Ng'azagala
JF-Expert Member
- Jun 7, 2008
- 1,286
- 221
I wish wa CCM nao wangejifunza haya ya kidemokrasia
kujiuzuru ndani ya muda mfupi namna hiyo kunazua maswali kwani hata yeye hajapata uzoefu wowote. ange present hata bajeti moja angalau
otherwise ni utaratibu mzuri hata Mbowe angeiga amwachie Zitto kidogo hata mwaka mmoja hivi