Josh Michael
JF-Expert Member
- Jun 12, 2009
- 2,523
- 77
Hii ndio Tanzania hivyo ndio maana kuna haja kubwa sana kuwa na usalama wa Taifa ulio imara na uchunguzi imara sana katika kila idara katika Taifa letu
mkuu ni vigumu sana kupata nguo safi kwenye rundo la nguo chafu.Kama ni kweli, ndani ya CCM hamna asiye msafi. hata Pinda amelidhihirisha hilo kwa aliyoyatamka Igunga.
Ninachoshangaa ni kwa nini Waziri Mkuu alimsimamisha kazi yule counsellor wa Bagamoyo na kumwacha huyu mama anatamba. She had to go too na nina hakika waziri mkuu anao ushahidi wa ulafi wake.
Mama ANNA MKAPA KATAJWA KILA KONA KIWIRA,EPA NA KAGERA SUGAR.NI FISADI MKUBWA MAMA MKAPA AU HUJUI HILO?Sikumbuki katika masakata ya Ufisadi kama Waziri Mwanamama amewahi kutajwa . . . huenda hii ikawa ni ya kwanza.
Uzuri wa akina mama . . . . ukimsema sana anakumwagia chozi, huruma inaingia kisha unaona basi yaishe tu. Akina mama wana huruma jamani.
Mimi naomba tu kwa jinsi huyu mama body languages zake zinavyoonyeshwa anaonekana hana hatia kabisa. Angalia macho bandugu.
Huenda Jerry Muro alikosea kutype katika laptop yake . . . . LOL
Mama ANNA MKAPA KATAJWA KILA KONA KIWIRA,EPA NA KAGERA SUGAR.NI FISADI MKUBWA MAMA MKAPA AU HUJUI HILO?
PIA LAZIM A UKUMBUKE KUWA YULE MHASIBU WA BAGAMOYO ANAMILIKI MAGHOROFA NA HOTELI MKOANI MOROGORO.MAMA KOMBANI KAKULIA KWA WAFANYABIASHARA HATA WALE WA MADINI WALIOULIWA WALIKUWA JAMAA ZAKE. HIVYO ANAIJUA PESA.
Sijui atagombea tena uchaguzi huu? kwani mali za mhasibu ziko Morogoro kwa mama CK.
Halafu kuna taasisi inasema imefanya tafiti zake na kuwa zaidi ya 70% ya waliotoa maoni wanasema wanaimani na serikali ya CCM ambayo inaongozwa na mawaziri wa aina hii. Mirembe Hospital ipanuliwe maana wengi tunahitaji kupelekwa huko kupimwa.