RRONDO
JF-Expert Member
- Jan 3, 2010
- 51,920
- 108,533
- Thread starter
- #4,561
Duh wajomba!"Wajomba" hawa hapaView attachment 1790144
Duh wajomba!"Wajomba" hawa hapaView attachment 1790144
aaah! Napenda sana kwenda Arusha kwa kutokea Singida.. huwa naipenda sana ile njia.. ratiba zangu za Arusha huwa naziamshia nikiwa dodoma au singida au mwanza..Ukiwa unauelekeo wa Dar-Arusha mshtue Hornet
Wajomba hawana haraka, wapo mdogo mdogo na mambo yao 😀😀Duh wajomba!
Ni njia nzuri sana, naipenda zaidi kuliko Dar to ArushaHio njia itabidi tu nipite, nimechoka kusimuliwa
kikubwa safari 😀😀Itabidi nipite kabla Mjapan wangu sijamfunga ball joint,bushes,tie rod end za Kariakoo
nilitoka Dar saa nane kamili usiku. Mda huo njia inakuwa nyeupe sana, hata malori yanakuwa yamepungua sanaa yani kuna sehemu inafikia hukuti kabisa lori kwa umbali mrefu sanaSaa ngapi hio maanake Dar-Chalinze panapoteza sana muda.
Gari gani ulitumia?juzi nilitumia masaa manne na nusu dar to dodoma
Subaru Forester nyeusi.. 😎Gari gani ulitumia?
Ubungo - Chalinze 60minSubaru Forester nyeusi..
Maxi AP200 ile Bluetooth obd2 reader, nayo inasaidia kwa matumizi binafsi.Mi nna ki obd reader changu nilinunua china $15 I think. Kinasoma na kuclear check engine vizuri tu. Same codes zinazoonekana na haya mamashine yao makubwa.
Hizi tech zimewekwa makusudi ili bei iwe rahisi but wabongo wanatupigia hapo.
Nikipata hiyo GTi hata ya kuazima nita test mtambo one day. Huwa nazielewa sana hizo machine maana ni 🔥🔥Ubungo - Chalinze 60min
Chalinze - Moro 45min
Moro - Dom 165min
Siku nyingine jaribu na VW Golf GTi utashangaa muda utakaotumia.
Issue ni ku clear taa ya check engine isiwake au ni kutafuta root cause ya tatizo?Mi nna ki obd reader changu nilinunua china $15 I think. Kinasoma na kuclear check engine vizuri tu. Same codes zinazoonekana na haya mamashine yao makubwa.
Hizi tech zimewekwa makusudi ili bei iwe rahisi but wabongo wanatupigia hapo.
Nilishawai ipamia noah na pick up mlangoni ikawa km imegongwa na tren nikiifikiria ile body afu vjn wa kusafirisha gazet wanavopepea na hizo noah cna ham naoKweli tatizo hayo mabodi yao ya sasa...Kuna magari ukiyaegemea vibaya, unaweza ukanunua ugomvi,...niliegemea ubavu wa noah siku moja, likabonyea nilipotoka likarudi...bahati mwenyewe hakuwepo hapo...