Waziri Mulugo: Tanzania ilitokana na muungano wa visiwa vya Pemba na Zimbabwe

"Tanzania was formed in one nineteen sixty four by unifying the indian ocean islands of zimbabwe and pemba"'-Hon Mulugo Philipo Augustino Dep. Minister of Education
 
  • Thanks
Reactions: EMT
uwiiii,nimecheka sana, hako kasehemu anakosema tanzania is a unity of zimbabwe and pemba kangefanywa ringtone ya aina fulani hivi
 


Duh, Mulugo analiaibisha Taifa, Tanzania ilitokana na muungano wa visiwa vya Pemba na Zimbabwe.... nani amemuandalia huyu hii hotuba? Mungu wangu, anakuwaje waziri wa Elimu huyu ilihali yeye mwenyewe Elimu yake ina walakini? Hawezi hata kulocate Zimbabwe katika ramani ya dunia?


Issue ni kwamba aliyeandaa aliandika right info kwenye supposed presentation lakini yeye sijui alikuwa anasoma kitu gani, hata hakuweza kushtuka kama alichemsha. Na sijui ni nani alimfundisha kuwa presentation unasoma every single word. Presentation inatakiwa kuwa na main issues/points na presenter kazi yake ni kuweka nyama kwa kutoa maelezo zaidi. Na huyo ni waziri wa elimu....duh kazi tunayo.
 
Last edited by a moderator:
Hivi huyu Waziri ni MUISLAMU au vipi Maana Waislamu ndio hua wanaishia Elimu za Madrasa tu; hawasomi sana!!! Teh!
 
Mawaziri lazima wachaguliwe vilaza hasa wa elimu kwani, elimu ikiwa bora RIZ ONE atapata usumbufu kuja kuomba kura kwa wasomi wazuri
 
Mbona ile Power Point imeandikwa Pemba & Zanzibar lakini yeye akasema Zimbabwe & Pemba.

Speech yake kwa maandishi or powepoint hii hapa: http://africanbrains.net/ia/wp-cont...ducation-and-Vocational-Training-Tanzania.pdf.

Ukiisoma imeandikwa kuwa "Tanzania was formed in 1964 by unifying the Indian Ocean Islands of Pemba and Zanzibar and the mainland territory formerly known as Tanganyika."

Unless imekuwa edited baada ya kusomwa, tatizo siyo la aliyoiandaa bali aliyeisoma maana msomaji, for whatever reasons, ali-substitute "Zanzibar" for "Zimbabwe".

Absolutely shocking!
 


Duh, Mulugo analiaibisha Taifa, Tanzania ilitokana na muungano wa visiwa vya Pemba na Zimbabwe.... nani amemuandalia huyu hii hotuba? Mungu wangu, anakuwaje waziri wa Elimu huyu ilihali yeye mwenyewe Elimu yake ina walakini? Hawezi hata kulocate Zimbabwe katika ramani ya dunia?


Duuh !!! hii kali. Jamani sio lazima kiongozi kuongea lugha ya kigeni kama hana uwezo wa kutosha katika hiyo lugha...
 
Last edited by a moderator:
Kazi pevu, kwa nini asiombe hata katibu mkuu akatoe presentation? Hii ni aibu ya ajabu, kwa nini hakuomba kuzungumza kiswahili? Ila ukicheka na kushangaa ya huyu vipi ya Prof Makame wa sayansi na teknolojia, yaani anashindwa kuongea bungeni mpaka anakosea majina na kutukana. Yeye naye naye ni zero nyingine, naibu wake anamzidi kwa mbali katika kujieleza na kujibu hoja
 
Hao ndio viongozi tunaotegenea watuletee maendeleo. Ndio maana Tanzania Ina mikataba mibovu. Wonders shall never end in Bongoland
 
Ni kumshikia kidedea aondoke kwenye ofisi nyeti kama hiyo, JK ampangie kazi nyingine anatuaibisha sana. Hafai kwenye hiyo nafasi. Hope UWT wanaiona hiyo aibu, na watasaidia kufikisha ujumbe!!

Jana ndo wamemaliza uchaguzi wa mwenyekiti na Sofi Binti Simba ameibuka kidedea! I hope atalivalia njuga hili bomu!
 
huyu alikuwa mwimba kwaya pale kanisani, baadaye mwalimu wa southern highland school mbeya, wamiliki yaani wahindi akina babu wakaingia mtini kukimbia kodi akabaki kuwa headmaster na baadaye mbunge wa jimbo la songwe, ninaambiwa kuwa alifoji vyeti vya form six ni kilaza wa kutupa
 
JAMAA KILAZA WA UKWELI!! presentation imeandikwa zanzibar, ila kwakuwa yeye ni kilaza anajua ni zimbabwe!! sio siri, jamaa kachemka, hata usomaji wake hajiamini, mcheki presentation gani anasoma macho muda wote kwenye paper, si anatakiwa kuwaangalia wasikilizaji wake!
 
Hahahahaa.......

Halafu ni MKRISTO. Hapo unaona sasa kwa nini Wakatoliki (mie siyo Mkatoliki) vijana wao wazuri sana.

Huu UPUUZI huwezi ukasema umepitia Seminary..... AIBU.
Sikonge hapa umeniangusha ndugu yangu! Hivi uwezo wa mtu unaangaliwa kutokana na dini yake? Angalia CV yake hii hapa uone kama aliwahi kusoma seminary huyu!

First Name: Philipo
Middle Name: Augustino
Last Name: Mulugo
Member Type: Constituency Member
Constituent: Songwe


EDUCATION
Rukwa Primary School, Chunga Primary Education 1982 1989 PRIMARY
Mbeya Secondary School O-Level Education 1990 1993 SECONDARY
Songea Boys' High School A-Level Education 1994 1996 HIGH SCHOOL
Open University of Tanzania BA (Economics Education ) 2002 2008 GRADUATE
CERTIFICATIONS

EMPLOYMENT HISTORY
Company Name Position From Date To Date
The Parliament of Tanzania Member - Songwe Constituency 2010 2015
Southern Highland Secondary School School Managing Director 2008 2010
Southern Highland Secondary School Administrative & Personnel Officer 2005 2010
Southern Highland Secondary School Teacher 2000 2004
POLITICAL
Chama Cha Mapinduzi, CCM Member - National Executive Committee 2008
Chama Cha Mapinduzi, CCM Secretary General - Mbeya Region (Parents) 2008
Chama Cha Mapinduzi, CCM Member - Chunya District Political Committee 2007
 
Last edited by a moderator:
"...Presentation consist of seven parts. Education system in Tanzania and I will explain in education for development, achivements in skills developments, challenges in skills development, a way forward and I will end with conclusion.

Introduction.

Ladies and Gentlemen, the United Republic of Tanzania is geagraphically located in East Africa. Tanzania was formed in one nineteen sixty four by unifying the indian ocean islands of zimbabwe and pemba".

Mimi nadhani, huyu bwana wampe ofisi nyingine (kama wanamhitaji sana kwenye cabinet) lakini sio kusimamia elimu. Taifa litapotea!
 
Back
Top Bottom