Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,476
- 39,995
Mungu ailaze Roho ya Marehemu mahala pema peponi...
Nyuma ya gari la Mbatia kulikua na gari la Zitto na nyuma ya gari la Zitto kulikua na gari la Naibu waziri David Mathayo... Zitto ndiye aliyebeba majeruhi wa gari lory bila kujua waliokuamo katika NISAN ni kina nani..
Nyuma ya gari la Mbatia kulikua na gari la Zitto na nyuma ya gari la Zitto kulikua na gari la Naibu waziri David Mathayo... Zitto ndiye aliyebeba majeruhi wa gari lory bila kujua waliokuamo katika NISAN ni kina nani..
Oh man!!! walikuwa wote kwenye msafara mmoja?
1. Hili zimwi la ajali kwa vingozi hii awamu ya JK sasa imezidi. Why katika hii awamu ajali zimezidi? Sijafanya uchunguzi ...sioni kama kiwango cha ajali kwa viongozi wakati wa BMW na AHM kilikuwa kikubwa hivi. Kulikoni? Serikali inahitaji maombi maalum over ajali hizi?
2. Nawapeni pole wafiwa- Mungu awatie nguvu wakati huu wa majonzi!
Mungu ailaze Roho ya Marehemu mahala pema peponi...