JBourne59
JF-Expert Member
- Jan 17, 2020
- 941
- 8,547
Ongeza nyama kidogo!VXR V8 is bad news!
Ongeza nyama kidogo!VXR V8 is bad news!
😀😀😀😀😀Aiseeee! Mashine inaitika hadi unapiga ukunga!
Wasafirisha magazeti hutumia Noah old model au ? Ulishawahi fanya league nao?Ukiwa unauelekeo wa Dar-Arusha mshtue Hornet
Hao wasafirisha magazeti hutumia Noah old model au ? Hua wanakwenda Arusha na kurudi next day au?Nilishawai ipamia noah na pick up mlangoni ikawa km imegongwa na tren nikiifikiria ile body afu vjn wa kusafirisha gazet wanavopepea na hizo noah cna ham nao
Wanatumia new modelWasafirisha magazeti hutumia Noah old model au ? Ulishawahi fanya league nao?
Ni 2.5l Mkuu2.5i au 3.0i?
Sana kaka haina kelele kabisaTrip tamu sana hii..
Sasa hivi uoni wangu umepungua, sifanyi ligi bali natembea kawaida, ila bado naweza kukukalisha kwa VWNovember nikivuta E350 tujitafute tuchape ligi moja safi sana
Sidhani kama utanikalisha.. 😎😎😎Sasa hivi uoni wangu umepungua, sifanyi ligi bali natembea kawaida, ila bado naweza kukukalisha kwa VW
Tupe uzoefu wako wa gari za Korea Mkuu! Mbona bongo haziagizwii mkuu shida ni Nini? Spea ,mafundi au? Mi nilitaka kuagiza Kia Sorento nikakwama Mana ni left hand side.Nimeshawahi kufanya ligi na gari ndogo za magazeti
Noah wanatembea 140kph wastani
Isuzu pickup wanatembea 160kph
Muda mwingi mwendo wao unacheza hapo na hawana vituo vya hovyohovyo.
Nilikuwa na Mkorea 'Tuckson' manual 220kph +10 max, niliwatailgate lakini nikaona wananipotezea muda nikawaacha.
Mbona wataalam wa jf humu wanaziponda Sana hizo Noah new model,? Kumbe zinapigishwa route za hatari.Wanatumia new model
za kuambiwa changanya na zakoMbona wataalam wa jf humu wanaziponda Sana hizo Noah new model,? Kumbe zinapigishwa route za hatari.
Some times uoga unatukosesha vitu vizuri, gari za Korea SUV nyingi ni leather seat, speed above. 180 na ni 7 seat lakini Bado tumekariri tu gari za wa Japan na mafundi wetu Kama ss wa mikoan ndo hivyo Tena daaaa,.za kuambiwa changanya na zako
Siyo kwamba faultsIssue ni ku clear taa ya check engine isiwake au ni kutafuta root cause ya tatizo?
no wonder mafundi wahuni huwa wanafunga na black masking tape ili upate amani ya moyo kumbe tatizo liko palepale
Lakini reader nyingine zina full system functions. Hivyo unaweza ku-reprogram fuel injection system, ku-regenerate dpf etc.Issue ni ku clear taa ya check engine isiwake au ni kutafuta root cause ya tatizo?
no wonder mafundi wahuni huwa wanafunga na black masking tape ili upate amani ya moyo kumbe tatizo liko palepale