Mzito Kabwela
JF-Expert Member
- Nov 28, 2009
- 18,857
- 7,615
[h=6]Mstaafu wa Jumuiya ya Afrika Mashariki(EAC) iliyovunjika mwaka 1977, Pascala Maziku akiomba dua, kwenye mkutano wa wastaafu hao uliofanyika jana jijini Dar es Salaam, ambapo alikuwa akimwuliza Mungu kama kweli wana haki ya kulipwa mafao yao au la. Mzee huyo anadai kuwa alipewa ishara ya kuwa wana haki ya kupatiwa mafao. Picha na Zacharia Osanga[/h]