nkanga chief
JF-Expert Member
- May 31, 2016
- 2,084
- 1,620
Wanasiasa acheni uongo mwogopeni Mungu, uliulizwa maswali mengi bungeni ukawa unajibu kwa jeuri kuwa ajira za walimu zitatoka mwezi May mapema.
Mpaka sasa hakuna msitufanye wananchi hatuna akili, Rais nae alisema uhakiki ni mwezi na sehemu mwezi umeisha hebu achani hizo semeni ukweli kama nchi haina pesa.
Mpaka sasa hakuna msitufanye wananchi hatuna akili, Rais nae alisema uhakiki ni mwezi na sehemu mwezi umeisha hebu achani hizo semeni ukweli kama nchi haina pesa.