sweetlady
JF-Expert Member
- Dec 24, 2010
- 16,947
- 8,409
Kama ni huruma tu, hata wewe unaweza kwenda kuwalipa. Swali, kwanini Nyerere hakuwalipa katika uhai wake?
Sasa mie niwalipeje wajameni????.....Nyerere alimwachia Mwinyi hiyo kazi......nae alimwachia Mkapa.......Mkapa amemwachia JK hilo jukumu..........afu mbona kuna kipindi JK alitangaza kuwa hao wazee watalipwa , imekuwaje hawajalipwa mpaka sasa?