Waziri Bernard Membe kalipotosha Bunge kuhusu mpaka wa Tanzania na Malawi kwenye Ziwa Nyasa

Sote tukodolee macho ramani, Membe kachemka. latitudes zilizotolewa na Membe zilitolewa kimakosa, na zinatunyimisha tunachokidai. Acheni ushabiki, Membe kadanganya. Mnayemwita mmalawi yuko sahihi.
 
Kwani hiyo treaty si ni ya miaka ya karibuni?Does it apply retrospectively kwa kitu ambacho cha zamani kama heligoland ya 1890? Na pia does a later treaty of general application alter a former treaty of a specific application(eg.heligoland)?

Maswali kama haya huwafanya wakae kimya kama vile halikuulizwa. Bravo.
 
Lake Malawi/Nyasa row: Time to show strong leadership

By Cedrick Ngalande
August 6, 2012 · 143 Comments

Email This Post Email This Post

At around the time of independence quite a few people in Tanzania wanted to claim a huge part of Lake Malawi or Lake Nyasa . Cool heads eventually prevailed, as most Tanzanians, including the legendary President Julius Nyerere, understood the importance of respecting boundaries emanating from colonial times.

During most of Dr Kamuzu Banda’s rule, Tanzania never really pushed this crazy idea of dividing up the lake. The issue was almost forgotten during the rule of Dr Bakili Muluzi and thereafter. In fact, Dr Bingu wa Mutharika commissioned a company to start exploring oil in the lake. Tanzania said nothing at that time.

Now we have a new president and all of sudden the Tanzanians are demanding that our government stop all exploration activities in the lake until all border issues have been clarified. Why now?

Folks, there is a reason why we have tradition. Tradition may appear useless and outdated but it is important because it usually become established after a long experience. In politics there is what is known as ‘presidential protocol’. These are small things which over the years have proven to be niceties a president must or must not do in order to represent his/her country correctly.

Test for President Joyce Banda to diplomatically manage the dispute on the boundary

You would think some of them are not important but they are. Here are a few of them – presidents never bow for other presidents in public; presidents never escort anybody to their car; presidents walk with their arms spread outwards apparently projecting power and being in control; presidents usually put on a solid color (one color) necktie because it portrays power; when two presidents greet each other while facing the camera, each of them jostle to be on the right side so that his palm will face the camera- another sign of power, apparently; when in company of other presidents, they try to be the last one to enter the door – a fatherly gesture; there is an interesting video clip of Chairman Yassier Arafat and PM Ehud Barak jostling to be the last one to enter a room at Camp David. The sight of President George W Bush gently pushing PM Gordon Brown into Number 10 Downing Street before himself angered some British political experts.

Statesmanship is a game because image is everything in international politics. A country’s image depends a lot on the demeanor of its leader. President Barak Obama likes to pat other leaders on their back after greeting them; you thought that was an unplanned coincidence? Just remember, how your father used to pat you on the back when you were a good boy!

It is said that Bill Clinton failed to get a good deal at his summit with Boris Yelsin in Moscow because President Clinton having sprained his ankle arrived in Moscow on a wheelchair. The sight of a sick American president is said to have psychologically emboldened Boris Yelsin. Ghana is said to have regained its respect in West Africa when President J.J. Rawlings arrived at the 25th Organization of African Unity meeting in Togo in July 2000 in a military uniform portraying a very youthful image.

The presidency is acted on a world stage. What a president says and does is very important!

When Joyce Banda took over the presidency, she made it appear like Malawi will now be doing everything the donor community tells her to do. In fact some British newspapers were so pleasantly surprised with this that they called us ‘a donor fearing nation’.

President Joyce Banda went to London and even bowed before Queen Elizabeth, a very strange gesture considering that both are heads-of-state. Well, all these words and actions have now collectively given an image of a weak leadership in Malawi. The world has sensed blood. Now Tanzania has decided it is time to split up the lake. Notice that they did not bring up this crazy idea when Muluzi or Mutharika were in charge.

If we dignify Tanzania’s unreasonable request, one wonders what the next thing will be. Are they now going to claim Chitipa? Will Mozambique now claim Mulanje Mountain?

Government must make clear that no part of Malawi is up for discussion – full stop! It is time to show strength. Tell Tanzania that Lake Malawi was, is and will always be Malawian.

Surprisingly, after all these arrogant statements by the Tanzania government, our government’s response is at best a whimper. The minister of foreign affairs has issued a statement saying the issue will be settled ‘amicably’. Really, Mr. Minister? What could be an amicable statement? Are you planning to even dignify Tanzania’s unreasonable demand? Do you plan to divide up the lake? How can you have an amicable settlement to an unreasonable demand?
 
Hebu jisomee mwenyewe hii habari upate ukweli kutoka nyasa times

Cold war over Lake Malawi continues: Ghost of Kamuzu, Nyerere revisit Malawi
By Wise One From East and Garvey Karvei August 1, 2012 • 64 Comments Email This Post

Malawi: 2012, July: "But our terms are clear on this. According to the 1890 ecoland agreement between Britain and Germany, the border between Malawi and Tanzania is the edge of the waters of Lake Malawi. So we are very clear about that but we will continue to engage with Tanzania as a good neighbour," Patrick Kabambe, Principal Secretary, Principal Secretary in the Ministry of Foreign Affairs and International Cooperation, Malawi quoted by Malawi's Daily Times.
Tanzania: 2012, July: "We don't want Tanzanians to ask for permission from Malawi to fetch water or fish from Lake Nyasa. If we don't reach a consensus, we will take recourse in international law." Tanzania‘s Attorney General Judge Frederick Werema, responding to a concern from the Member of Parliament for Mbeya Region (special seats), Hilda Ngoye.
Ms Ngoye had charged that the Malawian tourists and fishing boats have been trespassing on Tanzanian territorial waters at will, https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...wi-row-over-lake-nyasa-again-5.htmlescalating tensions.
"Tanzanians around Lake Nyasa's shores have the right to fish or engage in other productive activities on the lake, without being intimidated," she had told the Tanzanian parliament, demanding an explanation from the government on the status of the border between Tanzania and Malawi.

Kamuzu and Nyerere
The gist of the dispute:
T he dispute is about who owns what is, as far as Malawians are concerned, Lake Malawi and as far as Tanzanians are concerned, Lake Nyasa.
According to Malawi, this isn't even a subject for debate. Malawi owns 100% of Lake Malawi and if we are to go by the vision of Malawi's founding president, Dr. Hastings Kamuzu Banda, Malawi just like its predecessor the Maravi Kingdom should in fact http://www.iss.org.za/pubs/Books/Evol_Revol Oct 05/Chap5.pdf extend to some parts of present day Tanzania and even Mozambique.
According to Tanzania on the other hand, the lake is shared and the <span style="text-decoration: underline; http://edocs.nps.edu/npspubs/scholarly/theses/2011/June/11Jun_Msafiri.pdf boundary of these two neighbouring countries should follow the median line in Lake Nyasa.
This is the official stance of the Tanzanian Government hence any Malawian activity beyond this line are deemed "trespassing". The Historical Context; This dispute traces its origin to the Berlin Conference, and trouble is rooted in the Berlin Act of 1885, that was signed by the 13 European powers that attended the conference that formalised the BBC - History - British History in depth: Slavery and the 'Scramble for Africa'
Scramble for Africa
According to documents on the demarcation of the border around Lake Nyasa encapsulated by the Anglo-Germany Treaty of July 1, 1890 &#8211; verbatim &#8211; the border runs as below:"To the south by the line that starts on the coast of the northern border of Mozambique Province and follows the course of the Rovuma River to the point where the Messinge flows into the Rovuma. From here the line runs westward on the parallel of latitude to the shore of Lake Nyasa. Turning north, it continues along the eastern, northern, and western shores of the lake until it reaches the northern bank of the http://germanhistorydocs.ghi-dc.org/pdf/eng/606_Anglo-German Treaty_110.pdf"mouth of the Songwe, Tanzania, of course, doesn't agree with this, with Tanzanian scholars calling this demarcation http://edocs.nps.edu/npspubs/scholarly/theses/2011/June/11Jun_Msafiri.pdf.
Put to Kamuzu Banda by Tanzania's Julius Nyerere that the map between independent Malawi and Tanzania should follow the median line, in his unique blunt style Dr. Banda responded as below: "We will never recognize or accept this claim: we will never agree to the suggestion or proposal. The Lake has always belonged to Malawi&#8230;.Everyone knew Nyerere as a coward and communist inspired jellyfish: We know while pretending to be a staunch supporter of the OAU, Nyerere is the worst agitator and betrayer of the cause for which the Organization was formulated. History, geography or even ethnical knowledge will convince Nyerere that four districts to the South of Tanganyika belong to us by nature. It is only that we respect the feasible unification of Mother Africa that we do not claim these districts. All that we are doing is setting [sic] historical truth."
Dr. Banda in 1962 reinforced his claim in addition to the authority of the Anglo-Germany Treaty of July 1, 1890 with some maps from the "http://www.societyofmalawi.org/talks/nationalarchives.pdf. He even went as far as suggesting to Mwalimu Julius Nyerere that a part of http://www.ajol.info/index.php/asr/article/viewFile/23256/19939 Mozambique was supposed to be part of Malawi&#8211; then still Nyasaland.
But as is usually case in any dispute, Tanzania is equally able to produce maps that show the median as the boundary, but such maps have never disputed the contents and spirit of the Anglo-Germany Treaty of July 1, 1890.
Pre-Independence Treaties and the Lake Malawi /Nyasa dispute:
The reason this dispute will not disappear any day soon is rooted in Malawi's and Tanzania's divergent views vis-à-vis pre-independence treaties including the Anglo-Germany Treaty.
Julius Nyerere, as the first Tanganyika Prime Minister, prepared a policy document for implementation after independence in which the Secretary-General of the United Nations was informed thus:
"As regards bilateral treaties validly concluded by the United Kingdom on behalf of the territory of Tanganyika, or validly applied or extended by the former to the territory latter, the Government of Tanganyika is willing to continue to apply within the territory, on a basis of reciprocity, the terms of all such treaties for a period of 2 years from the date of independence [i.e. until 8 December 1963] unless abrogated or modified by mutual consent. At the expiry of that period, the government of Tanganyika will regard such of these treaties, which could not by the application of the customary international law be regarded as otherwise surviving, as having terminated."
As a result, http://edocs.nps.edu/npspubs/scholarly/theses/2011/June/11Jun_Msafiri.pdf Tanzania refused to recognize the treaties that naturally gave the lake to Malawi on independence on 6 July 1964 since its allegiance to such expires on December 8, 1963.
And this was the major recipe for this dispute because, it meant that in practice; Malawi and Tanzania now had different points of reference, which explains the continued stand-off.
Parties that have different points of reference in any argument are as good as parallel lines. They can never meet. In the least, it explains where Malawi and Tanzania are at, with respect to Lake Malawi a.k.a Lake Nyasa.
In all likelihood, Dr. Banda would have viewed such a policy, which was supposed to be outward looking but designed in a way that only serves internal interests, with utter contempt.
Any merit in Tanzania's claim to half the lake?
Having said all this one then wonders if Tanzanians are mad to be claiming half the lake and on what basis some map makers show the median line as the boundary. There are several International Conventions that deal with rights associated with water.
Rights associated with water that is not flowing are called littoral. Generally land beneath non-sovereign lakes are owned by the surrounding upland owners. When all the deeds call to the lake, each owner has title to a centre point. This principle is referred to riparian rights and is the basis for Tanzania's claim.
Should Malawi buy this?
From the statement of Patrick Kabambe, Malawi's Principal Secretary in the Ministry of Foreign Affairs and International Cooperation, this seems like a far-fetched idea and one is tempted to subscribe to this thought.
"Indeed, we went for discussion on the border issue and we categorically put it to them that as far we are concerned, the entire lake belongs to Malawi."
The point is: if one person unilaterally decides to annul existing international treaties (like the Anglo-Germany Treaty &#8211; which by the way is all there is on this &#8211; and both Tanzanians and Malawians were not represented which makes them both victims); why should another person suffer from subscribing to the treaty?
Advice to Malawi: Let's by all means meet, eat, drink together, and talk with Tanzania. But the talking will not undo the Anglo-Germany Treaty.
As Dr. H. Kamuzu Banda used to say, we are all brothers and sisters &#8211; the maps and divisions were imposed on us by the colonialists; therefore, let us all (Malawians and Tanzanians) fish and swim in the beautiful Lake Malawi.
But please, our brothers and sisters from across the border shouldn't stop us from exploring ventures that can lift our livelihood and economy.
Just as the learned Tanzanian scholar, http://edocs.nps.edu/npspubs/scholarly/theses/2011/June/11Jun_Msafiri.pdf, quoted William Shakespeare &#8211; Merchant of Venice, we will go a step further and paraphrase the same: Tanzania will be taking our lives, if Tanzania takes away the means by which we want to prosper and live!
 
Sijui unaposema "mtakuja na hoja gani" walengwa ni nani hasa? Watanzania? Na wewe uko kundi gani?

Swali lako ungeishia kwenye RED ningehangaika kujibu japo haihitajiki kwa sababu mtiririko wa hoja unaeleza wazi wanaojibiwa ni kina nani. Lakini kwa sababu umepachika neno la BLUE ambalo si hoja yangu na wala wewe hutoi kusimamia unaowataja basi kamwe sihangaiki kujibu hiyo BLUE.

Mpaka wa Tanganyika tuliousoma, tulioujua na tuliokuwa tukiuchora (kabla ya uhuru 1961) ulikuwa unapita katikati ya Ziwa Nyasa. Hadi naingia sekondari ungeweza kuniamsha hata usiku wa manane nikakuchorea ramani ya dunia kutoka kichwani (sina hakika kama siku hizi mwanafunzi anayemaliza darasa la saba anaweza akafanya hilo!

Umesahau, kwamba hata kwenye Solar System mlichora sayari tisa ikiwemo na PLUTO!
 
Ninashindwa kupata point ya mtoa mada huyu kwa issue ya ziwa malawi kinachotazamiwa kujua kama ziwa hilo au kutenganisha kati ya Tanzania na Malawi ni Longtudes na sio latitudes. Hebu revisit source yako vizuri.
 
Aisee..kuna atu wabishi sana...mpaka sasa mjadala bado unaendelea?
 
Ninashindwa kupata point ya mtoa mada huyu kwa issue ya ziwa malawi kinachotazamiwa kujua kama ziwa hilo au kutenganisha kati ya Tanzania na Malawi ni Longtudes na sio latitudes. Hebu revisit source yako vizuri.

Kinachoongolewa na kusahishwa humu ni alichotumia kutaja Membe bungeni na ambacho ni latitude.

Hebu soma UN Convetion Article 16(1) inasema hivi:

{The baselines for measuring the breadth of the territorial sea determined in accordance with articles 7, 9 and 10, or the limits derived therefrom, and the lines of delimitation drawn in accordance with articles 12 and 15 shall be shown on charts of a scale or scales adequate for ascertaining their position. Alternatively, a list of geographical coordinates of points, specifying the geodetic datum, may be substituted}
 
Ninashindwa kupata point ya mtoa mada huyu kwa issue ya ziwa malawi kinachotazamiwa kujua kama ziwa hilo au kutenganisha kati ya Tanzania na Malawi ni Longtudes na sio latitudes. Hebu revisit source yako vizuri.

Sioni tatizo la mleta mada........alichokifanya mleta mada.........ni ku-challenge na kubainisha kwa viongozi wetu na sisi wasomaji kuwa makini wakati tukisoma au wakati viongozi wanapotoa matamko na tena kwenye sehemu rasmi kama bungeni...........
 
Nimeamua kuiweka hii kwenye separate thread kwa sababu nimeona ina extra concept kulingana na ile ya jana.

Wakati nanunua gazeti nilitumaini kabisa Membe atakuwa na hoja ya ku-convice kwani humu JF mnaongea tu kama mimi. Kwa wale waliosoma RAIA MWEMA wafungua attached paper kwenye ukurasa wa iv. Ndipo anaeleza msimamo wa Serikali kuhusu mpaka wa Ziwa Malawi.

Nakiri kwamba hata wakati naleta thread ile ya kwanza, nilitumaini Bernard Membe atakuwa ameongelea findings ambazo zingetushawishi na mimi nisingesita kuungana kwenye nia ya kukidhi madai haya ya Lake Malawi.

Lakini baada ya kusoma speech ya Membe basi matumaini yote ya kulipata Lake Malawi yamenitoka. Narudia sipingi Tanzania kupata sehemu ndogo ya Lake Malawi kama baadhi mnavyoropoka. Na hata mnavyoropoa wengine hainipi matumani ya kulipata hilo Ziwa. Lakini aliyenisikitisha zaidi ni Waziri Membe na sasa kwangu ni dhahiri kwamba tusahau kabisa kulipata Ziwa hili.

Siku moja nilifanya hesabu ubaoni nikapata jibu na baadaye nikaongeza madoido mwalimu akanikata maksi akasema "Kujitawaza kwingi mwisho unashika kinyesi". Naona ndugu yetu Waziri Membe kaingia katika mtego huu. Kwa nini nasema hivi? Ninanukuu majibu yake kama ifuatavyo:


****
Mheshimiwa Spika,
Lipo tatizo la muda mrefu kati yetu na nchi jirani ya Malawi linalohusiana na mpaka kwenye Ziwa Nyasa. Tatizo lenyewe ni kwamba Malawi wanadai kwamba ziwa lote kaskazini ya Msumbiji kuelekea Ruvuma na Mbeya ni mali yao kwa mujibu wa Mkataba wa Heligoland uliowekwa mwaka 1890.

Mheshimiwa Spika,
Tanzania kwa upande wetu tunasema kuw ampaka wa kweli kati yetu na malawi unapita katikati ya ziwa hivyo kufanya
eneo lote la Kaskazini Mashariki ya Ziwa kati Latitude digrii 9 na digrii 11 kuwa mali ya Tanzania kwa mujibu wa mkata huouo wa Heligoland wa mwaka 1890 ambao ulikubali kuwa kwa vile kuna maeneo ya mpaka ambayo hayana mantiki, pande zinazohusiana zikutane na kurekebisha. Aidha tunazo ramani ambazo waingereza wenyewe walipitisha mpaka katikati kama ulivyo mpaka kati ya Msumbiji na Malawi.
****

Nimemalizia hapa kwa sababu mengine yanayofuata ni diplomatic process. Sasa hapa tuchambue hotuba hii ya Membe. Binafsi nimeusoma mkataba wote wa Heligoland na wala si alichokisema Membe. Kama membe anataka kuikomboa Tanzania walau tupate sehemu ya Ziwa basi washauri wake wamempotosha kutumia mkataba ule ambao hautetei hoja yake hata kidogo.

Lakini pia Membe ni mmoja wa wanaodhani watanzania wa sasa hawajui kufukua mambo na ndiyo maana kwenye thread yangu nimesema tutumie usomi wetu. Membe ametaja kwamba sehemu ya ziwa kati ya Latitude digrii 9 na digrii 11 ni mali ya Tanzania.

Hapa ndipo Membe ameumbuka umbuko ambalo hatalisahau. Kwa nini nasema kaumbuka. Kaumbuka kwa sababu geography ya Tanzania wote tunaijua. Ncha ya juu kabisa ya Lake Malawi iko kwenye coordinate { S9.49214 E34.03563} ambapo ni only 7.0km kutoka kijiji kiitwcho Matema kilichopo kwenye coordinate { S9.49601 E33.97215}.

Ukiangalia coordinate hizi maana yake ni kwamba Ziwa Malawi linaishia kwenye Latitude 9.49214. Sasa hapa Membe anasema eti ni kuanzia Latitude 9. Kwa maana hii ya Membe kama Ziwa ni letu kuanzia latitude 9 maana yake ni kwambaMmembe kafanya makosa kwa kulirefusha ziwa hili kwa umbali wa 54.4km kuelekea kaskazini!

Watu mnaotoka kusini hasa Mbeya mnafahamu sehemu iitwayo Matamba. Hapa coordinate zake ni { S9.01171 E34.09959}. Kwa mujibu wa Membe, hii Matamba ingekuwa imeguswa na Ziwa hili!

Hakika waliomletea Membe hizi data wamemvuruga kuliko kulietengeneza suala hili. Ziwa Malawi au Nyasa linaishia kwenye Latitude 9.49214 kama nilivyosema hapo juu. Hapa membe kadanganya Bunge na kadanganya watanzania kasi kwamba sijui sasa ni nani mwenye nguvu ya kulitetea hili.

Tuje sasa kwa upade wa kusini yaani unaotambuliwa na membe kama sehemu yaetu ya Ziwa. Membe anasema sisi mali yetu ni mpaka kwenye latitude 11. Sijui wangapi mmeona kosa hili la mwaka. Unaposema kwamba unaishia hapa kwenye Latitude 11, je mnaotetea hoja hii mnaelewa madhara yake? Kama hamyajui basi mimi nayasema hapa.

Kama Membe kasema Bungeni kwamba tunaishia kwenye Latitude 11 basi maana yake pale ni kaskazini ya sehemu iitwayo Liuli ambayo iko { S11.05023 E34.63908}. Kumbe, Mwanakijiji wa Liuli haruhusiwi kuvua samaki kwenye ziwa lile kwa sababu ni sehemu ya Malawi, kwa mujibu wa Waziri Bernard Membe!

Yaani mwanakijiji huyu wa Liuli, anakuwa amekiuka mpaka kwa kilomita 6.6 kwa mujibu wa Serikali anayoshiriki membe wala si kwa mujibu wa Serikali ya Malawi!

Nimeanza na mfano huo wa Liuli ambao najua wengine hampaju ahapo. Sasa tuje kwenye mfano ambao wengi mnaujua na mmeutumia kunipinga humu na kuniita mimi ni mmalawi.

Mfano wenyewe ni wa Mbamba Bay. Ndiyo maana nimesema kajipangeni hii kesi tutajikuta tunasambaratika tukidhani tunatetea huku tunajiangamiza. Narudia kusema kwa mujibu wa hotuba ya Waziri Membe ni kwamba umiliki wetu wa Ziwa hili unaishia kwenye latitude 11. Mbamba Bay iko kwenye coordinate { S11.30519 E34.80449}.

Hii maana yake ni nini? Maana yake ni kwamba Mbamba Bay haiko katika eneo linalotambuliwa na Waziri Membe kwa latitude degree 0.30519!

Uki-convert hizi latitude kwenda kwenye kilomita basi maana yake Membe haitambui Mbamba Bay kwani iko 33.7km nje ya eneo ambalo Tanzania tunamiliki ziwa!
Waziri membe pia inaelekea kuwa hajui mpaka unavyopita pale Msumbiji. yeye anasema kule ni nunu kwa nusu lakini wote fungueni ramani muone kama hilo nalo lina ukweli. Mpaka wa Msumbiji ni nusu kwa nusu kuanzia kwenye latitude 11 had 13 lakini kuanzia hapo kueleka kule chini kusini ziwa lote liko sehemu ya Malawi na linaishia kwenye coordinate {S14.44635 E35.23539} ambako ni latitude 14.44635.

Hivyo, tujenge hoja zinazojikita kwenye ukweli na tusishabikie mambo kama vile Simba na Yanga. Hapa hatufanyi ushabiki. Hapa tunasaidia kujenga na kupima hoja kama kweli tunaweza kuisaidia nchi yetu kupata sehemu ya ziwa hili.

Ninasubiri kwa hamu kuona mtakuja na hoja gani kuhusu hizi findings zinazochambua hotuba ya Membe na matokeo yake niliyoeleza humu.

Subiri tuingie Kwenye ramani tuone coordinates tutakujibu mmalawi
 
Nimeamua kuiweka hii kwenye separate thread kwa sababu nimeona ina extra concept kulingana na ile ya jana.

Wakati nanunua gazeti nilitumaini kabisa Membe atakuwa na hoja ya ku-convice kwani humu JF mnaongea tu kama mimi. Kwa wale waliosoma RAIA MWEMA wafungua attached paper kwenye ukurasa wa iv. Ndipo anaeleza msimamo wa Serikali kuhusu mpaka wa Ziwa Malawi.

Nakiri kwamba hata wakati naleta thread ile ya kwanza, nilitumaini Bernard Membe atakuwa ameongelea findings ambazo zingetushawishi na mimi nisingesita kuungana kwenye nia ya kukidhi madai haya ya Lake Malawi.

Lakini baada ya kusoma speech ya Membe basi matumaini yote ya kulipata Lake Malawi yamenitoka. Narudia sipingi Tanzania kupata sehemu ndogo ya Lake Malawi kama baadhi mnavyoropoka. Na hata mnavyoropoa wengine hainipi matumani ya kulipata hilo Ziwa. Lakini aliyenisikitisha zaidi ni Waziri Membe na sasa kwangu ni dhahiri kwamba tusahau kabisa kulipata Ziwa hili.

Siku moja nilifanya hesabu ubaoni nikapata jibu na baadaye nikaongeza madoido mwalimu akanikata maksi akasema "Kujitawaza kwingi mwisho unashika kinyesi". Naona ndugu yetu Waziri Membe kaingia katika mtego huu. Kwa nini nasema hivi? Ninanukuu majibu yake kama ifuatavyo:


****
Mheshimiwa Spika,
Lipo tatizo la muda mrefu kati yetu na nchi jirani ya Malawi linalohusiana na mpaka kwenye Ziwa Nyasa. Tatizo lenyewe ni kwamba Malawi wanadai kwamba ziwa lote kaskazini ya Msumbiji kuelekea Ruvuma na Mbeya ni mali yao kwa mujibu wa Mkataba wa Heligoland uliowekwa mwaka 1890.

Mheshimiwa Spika,
Tanzania kwa upande wetu tunasema kuw ampaka wa kweli kati yetu na malawi unapita katikati ya ziwa hivyo kufanya
eneo lote la Kaskazini Mashariki ya Ziwa kati Latitude digrii 9 na digrii 11 kuwa mali ya Tanzania kwa mujibu wa mkata huouo wa Heligoland wa mwaka 1890 ambao ulikubali kuwa kwa vile kuna maeneo ya mpaka ambayo hayana mantiki, pande zinazohusiana zikutane na kurekebisha. Aidha tunazo ramani ambazo waingereza wenyewe walipitisha mpaka katikati kama ulivyo mpaka kati ya Msumbiji na Malawi.
****

Nimemalizia hapa kwa sababu mengine yanayofuata ni diplomatic process. Sasa hapa tuchambue hotuba hii ya Membe. Binafsi nimeusoma mkataba wote wa Heligoland na wala si alichokisema Membe. Kama membe anataka kuikomboa Tanzania walau tupate sehemu ya Ziwa basi washauri wake wamempotosha kutumia mkataba ule ambao hautetei hoja yake hata kidogo.

Lakini pia Membe ni mmoja wa wanaodhani watanzania wa sasa hawajui kufukua mambo na ndiyo maana kwenye thread yangu nimesema tutumie usomi wetu. Membe ametaja kwamba sehemu ya ziwa kati ya Latitude digrii 9 na digrii 11 ni mali ya Tanzania.

Hapa ndipo Membe ameumbuka umbuko ambalo hatalisahau. Kwa nini nasema kaumbuka. Kaumbuka kwa sababu geography ya Tanzania wote tunaijua. Ncha ya juu kabisa ya Lake Malawi iko kwenye coordinate { S9.49214 E34.03563} ambapo ni only 7.0km kutoka kijiji kiitwcho Matema kilichopo kwenye coordinate { S9.49601 E33.97215}.

Ukiangalia coordinate hizi maana yake ni kwamba Ziwa Malawi linaishia kwenye Latitude 9.49214. Sasa hapa Membe anasema eti ni kuanzia Latitude 9. Kwa maana hii ya Membe kama Ziwa ni letu kuanzia latitude 9 maana yake ni kwambaMmembe kafanya makosa kwa kulirefusha ziwa hili kwa umbali wa 54.4km kuelekea kaskazini!

Watu mnaotoka kusini hasa Mbeya mnafahamu sehemu iitwayo Matamba. Hapa coordinate zake ni { S9.01171 E34.09959}. Kwa mujibu wa Membe, hii Matamba ingekuwa imeguswa na Ziwa hili!

Hakika waliomletea Membe hizi data wamemvuruga kuliko kulietengeneza suala hili. Ziwa Malawi au Nyasa linaishia kwenye Latitude 9.49214 kama nilivyosema hapo juu. Hapa membe kadanganya Bunge na kadanganya watanzania kasi kwamba sijui sasa ni nani mwenye nguvu ya kulitetea hili.

Tuje sasa kwa upade wa kusini yaani unaotambuliwa na membe kama sehemu yaetu ya Ziwa. Membe anasema sisi mali yetu ni mpaka kwenye latitude 11. Sijui wangapi mmeona kosa hili la mwaka. Unaposema kwamba unaishia hapa kwenye Latitude 11, je mnaotetea hoja hii mnaelewa madhara yake? Kama hamyajui basi mimi nayasema hapa.

Kama Membe kasema Bungeni kwamba tunaishia kwenye Latitude 11 basi maana yake pale ni kaskazini ya sehemu iitwayo Liuli ambayo iko { S11.05023 E34.63908}. Kumbe, Mwanakijiji wa Liuli haruhusiwi kuvua samaki kwenye ziwa lile kwa sababu ni sehemu ya Malawi, kwa mujibu wa Waziri Bernard Membe!

Yaani mwanakijiji huyu wa Liuli, anakuwa amekiuka mpaka kwa kilomita 6.6 kwa mujibu wa Serikali anayoshiriki membe wala si kwa mujibu wa Serikali ya Malawi!

Nimeanza na mfano huo wa Liuli ambao najua wengine hampaju ahapo. Sasa tuje kwenye mfano ambao wengi mnaujua na mmeutumia kunipinga humu na kuniita mimi ni mmalawi.

Mfano wenyewe ni wa Mbamba Bay. Ndiyo maana nimesema kajipangeni hii kesi tutajikuta tunasambaratika tukidhani tunatetea huku tunajiangamiza. Narudia kusema kwa mujibu wa hotuba ya Waziri Membe ni kwamba umiliki wetu wa Ziwa hili unaishia kwenye latitude 11. Mbamba Bay iko kwenye coordinate { S11.30519 E34.80449}.

Hii maana yake ni nini? Maana yake ni kwamba Mbamba Bay haiko katika eneo linalotambuliwa na Waziri Membe kwa latitude degree 0.30519!

Uki-convert hizi latitude kwenda kwenye kilomita basi maana yake Membe haitambui Mbamba Bay kwani iko 33.7km nje ya eneo ambalo Tanzania tunamiliki ziwa!

Waziri membe pia inaelekea kuwa hajui mpaka unavyopita pale Msumbiji. yeye anasema kule ni nunu kwa nusu lakini wote fungueni ramani muone kama hilo nalo lina ukweli. Mpaka wa Msumbiji ni nusu kwa nusu kuanzia kwenye latitude 11 had 13 lakini kuanzia hapo kueleka kule chini kusini ziwa lote liko sehemu ya Malawi na linaishia kwenye coordinate {S14.44635 E35.23539} ambako ni latitude 14.44635.

Hivyo, tujenge hoja zinazojikita kwenye ukweli na tusishabikie mambo kama vile Simba na Yanga. Hapa hatufanyi ushabiki. Hapa tunasaidia kujenga na kupima hoja kama kweli tunaweza kuisaidia nchi yetu kupata sehemu ya ziwa hili.

Ninasubiri kwa hamu kuona mtakuja na hoja gani kuhusu hizi findings zinazochambua hotuba ya Membe na matokeo yake niliyoeleza humu.


Nimeona ramani ambayo haina coordinates ila inaonyesha mipaka ya nchi nimeona na nidhahiri kuwa kusini kabisa mwa ziwa nyasa Nchi ya Malawi inaendelea hadi Mashariki mwa Hilo ziwa. Bado ya coordinates nitakujibu mmalawi
 
Mmalawi jikumbushe map reading Kama umesahau muulize hata Mtoto wa darasa la Saba atakufafanulia kuhusu kwa nini Kusini kabisa mwa Ziwa linakuwa la Malawi tu. Hilo kubali kushindwa umenoa. Nitakujibu la coordinates Ndugu yetu mmalawi
 
hukumundo mbona unachotaka kunishauri ndicho unachofanya? Akili nyingine sijui zikoje!
Anyway, labda unijibu swali la msingi hapa kwamba, Wamalawi walikuwa wapi miaka takribani 50 hawakuwahi kudai kwamba ziwa nyasa lote ni lao kama wanavyotumia nguvu nyingi sasahivi?
Mjadala huu wa mpaka umeanza siku nyingi kidogo na kila mara kuna watu wanaonekana wako upande wa malawi kwa hoja za kuungaunga wakichanganya na chache za ukweli.
Kama unatambua kwamba waafrika hatuhitaji kuwa watumwa wa mipaka ya wakoloni kwanini bado unatetea msimamo wa malawi? Kwahali kama hiyo tukikuita mnyasa utasema tunakosa hoja!? Nachoafahamu mimi ni kwamba mtoa hoja naye ni hoja!

Je kama na wewe hutaki kuwa mtumwa wa mipakawa wakoloni kwa nini usiwaachie wanyasa waliopo tanzania waende upande wa malawi na ziwa lote?
 
Je kama na wewe hutaki kuwa mtumwa wa mipakawa wakoloni kwa nini usiwaachie wanyasa waliopo tanzania waende upande wa malawi na ziwa lote?

Umewakumbusha, wanakurupuka tu hao. Tena jina Ziwa Malawi ni la kiafrika zaidi wakati jina Ziwa Nyasa liliwekwa na mzungu Dr. Livingstone.
 
Serikali yetu inasikitisha sana. Wakati wenzetu wakitumia mikataba kama ushahidi, serikali yetu inatumia ramani!!!
Ramani iliyochorwa na Mwingereza???!!!. Kama mwingereza alikuwa na interest zake binafsi kuchora ramani hizo??!!
Serikali yetu inapaswa kutafuta strong evidences kwamba Ziwa Nyasa ni letu.

What evidences unazotaka zaidi bila
Kuanzia kwenye ramani?
Malawi walikuwa wapi muda wote na kuanza kubwabwaja juu ya ziwa Nyasa?
Unajua nani yuko nyuma yao? Nikuambie tu Mwingereza
 
Back
Top Bottom