Kizimkazimkuu
JF-Expert Member
- Nov 8, 2007
- 337
- 234
"wadanganyika wengi mnategemea kuvuna madafu kwa kupanda chelewa".....Duh! nimecheka mpaka basi.
Ulizia mazee! Alichukua ambulance na magari kibao nyenye namba za STH kusindikiza marehemu mama wa waziri wa serikali
Mkuu Masa;
Kuna policy ya serikali na wafanyakazi kusaidiana wakati wa misiba. Kuna uwezekano hata wa kupewa Jeneza na Usafiri? Ama sivyo?
Sikumbuki katika masakata ya Ufisadi kama Waziri Mwanamama amewahi kutajwa . . . huenda hii ikawa ni ya kwanza.
Uzuri wa akina mama . . . . ukimsema sana anakumwagia chozi, huruma inaingia kisha unaona basi yaishe tu. Akina mama wana huruma jamani.
Mimi naomba tu kwa jinsi huyu mama body languages zake zinavyoonyeshwa anaonekana hana hatia kabisa. Angalia macho bandugu.
Huenda Jerry Muro alikosea kutype katika laptop yake . . . . LOL
Ulizia mazee! Alichukua ambulance na magari kibao nyenye namba za STH kusindikiza marehemu mama wa waziri wa serikali
Unaweza saidia jukwaa kujua?
Mama Kombani Kiboko alifiwa na mama yake Dar akachukua ambulance ya wagonjwa Temeke na Magari kibao ya serikali kupeleka Msiba Mahenge!
Tell me your friends I'l tell who you are. Me nshawaambia hakuna mpiganaji serikalini sasa kama company yake ndo hiyo unadhani kuna uzima kweli hapo!Nafahamu huyu mama kampani yake ya karibu ni Aisha Kigoda, Sofia Simba na Hawa Ghasia.
Maana wakati mwingine mtu hutambulika kutokana na kampani anayojitambulisha nayo.
Ongezea hili;
SUA kama mwajili wake wa zamani ilitoa zaidi ya milioni 5 kwa ajili ya msiba huo na pale chuoni iligeuka kuwa skendo.
Kwamba Chuo kimelazimishwa au kinajikomba kwa kufahamu uhusiano wake na presid.? Kama kawaida ya wakuu wa taasisi, sidhani kama hata leo mkuu wa chuo akiulizwa analo la kusema.
Mkuu;
Angalia Post No. 63 kwenye Thread hii.
Naona sasa huyu mama ametulia! au bado ana mawenge mawenge mwakani uwaziri ndo basi tena.
kubenea kazidi umbea na udaku.
Unauhakika na hili unalosema kuhusu huyu mama au unazumchanganya na waziri mwingine?.