Ukwaju
JF-Expert Member
- Oct 19, 2010
- 13,370
- 11,091
Nikupateje umeshaamka lkn kwa taarifa yako wajumbe 10 kutoka Malawi wapo hapa Bungeni wakijadiliana na spika kuhusu sakata hilo la mpaka, na wao ndio watakaotudhibitishia ni nani hasa ana wasiwasi au hofu kuhusu hayo maji ya ziwa katika nyuzi 33 E na huo mpaka ulionyooshwa kupita katikati ya Ziwa TUVUTE subira mchana haufiki