NgomaNgumu
Senior Member
- Nov 20, 2010
- 194
- 24
JAMAA KILAZA WA UKWELI!! presentation imeandikwa zanzibar, ila kwakuwa yeye ni kilaza anajua ni zimbabwe!! sio siri, jamaa kachemka, hata usomaji wake hajiamini, mcheki presentation gani anasoma macho muda wote kwenye paper, si anatakiwa kuwaangalia wasikilizaji wake!
Masikini mbavu zangu............ Haaaaaa siwezi.... Hivi hii kitu ilikua kweli au watu manamtania! kweli tumefikia hapa? Sasa mtu kama huyu unategemea ataleta miundombinu gani kwenye elimu? mtu kama huyu kweli anaweza kua na habari hata na hiyo kazi zaidi ya kusubiri mshahara! Inawezekana ukaingia kazini hujui baadhi ya mambo, basi fanya bidii ili ufikie kiwango. Apelekwe akasome lakin tusitegemee maendeleo yoyote ya elimu kwa mtu kama huyu. Aaaaaaaaaaaaaaaaa this is too much! nimewahi kukutana na watu wazugaji lakin kama yakifanywa mashindano huyu wakimnyima ushindi watakua wamemuonea au wamechakachua