Duuu hhh
The lady (Celina) looks so innocent.
Lisemwalo .......na kama halipo.......
Katika habari ya wali gazeti lilisema kuwa yule mhasibu aliyesimamishwa na Pinda kule bagamoyo alikuwa na mawasiliano ya karibu sana na Waziri mmoja na huyo waziri hakutajwa katika gazeti lile. hivyo leo ndiyo katajwa. Habari ya awali ilikuwa inaonyesha kuwa mhasibu amemfanyia mambo mengi sana waziri husika. ( Nimeeleza nilivyoelewa na sijanukuu)
Superman haya nimeshaona kuwa unajua kuweka picha hivyo basi pisha kidogo na hiyo mipicha. Unajaza uzito tu hapa.
inaonekana mmeshasahu mambo ambayo mafisadi hawataki mjue juu yao! niliyaandika hapa.
Superman anjaribu kukuonyesha jinsi huyu Mama alivyojivisha "ngozi ya kondoo" Kumbe ndani ni Mbwa mwitu! Kila picha anatabasamu - UNAFIKI TU na WIZI!
lol kweli mama mpole lakini kilichopo kwenye nafsi yake Superman anasema tuiachie mahakama na mahakama za Bongo ni kwa ajili ya maskini tu watu kama hawa wataendelea kupeta uraiani.
Uzuri wa akina mama . . . . ukimsema sana anakumwagia chozi, huruma inaingia kisha unaona basi yaishe tu. Akina mama wana huruma jamani.
Sikumbuki katika masakata ya Ufisadi kama Waziri Mwanamama amewahi kutajwa . . . huenda hii ikawa ni ya kwanza.
.....
Kumbe Zakhia Meghji si mwanamama, kina Kijo nao...... okay, you are excused as your memory does not serve you well.
Kumbe Zakhia Meghji si mwanamama, kina Kijo nao...... okay, you are excused as your memory does not serve you well.
Mamaaaa; Mkuu nisamehe bureeee, kumbeeee . . . Jamani mambo mengine hadi tunasahau . . . .
Nadhani ni kwa sababu ya Amani na Utilivu na Mshikamano.