifa haturuhusiwi kusema tunacho-feel ? nani anasema haya? Anyhow, you can be un comfortable any way you can,It’s your right.

Pole nimeitoa, na kumjua Mama Mbatia the way alivyokuwa, I will say it, anytime. This is my approach and the way to sympathize with the loss and remember who she was. If it hurts you, I am sorry, kila mtu ana njia yake ya ku-mourn. And you mister, cannot tell me otherwise. Deal with this your way, and I will my way. This is not unafiki under any circumstances.

Pole sana baba kwa hii loss, same goes to the nation.
 
Mkubwa M,kijiji Sasa Tutapoteza Imani Nawe Kama Tulivyopoteza Imani Kwa Mungwana,mkubwa Huku Kwetu Wengine Ni Usiku Wa Manane Mkubwa Tusaidie Hizo Picha
 
jamboonormal_pichayaajali.jpg

Picha ya Ajali ya Bi. Salome Mbatia jioni ya leo...

Mungu azilaze roho za marehemu wote pema peponi, Amina
 
hapana mwanakijiji, watu wako conscious na hiyo picha, na hiyo ilikuwa tu namna ya kuexpress his/her feeling.

asante sana mwanakijiji kwa kazi yako nzuri
 
Hiyo picha bora uitoe,hutawatendea haki wanafamilia wa Mbatia kwa kuiweka hapo.Inatisha sana.
 
kuna aliyepata taarifa za mazishi ni lini?na mauungwana ataweza kuudhuria wakati tunamsindikiza mpendwa mama yetu katika pumziko la milele,
 
Nyuma ya gari la Mbatia kulikua na gari la Zitto na nyuma ya gari la Zitto kulikua na gari la Naibu waziri David Mathayo... Zitto ndiye aliyebeba majeruhi wa gari lory bila kujua waliokuamo katika NISAN ni kina nani..

jamani hii ni hatari-R.I.P SALOME
 
mhm, mi nikisikia kifo bana, yaani hata kama mtu simjui basi atari tup ! rest in peace mama salome mbatia !
 
Yeah, its too..what! nadhani bora aitoe tu maana nadhani hata mimi itaniletea mauza uza usiku huu!

RIP

Huu ndio uswahili, nimewaambia ni picha ya ajali, mlidhania ni picha ya harusi? Nilitoa muda mrefu wa watu kuamua na hakuna aliyepinga sasa mmeiona ati "inatisha"... mlidhania watu wako mezani wanakula?
 
Back
Top Bottom