Katavi
Platinum Member
- Aug 31, 2009
- 41,983
- 12,703
Huko hakugusikiAkitoka TBC aende Tanzania Football Association.(TFF)
Huko hakugusikiAkitoka TBC aende Tanzania Football Association.(TFF)
Hapo sasa halafu tujiulize unafukuza watumishi leo ni lini uliwapangia majukumu mpaka uone mapungufu yao ukizingatia huo uwaziri wa NAPE hauna hata miezi miwili.SUGU alikuwa sahihi aliposema mawaziri wanaongozwa na MIZUKA .Mgonjwa anafukuza wagonjwa wenzake
hili nalo nenowatakuwa walikuwa wanalazimisha bunge lioneshwe live hawa. Haya hongera waziri Nape.
Huyu yuko juu ya mamlaka yake, hawezi kumfukuza labda amesha muomba JPM acheze nae. yote hii ni kulazimisha TBC kuendeshwa kisiasa. Naiona TBC ikienda kuwa kama gazeti la Uhuru na mzalendo. Magazeti ya kufungia maandazi na vitumbua.
Mimi sikumbuki ni lini nimefungua station ya TBC.
Duh ... yaani hapa ndio mie nachanganyikiwa kabisa kama sio kukanganyikiwa; hivi bosi wa TBS ni nani hasa kiutendaji na kuwajibikaji, ni waziri? Kwani ndiye aliyeteua hao watendaji? Vipi nafasi ya bodi ya TBC na management yake, yaani mtu yeyote anaweza kuja na kusema tu, "Hamna kazi ..." ili mradi yupo juu? Ni ipi nafasi na mgawanyo wa madaraka wa mihimili ya dola; serikali (executive arm), mahakama (judicial arm) na bunge (legislative arm)?Just in:
Waziri wa Habari, Utamaduni, Michezo na Wasanii, Ndg Nape Nnauye amewasimamisha kazi Mkurugenzi wa Idara ya Habari na Matukio wa TBC Mbwilo Kitujime na Meneja wa Vipindi wa shirika hilo Bi. Edna Rajab na kuagiza kufumuliwa kwa Idara nzima ya habari na matukio ya TBC kutokana na utendaji usioridhisha.
Naona ndio utaratibu wao siku hizi maana mie nilisangaa kumsikia waziri Muhongo ,pamoja na usomi wake, akitoa maelekezo kwa mameneja wa mikoa wa TANESCO ya kiutendaji!Kama hii habari ni ya kweli, basi Nape atakuwa amefanya makosa sana.
Waziri alitakiwa ku-deal na Mkurugenzi mkuu wa TBC na sio mfanyakazi mmoja mmoja ndani ya shirika.
Huku ni kuingilia utaratibu wa ndani, au aseme kabisa kuanzia sasA kila idara ndani ya TBC itakuwa inareport moja kwa moja Wizara na sio kwa Mkurugenzi Mkuu.
Si tunaambiwa Mungu alimfukuza shetani!!!!!!!!!!!!!Aiseee! inashangaza kufukuzana kazi imekuwa ni utendaji ulio tukuka.
Wakuu wa wilaya walipoanza mechi hii watu na taasisi nyingi tu zilipiga kelele. Mechi imehamia kwa mawaziri tena kwa bao mbili mbli, watu na taasisi zile zile kimya.Kusimamishwa kazi kwa watumishi kumezidi sasa.
Hahahaa..... Serikali ya awamu hii inavunja rekodi ya kusimamisha watendaji wengi katika kipindi kifupi sana.Wakuu wa wilaya walipoanza mechi hii watu na taasisi nyingi tu zilipiga kelele. Mechi imehamia kwa mawaziri tena kwa bao mbili mbli, watu na taasisi zile zile kimya.