andate
JF-Expert Member
- Jun 9, 2011
- 2,651
- 1,006
Ushahidi wako upo against yourself. umesema pesa zililipwa Nyerere akazidhulumu. halafu ushahidi wako unaonyesha pesa ziliingia BoT mwaka 1986/87(rais hakuwa Nyerere hapo). Je huyo Malkia aliwalipa hao watu mara mbili?Uongo ni upi hapo? soma post #40 kuna hansard ya bunge la Kenyea nimeiweka kwa ushahidi kamili.