Wazanzibar waanza kumbana dk ndalichako wa necta: Gazeti la mwanahalisi

Mchakato wa kupata katiba mpya upo njiani huenda ikazaa katiba tatu Rasmi, TANGANYIKA, Zanzibar na ya Muungano.
hakuna haja ya kuwa na muungano,simply katiba mpya iue muungano rasmi,hakuna haja ya kubeba gunia la misumari
 
mara hii kaliwa. Maana akikanyaga tu zenj

Another C^R^A^P. Mitihani hasahihishi yeye, ni walimu. Juzi alikuwa Zenji kwa tamasha la Sauti za Busara na nilikaa naye karibu kabisa. Akanyage mara ngapi ili umuone?

 
zanzibar si ni nchi? Vipi haina baraza lake la mitihani mpaka isahihishiwe mitihani na jirani?


na tanganyika nayo ? Inasahihishwa wapi ? Watanganyika wamejaa chuki zaidi ni wale waluga luga watu wanongea mambo mengine wanarukia mambo mengine . Its used to be a place where you can identified the real great thinkers ! as we are dare to talk openly !!! Nimeanza kujengeka chuki na watanganyika kiukweli .
 
Dk. Joyce Ndalichako ninajua huwa unapitia JF. Pia maafisa wako nao ni wanachama wa JF. Kwanini mmoja wenu asijitokeze kujibu huu ******?!

Kujaribu kulinganisha hizo shule zilizotajwa za ZNZ na shule kama St. Francis, Feza, Mazinde Juu, Marian etc ni sawa na kulinganisha MBIGU na ARDHI. Kama mnabisha waambieni Cambridge watunge mitihani wasimamie, wasahihishe wao wawashindanishe watoto wa hizo shule, kama hamtaishia kuvuna aibu.

Maana mwandishi anajenga taswira kwamba shule zilizofutiwa ni za Kiislamu ambazo zilitegemewa kufanya vizuri. Anajaribu kujenga chuki ya UDINI na U-Zanzibari
 
na tanganyika nayo ? Inasahihishwa wapi ? Watanganyika wamejaa chuki zaidi ni wale waluga luga watu wanongea mambo mengine wanarukia mambo mengine . Its used to be a place where you can identified the real great thinkers ! as we are dare to talk openly !!! Nimeanza kujengeka chuki na watanganyika kiukweli .

Watu wa Mchambawima utawatambua tu kwa presentations zao
 
Mbona wanapoteza muda wao bure. Si 2(i) - waamue kufuata mfumo wa elimu wanaotaka badala ya kuendelea kutegemea mtaala wa elimu unaotumiwa na Watanganyika!

1 - Hawa wnzetu wanapenda sana kulalamika hata kwa issue ambazo ni technical zaidi. Ubinafsi wao unawagharim sana.

Naomba kujuzwa:

2(ii) - Mtaala unaotumika Unguja ndo huu tunaoufahamu huku Tanganyika?
Kuna mambo ya msingi yamezungumzwa kwenye hizo dondoo nillizobakisha.
1. Sio Wazanzibari tu wanapenda kulalamika, hii imekuwa tabia yetu Watanzania. Ninakumbuka kisa hiki:
Nakumbuka mwaka mmoja Muungano ulikaribia kuvunjika wakati timu moja ya ZNZ ilipokuwa kimahesabu ilikwishatolewa katika kombe la challenge lakini walibakiwa kucheza mechi yao ya mwisho na timu moja ya TBara, ambapo kama timu hii ingeshinda ingeweza kusonga mbele. Timu ya visiwani walipowafunga ndugu zao wa bara, hawa waliwashutumu wa visiwani kuwa hawana uzalendo.

Tukirudi kwenye mada, mfumo wetu wa elimu unalenga zaidi mtu kufaulu mtihani na sio kupata elimu, kiasi kwamba hata (baadhi ya) wazazi wanapoteza pesa kwa kununua mitihani, na wanafunzi wetu wanafanya liwalo na liwe, ili wafaulu. Kwenye vyuo hivyo hivyo, wazazi wanaenda kuwalilia na kuwahonga walimu, wasichana wanagawa ugoro, halmuradi tu wafaulu. Kwa hili tusitupiane madongo; hivi TZ Bara hawailalamikii NECTA? Kama tunataka elimu bora na sio bora elimu, tubadilishe mfumo wetu mzima.

2(i) na 2(ii) Zinazungumzia jambo moja - mfumo au mitaala ya elimu inayotumika bara na visiwani.
Ninavyoelewa ni kuwa mitaala ya shule za msingi inatafautiana, ZNZ wana yao na TBara wana yao. Ile ya Bara inakuwa ni mwendelezo wa msingi hadi sekondari, ile ya ZNZ inaweza isiwe hivyo. Kwa hivyo, mwanafunzi wa visiwani anapoanza sekondari anaanza kitu kipya kabisa. Na hili nalo linaashiria ubaya wa mfumo wetu wa elimu, kama vile tunapoanza kutumia Kiingereza kwa sekondari wakati shule za msingi muda wote tumesoma kwa Kiswahili.

Bado nahisi iko haja ya kubadili mfumo wetu wa elimu na zaidi Watanzania tubadilike tusipende vya bure. Watanzania bado tumekomazwa na falsafa ya ELIMU BURE na BORA ELIMU.
 
Leo nimesoma gazeti la Mwanahalisi na kuona makala moja inayopinga hoza za Dk Ndalichako kuhusu kufutiwa matokeo ya wazanzibar.
makala hiyo inazungumzia jinsi matokeo hayo yalivochahakachuliwa.
kwa mfano, wanadai kuna shule zipo pua na mdomo, moja imefutiwa matokeo ya wanafunzi 170 na mmoja kusalimika , lakini nyegine haikuguswa na hata mtu mmoja. Makala hiyo inadai haingii akilini swali hili la Mtihani uvuje sehemu ya shule usiambukize shule nyengine.
kwa mfano kutoka shule ya kiislam na hadi shule ya Kiembe samaki ni dakika 2 kwa miguuu. lkn shule ya kiembe samaki hakuna alieguswa shule ya kiislam amesalimika 1 kati ya 52. hivyo hivyo kwa shule ya Hamamni na Vikokotoni, Benbella na Haile salas ambazo zipo karibu sana. lkn Hamamni ambayo inaonekana inafanya vizuri zanzibar imebakwa na Necta kwa kuwafutia matokeo ya wanafunzi 152 kati ya 172 lakini hizo nyegine hakuna alieguswa. Hii anasema sawa na moto umeunguza nyumba ya mtaa mmoja ukaambukiz mtaa wa 2 lkn nyumba za jirani zimeachwa. moto huu wanadai utakuwa wa Kichawi
lkn pia anadai haiwezekani uvuje Zanzibar ushindwe kuvuja bara hasa huko wanafunzi waliopata div1 yaani hapa shule za seminary
pia wanadai Necta imejaribu kufuta zile shule ambazo ni bora kw miaka ya nyuma huko Zanzibar na kupeleka Alama ya D na F shule ambazo zimepakana na shule zilizofutiwa matokeo.
Pia imejidai hao wanafunzi wa shule waliofutiwa ambao wao wamesalimika wameangua Div 1v kwa alama ya D na F.

jeografia ya zanzibar kutoka shule hadi shule ni dakika 5 hadi 10 kwa miguu huku mtihani ulifanywa siku 14.

lakini haiwezekani uvuje zanzibar usipande meli au Ndege kufika Iringa na Bukoba.lkn hat hii njia ya Email au simu nayo ipo lkn nndalichako anadai Wabongo hawakuona.
Kikubwa zaidi wanadai shule zilizolengwa na sakata hili shule ambazo zikifanya vizuri sana huko nyuma mfano shule ya Mikunguni, High view na Lauret.
pemba shule ya kiislam wamefutiwa wote .
Labda sasa tuanze kuchapishia mitihani nje ya nchi na iletwe nchini walau muda mfupi kabla ya usambazaji ndani ya nchi.
 
Kwa kuwafutia MATOKEO na kusema walipata mitihani (Question paper) kabla ni kuwaonea ,tena kuwaonea sana ,kama leakage hiyo ilitokea basi hao wahusika wakuu ndio wa kuwajibishwa ,kwani walishindwa kudhibiti ,wao ndio waajiri wa wanaofikisha mitihani na kuilinda hadi inafika kwa mtihaniwa kwenye dawati ,sasa unapowafutia matokeo wanafunzi wote kwa sababu za kuvuja kwa mitihani huoni kuwa hata wale ambao ni mahodari nao wataingia katika kundi hilo.
Nijuavyo inapotokea hali kama hiyo inabidi mitihani irudiwe kwa second chance ,kwa niwajuavyo WaZanzibari wataamua kujitenga na hili suala la mitihani kwani jambo lenyewe halimo hata ndani ya mambo ya Muungano.
 
leo nimesoma gazeti la mwanahalisi na kuona makala moja inayopinga hoza za dk ndalichako kuhusu kufutiwa matokeo ya wazanzibar.
Makala hiyo inazungumzia jinsi matokeo hayo yalivochahakachuliwa.
Kwa mfano, wanadai kuna shule zipo pua na mdomo, moja imefutiwa matokeo ya wanafunzi 170 na mmoja kusalimika , lakini nyegine haikuguswa na hata mtu mmoja. Makala hiyo inadai haingii akilini swali hili la mtihani uvuje sehemu ya shule usiambukize shule nyengine.
Kwa mfano kutoka shule ya kiislam na hadi shule ya kiembe samaki ni dakika 2 kwa miguuu. Lkn shule ya kiembe samaki hakuna alieguswa shule ya kiislam amesalimika 1 kati ya 52. Hivyo hivyo kwa shule ya hamamni na vikokotoni, benbella na haile salas ambazo zipo karibu sana. Lkn hamamni ambayo inaonekana inafanya vizuri zanzibar imebakwa na necta kwa kuwafutia matokeo ya wanafunzi 152 kati ya 172 lakini hizo nyegine hakuna alieguswa. Hii anasema sawa na moto umeunguza nyumba ya mtaa mmoja ukaambukiz mtaa wa 2 lkn nyumba za jirani zimeachwa. Moto huu wanadai utakuwa wa kichawi
lkn pia anadai haiwezekani uvuje zanzibar ushindwe kuvuja bara hasa huko wanafunzi waliopata div1 yaani hapa shule za seminary
pia wanadai necta imejaribu kufuta zile shule ambazo ni bora kw miaka ya nyuma huko zanzibar na kupeleka alama ya d na f shule ambazo zimepakana na shule zilizofutiwa matokeo.
Pia imejidai hao wanafunzi wa shule waliofutiwa ambao wao wamesalimika wameangua div 1v kwa alama ya d na f.

Jeografia ya zanzibar kutoka shule hadi shule ni dakika 5 hadi 10 kwa miguu huku mtihani ulifanywa siku 14.

Lakini haiwezekani uvuje zanzibar usipande meli au ndege kufika iringa na bukoba.lkn hat hii njia ya email au simu nayo ipo lkn nndalichako anadai wabongo hawakuona.
Kikubwa zaidi wanadai shule zilizolengwa na sakata hili shule ambazo zikifanya vizuri sana huko nyuma mfano shule ya mikunguni, high view na lauret.
Pemba shule ya kiislam wamefutiwa wote .

tatizo ni ku kopi na kupesti, kaaazi kweli kweli. Watu wamenakili mpaka hati mahali pengine, mtamulaumu dr ndalichako bure.
 
sishangai kawaida yenu Wanzibari kulalamika. kila kitu huwa mnasema mmeonewa wakati mnabebwa tu mahali ambapo hata siyo stahili yenu. Anzisheni Baraza lenu la Mitihani mnashindwa nini? kulalamika tuuu kila wakati hamuoni aibu?
 
hawa wauza tende wana mambo kweli wanadhani Mtihani ni kama mafua ya nguruwe au ya ndege kuambukiza kwa hewa? badala waende darasani wao wanasema hiyo ni elimu dunia. waache kulalamika wasome
 
Watumishi wake watakuwa ni hawa hapa....

Female-Terrorists.jpg

duuh al shabab au Boko haramu? Au ni muslim brotherhood?
 
Leo nimesoma gazeti la Mwanahalisi na kuona makala moja inayopinga hoza za Dk Ndalichako kuhusu kufutiwa matokeo ya wazanzibar.
makala hiyo inazungumzia jinsi matokeo hayo yalivochahakachuliwa.
kwa mfano, wanadai kuna shule zipo pua na mdomo, moja imefutiwa matokeo ya wanafunzi 170 na mmoja kusalimika , lakini nyegine haikuguswa na hata mtu mmoja. Makala hiyo inadai haingii akilini swali hili la Mtihani uvuje sehemu ya shule usiambukize shule nyengine.
kwa mfano kutoka shule ya kiislam na hadi shule ya Kiembe samaki ni dakika 2 kwa miguuu. lkn shule ya kiembe samaki hakuna alieguswa shule ya kiislam amesalimika 1 kati ya 52. hivyo hivyo kwa shule ya Hamamni na Vikokotoni, Benbella na Haile salas ambazo zipo karibu sana. lkn Hamamni ambayo inaonekana inafanya vizuri zanzibar imebakwa na Necta kwa kuwafutia matokeo ya wanafunzi 152 kati ya 172 lakini hizo nyegine hakuna alieguswa. Hii anasema sawa na moto umeunguza nyumba ya mtaa mmoja ukaambukiz mtaa wa 2 lkn nyumba za jirani zimeachwa. moto huu wanadai utakuwa wa Kichawi
lkn pia anadai haiwezekani uvuje Zanzibar ushindwe kuvuja bara hasa huko wanafunzi waliopata div1 yaani hapa shule za seminary
pia wanadai Necta imejaribu kufuta zile shule ambazo ni bora kw miaka ya nyuma huko Zanzibar na kupeleka Alama ya D na F shule ambazo zimepakana na shule zilizofutiwa matokeo.
Pia imejidai hao wanafunzi wa shule waliofutiwa ambao wao wamesalimika wameangua Div 1v kwa alama ya D na F.

jeografia ya zanzibar kutoka shule hadi shule ni dakika 5 hadi 10 kwa miguu huku mtihani ulifanywa siku 14.

lakini haiwezekani uvuje zanzibar usipande meli au Ndege kufika Iringa na Bukoba.lkn hat hii njia ya Email au simu nayo ipo lkn nndalichako anadai Wabongo hawakuona.
Kikubwa zaidi wanadai shule zilizolengwa na sakata hili shule ambazo zikifanya vizuri sana huko nyuma mfano shule ya Mikunguni, High view na Lauret.
pemba shule ya kiislam wamefutiwa wote .

ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha !!! i expected this.
 
Mimi sioni ajabu kuona hizo shule zimefutiwa MATOKEO.Naamini ni huenda ni kweli paper ili leak .na pia naamini hata huku bara huenda mitihani kwenye shule za kiislamu kuvujishwa inawezekana kufanyika tena kwa makusudi ili kulipiza ile dhana kuwa wakristo wanapendelewa...
 
Hivi kwanini 1997 mtihani ulifutwa?jee unaamini mtihani unaweza kuvuja Shule 1 halafu usiangukie shule nyengine?tena ukiwa kwa mwanafunzi siku 14 mkononi?. hakuna duniani formula walioutumia NECTA.

bisha kwa hoja. Huu ni utaalamu si siasa
 
Nadhani tumefikia wakati sasa kutafuta utaratibu mwingine wa kuwapima watoto wetu badala ya mtihani unaofanywa sikui moja na kuamua hatima yako kwani serikali yetu imeshindwa kabisa kusimamia mitihani hii.

mkuu nakuunga mkono
 
hiyo sio hoja ya msingi. Inamaana unawaambia wampinzani waanzishe tume yao ya uchaguzi ?

bado unawaza kisiasa. Ndalichako ni mtaalamu. Toa miwani ya mbao aina ya UDINI, utaona. Dini zetu zinatupumbaza sana
 
Back
Top Bottom