ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 43,135
- 49,866
Rais Mteule wa Senegal Bassirou Diomaye Faye Asikubali kamwe kuwa Rais kivuli na WA kupangiwa na Kuendeshwa na Bwana Ousmane Sonko ambae anajiona ndio amefanikisha Jamaa kuwa Rais.
Mara kadhaa nimekuwa naona wanaongozana lakini nadhani Kwa Sasa lazima heshima ichukue mkondo wake,Urais wa Nchi hauna Ubia Wala Urafiki vinginevyo atakuwa ni punguani wa mwisho.
Atakayekula kiapo ni yeye bwana Faye sio Sonko na kama atakuwa anashinikizwa ni Bora ampoteze mazima hata Kwa ugonjwa.Nasisitiza Urais hauna Ubia Wala ushkaji.
Rais Mteule Faye anaweza kuwa consult Kwa ushauri zaidi Rais wa Angola na Felix Tchisekedi wa DRC ambao walikataa huo ujinga wa Kabila na Dos Santos wakawageuka na maisha yanaenda Hadi Sasa.
View: https://youtu.be/M0XF45eyq8I?si=rOA0m3CnDmzG3gKH
My Take
Kuna watu hapa Duniani wamezaliwa wawe ngazi Kwa wengine na ndio stahiki Yao so usikubali ngazi iwe inakutishia,unaweza ivunja na Kuunda nyingine.
Pia anaweza mconsult Mzee wa Mikakati JK akampa maujanja ya kumtosa huyo Sonkho kama ataonekana hana heshima Kwa staili Ile Ile ya Mambo vs JK.
Urais hauna Ubia Wala Urafiki.
Mara kadhaa nimekuwa naona wanaongozana lakini nadhani Kwa Sasa lazima heshima ichukue mkondo wake,Urais wa Nchi hauna Ubia Wala Urafiki vinginevyo atakuwa ni punguani wa mwisho.
Atakayekula kiapo ni yeye bwana Faye sio Sonko na kama atakuwa anashinikizwa ni Bora ampoteze mazima hata Kwa ugonjwa.Nasisitiza Urais hauna Ubia Wala ushkaji.
Rais Mteule Faye anaweza kuwa consult Kwa ushauri zaidi Rais wa Angola na Felix Tchisekedi wa DRC ambao walikataa huo ujinga wa Kabila na Dos Santos wakawageuka na maisha yanaenda Hadi Sasa.
View: https://youtu.be/M0XF45eyq8I?si=rOA0m3CnDmzG3gKH
My Take
Kuna watu hapa Duniani wamezaliwa wawe ngazi Kwa wengine na ndio stahiki Yao so usikubali ngazi iwe inakutishia,unaweza ivunja na Kuunda nyingine.
Pia anaweza mconsult Mzee wa Mikakati JK akampa maujanja ya kumtosa huyo Sonkho kama ataonekana hana heshima Kwa staili Ile Ile ya Mambo vs JK.
Urais hauna Ubia Wala Urafiki.