Waziri kivuli CHADEMA aachia ngazi

Ameishaona mambo ndivyo sivyo ndani CDM a.k.a. MAGWANDA, sasa hapo kwa nn asijiuzulu ili kulinda heshima yake na ya ukoo wake
Genius Brain zezeta, huelewi kitu wewe kalale!!!!!!!!!!!!!!!! Wewe ulimleta CDM au unapiga kelele tuu!!!!!!!! Huyo Binti anazo akili timamu si kama wewe Mwana maghamba, umeelewa??????????
 
Mimi namuunga mkono. Heri ya lawama kuliko fedheha. Kama uwezo ni mdogo unaachia ngazi, sio unawasilisha hotuba kivuli ya wizara halafu unaonekana kituko. Kuwa waziri kivuli wa CDM ni lazima uwe makini, inahitaji upembuzi yakinifu katika masuala makubwa. Huyu mama niliwahi kumsikia kidogo akichangia bungeni, uwezo wake ni mdogo, tusimlaumu kwa hatua aliyoichukua wala tusiwe na hisia kuwa kafanyiwa lolote CDM.
 
Definetely huyu kaona viatu alivyo vivaa sio saizi yako. If you can't sustain the heat
it is better to quit the kitchen. Ameshindwa huyu kutengeneza budget mbadala ya
wizara yake.

Tofauti na JK Leticia ameona udhaifu wake na kuu-accept. JK naye tunaomba aige
mfano wa Leticia, hiyo ndiyo democracy
 
WAZIRI KIVULI?Mbona kama tusi vile? Mwanachama kivuli,mwanafunzi kivuli..heee..na Mke Kivuli ni yupi? nyumba ndogo?
 
Leticia yuko sahihi, kaona hataweza, kaamua kuwapisha wengine. JK angeiga mfano huo. Aliutaka urais lakini asijue urais kazi yake ipi? Mwishowe amebaki kulaumu na kunung'unika tu, hana afanyalo. Au kuruhusu madege ya Qatar kuja kutuibia ndo kazi yake? Leticia amemzidi jk kwa mbali mnooo!

Wanamagamba wenye akili timamu wameona ni heri hili la 'magwanda' kuliko la magamba. Unajua viongozi wa ccm hata wangekutwa na viungo vya albino kujiuzulu kwao mwiko! mabomu ya mbagala alijiuzulu nani? mabomu ya gongo la mbota mara zote mbili ajiuzulu nani?

Inawauma kuona ndani ya CDM kujiuzulu ni utamaduni wao. Mh. Godbless Lema amewahi sema yuko tayari kujiuzulu kwa ajili ya kukutetea kweli.
 
WAZIRI KIVULI?Mbona kama tusi vile? Mwanachama kivuli,mwanafunzi kivuli..heee..na Mke Kivuli ni yupi? nyumba ndogo?
Mkuu kwani ni kitu kigeni kwako? Kama ni mfuatiliaji wa mambo utajua kuwa mfumo wa Westminister na Commonwealth wanatumia mfumo wa Shadow Cabinet na hivyo kuna Shadow Ministers
 
Mimi namuunga mkono. Heri ya lawama kuliko fedheha. Kama uwezo ni mdogo unaachia ngazi, sio unawasilisha hotuba kivuli ya wizara halafu unaonekana kituko. Kuwa waziri kivuli wa CDM ni lazima uwe makini, inahitaji upembuzi yakinifu katika masuala makubwa. Huyu mama niliwahi kumsikia kidogo akichangia bungeni, uwezo wake ni mdogo, tusimlaumu kwa hatua aliyoichukua wala tusiwe na hisia kuwa kafanyiwa lolote CDM.
Nadhani uwezo wake hauendani na nafasi aliyopewa hapo awali..
 
Mkuu kwani ni kitu kigeni kwako? Kama ni mfuatiliaji wa mambo utajua kuwa mfumo wa Westminister na Commonwealth wanatumia mfumo wa Shadow Cabinet na hivyo kuna Shadow Ministers

Hapo nafikiri ataelewa maana wengine kiswahili ni kigumu kukielewa.Lol.
 
Definetely huyu kaona viatu alivyo vivaa sio saizi yako. If you can't sustain the heat
it is better to quit the kitchen. Ameshindwa huyu kutengeneza budget mbadala ya
wizara yake.

Tofauti na JK Leticia ameona udhaifu wake na kuu-accept. JK naye tunaomba aige
mfano wa Leticia, hiyo ndiyo democracy

Sasa kama hali ndo hiyo, kwa maana nyingine waliomteua ndo bomu, wala sio yeye. Wanawake wako wengi tu wenye uwezo, wako mtaani mnatuletea vilaza bugeni, kumbe hata wakipata serikali wataleta vilaza wengi zaidi. Kama wanateua kilaza kwa watu 18 tu, je itakuwa je nchi nzima wafanyakazi zaidi ya milioni watateuliwa.
 
wanalo hilo


chama makini, waziri kivuli ajiuzulu ndani ya wiki nne kuwapa wengine wapate ujuzi. mmmh hata bajeti moja hujawasilisha ushapata ujuzi? tunawasubiri na hao wengine
 
wanalo hilo


chama makini, waziri kivuli ajiuzulu ndani ya wiki nne kuwapa wengine wapate ujuzi. mmmh hata bajeti moja hujawasilisha ushapata ujuzi? tunawasubiri na hao wengine

micharuko ya ccm hii ..... soma habari kwa umakini wewe

mkurupuko
 
Letcia , anadhani ile nafasi ni yafamilia ya nyumbani kwake ! ile post ni ya umma, anapojiuzulu ni vyema akawajuza wananchi, iwe kwa maslahi ya chama, taifa au ya kwake binafsi.
19144_100229920007453_100000613353513_3411_1109588_n.jpg



Mpiga picha ameipiga vizuri.
 
Kujiuzuru ni kuzuri, lakini sababu ya msingi ni ipi?

Mwenye kujua sababu za kujiuzuru kwake atujulishe

atakuwa alishindwa kuandaa bajeti ya wizara yake kwa kambi ya upinzani. Ni mfano mzuri kuwa ukijiona umekuwa kilaza una step down mapema ili wapewe wenye uwezo. Unapopewa wizara inakuwa sasa siyo siasa tena, pale ni kuonesha uwezo wako wa kiutendaji. siasa ni jukwaani unapoingia ofisini ina change na kuwa utendaji unaozingatia uwezo na ubunifu wa akili zako.

Kama ndo chadema mngekuwa mlibahatika kupata lidhaa yetu sisi wapiga kura mbona mgeparaganyika mapema?
 
Back
Top Bottom