jitizame
JF-Expert Member
- Jan 23, 2014
- 371
- 306
ikifika wa9 utaambiwa wa 10. tanzagizaajira wa9 wewe
ikifika wa9 utaambiwa wa 10. tanzagizaajira wa9 wewe
Kwani Kuna shida gani ukisaini mkataba huko?? Saini tu kijanaWaseme ili watu tusain mikataba huku.....
pesa hakuna kalime
Umepita kimyaaaaaaaajira wa9 wewe
Jaffo alikuwa anajitahidi kutimiza majukumu yake japo yamekwamishwa na watu wengine.Wanasiasa acheni uongo mwogopeni Mungu, uliulizwa maswali mengi bungeni ukawa unajibu kwa jeuri kuwa ajira za walimu zitatoka mwezi May mapema.
Mpaka sasa hakuna msitufanye wananchi hatuna akili, Rais nae alisema uhakiki ni mwezi na sehemu mwezi umeisha hebu achani hizo semeni ukweli kama nchi haina pesa.