Waziri Mulugo: Tanzania ilitokana na muungano wa visiwa vya Pemba na Zimbabwe



Duh, Mulugo analiaibisha Taifa, Tanzania ilitokana na muungano wa visiwa vya Pemba na Zimbabwe.... nani amemuandalia huyu hii hotuba? Mungu wangu, anakuwaje waziri wa Elimu huyu ilihali yeye mwenyewe Elimu yake ina walakini? Hawezi hata kulocate Zimbabwe katika ramani ya dunia?


hivi huyu dini gani??maana najua wakristo wooote nchi hii wana elim nzuri tuu,haiwezekana jambo dogo kama hili likamtatiza,,,,,,
 
Last edited by a moderator:
Tanzania was formed one nineteen sixty four?! Jamaa kilaza hakuna mfano. Sijui kwanini anathubutu kuwananga walimu na wanafunzi?

Elimu hamna hapa na kuna mdau waliwahi kuleta uzi hapa akasema huyu alisoma Songea Boys na kumaliza kidato cha Sita mwaka 1996 hapo alikuwa anaitwa Hamimu Agustino leo anaitwa Philipo Agustino Mulugo?!

Huu ni uchakachuzi wa wazi na aibu hii atakumbuka aliyemdhulumu cheti akatumia kusomea sekondari. Watu wa Mbeya wengi wamesoma kwa vyeti vya wenzao.

Haya ndio matunda yake.
 
Sion kosa kwa Wazir Mulugu, tunafahamu alipataje hiyo nafas ya kaz! Mh. Mnyika alisema, akaonekana hafai na huu ndo ukweli...."DHAIFU"
 
Duh, Mulugo analiaibisha Taifa, Tanzania ilitokana na muungano wa visiwa vya Pemba na Zimbabwe.... nani amemuandalia huyu hii hotuba? Mungu wangu, anakuwaje waziri wa Elimu huyu ilihali yeye mwenyewe Elimu yake ina walakini? Hawezi hata kulocate Zimbabwe katika ramani ya dunia?
Duh! Hii kali, Hata hivyo hakuna kisiwa kinachoitwa Zimbabwe; kwa hiyo ulimi umeteleza, lakini kama kweli alikuwa nasoma hii speech kama anavyoonekana, basi aliyemuandikia alichemka na huyu waziri ni kilaza wa kupinukia kwa kutoipitia speech kwanza; hata hivyo ukichemka si ni lazima uwe mwanaume ya kutosha kugundua na kufanya marekebisho. huyu jamaa ni kilaza na ni picha kamili ya jinsi bosi wake (yaani aliyemteua alivyo).

Inasikitisha sana!
 
Ni ngumu kumeza, why Zimbabwe?!! Urai wa muandaaji na msomaji ni upi? Huwezi changanya Tanganyika na Zimbabwe hata ukiwa ndotoni "TAFAKARI"
 
Waungwana asitokee mtu kuulizia budget ya kumuandalia uyu kilaza iyo ppt ni hatari..kuna mtu kanitonya nkatamani nimtafute uyu kima nimtemee mate usoni!!
 
le proffeseri hilo noma kwa kuflooo madude yaaani kwa jinsi hii elimu imepata lisomi mpaka basi hahahahahahahha,liteule la Rais hilo msiliguse bana waooo huu enhuu
 
The theme of the conference is on ICT in education but the Deputy minister presentation lacks the ICT theme and is to general
 
Kama Waziri wa Elimu kilaza namna hii ni halali hata watoto kumaliza darasa la saba bila kujua kusoma.
 
...Ni Janga la Kitaifa. Umeishawahi Kuwasikia watangazaji wa Redio zetu wanavyosoma Taarifa za Habari? Kuna sehemu Nyingine Muandaaji wa Taarifa ya Habari anakuwa amekosea kitu katika Kutafsiri kutoka Kiingereza kwenda Kiswsahili lakini Kwa sababu Mtangazaji naye ni KibuyuWazi anasoma hivyo hivyo wakati Kwa Ufahamu mdogo tu angeweza Kurekebisha Palipokosewa na Mwenziwe! Ni Janga la Kitaifa...!
 
mkuu TUMBIRI, tunajua sasa hivi unapiga shule ili uwe unaitwa Dr. Tumbiri, ila kwa huyo waziri hatutoshanga hata next week anaanza kuitwa Dr. Mulugo, na kama kuna u-Prof wa heshima, apatiwe aliemteuwa kuwa waziri...

Nadhani kuna haja ya Mh! Lissu kutusaidi kujua pia mawaziri vilaza ambao ni janga la taifa, ama msemakweli a-update list ya mafisadi wa elimu....
 
Ningekuwa na mamlaka; nadhani digrii hizi za online na zile za correspondence kutoka OTU ningezipa kiwango fulani chini ya zile digrii zinazotokana na on campus kama vile UDSM, Mzumumbe, SUA na SAUT kutokana na ukweli wa academic drills zinazofanyika on campus ni ngumu sana kuliko zhizi za online. Ndiyo maana hata China na Marekani wanathamini sana elimu kwa kuhakikisha kuwa watoto wengi wanakwenda college.


Kunahitajika kuwa na mjadala "intellectual debate" kuhusu degree za Open University na hizi za online. Lazima ipatikane mechanism ya kutizima hizi qualifications otherwise tutajikuta na kizazi cha mambumbumbu. Dunia ya sasa ni kijiji, kama hatujiandaa vizuri tutapata hasara kila siku.
 


duh, mulugo analiaibisha taifa, tanzania ilitokana na muungano wa visiwa vya pemba na zimbabwe.... Nani amemuandalia huyu hii hotuba? Mungu wangu, anakuwaje waziri wa elimu huyu ilihali yeye mwenyewe elimu yake ina walakini? Hawezi hata kulocate zimbabwe katika ramani ya dunia?


ooooh thanks a lot,i thought he is comin from my madrasa education mana ningeendelea kuvurumishiwa kejeli na madharau humu ndani
po mulugo kidumu chama cha mapinduzi muheshimiwa sana
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom