Wazanzibar waanza kumbana dk ndalichako wa necta: Gazeti la mwanahalisi

niwajuavyo wabongo kwa kuiba mtihani hata la saba waliula. washindwe huuu. hapa ndalichako aje na hoja nyengine
 
Sasa kama hamuiamini NECTA mtamwamini nani? Tunapotaka kuleta tena siasa kwenye hili jambo tunajimaliza. Kwa nini tunatetea tu hata mambo yasiyofaa. Kama waliiba mitihani wamestahili walichopata. Kama mnadhani kuwa na wengine waliiba pelekeni ushahidi baraza wachukue hatua. Tuache kulalama mno. Sio lazima ukivuja na wengine wapate. vinginevyo ingevuja nchi nzima. Jamani tulipende hili taifa kwa kuwa na positive thinking wakati mwingine
 
makala ile akisoma ndalichako lazima asifanye kazi siku nzima. maana itamtia homa
 
wawafundishe watoto umuhimu wa elimu, huku wakiwafundisha watoto wao umuhimu wa kushika elimu, kuhakikisha walimu ni bora na vifaa vya kufundishia vipo vya kutosha bila kusahau vitabu, library na labs. wakisaidiwa na wazazi watoto watafanya vizuri na si kutafuta visingizio visivyokuwa na kichwa wala miguu.

hata kwenye shule moja baadhi ya wanafunzi wanaweza pata feki, na wengine wasipate sembuse kati ya shule na shule

You have said it all mkuu. Kama wana ushahidi kuwa na wengine walipata wapeleke baraza. Wanalalama mno. Huku mtaani wapo form four wasiojua hata kuandika sentensi moja. Sijui baraza linahusikaje. Sielewi ni kwa nini sielewi baraza linavohusika hapa.
 
Sasa kama hamuiamini NECTA mtamwamini nani? Tunapotaka kuleta tena siasa kwenye hili jambo tunajimaliza. Kwa nini tunatetea tu hata mambo yasiyofaa. Kama waliiba mitihani wamestahili walichopata. Kama mnadhani kuwa na wengine waliiba pelekeni ushahidi baraza wachukue hatua. Tuache kulalama mno. Sio lazima ukivuja na wengine wapate. vinginevyo ingevuja nchi nzima. Jamani tulipende hili taifa kwa kuwa na positive thinking wakati mwingine

hivi darasa la saba la bongo wameambiwa warejee mitihani,. sababu kubwa ya waziri kwamba wadau hasa wabunge na wanaharakati wamepiga kelele. NECTA inabaka Elimu hata wanafunzi . hivi hizi div 1 za bongo zinatokana na msg za simu kutoka Zanzibar nini? ndalichako amezifumbia macho
 
you have said it all mkuu. Kama wana ushahidi kuwa na wengine walipata wapeleke baraza. Wanalalama mno. Huku mtaani wapo form four wasiojua hata kuandika sentensi moja. Sijui baraza linahusikaje. Sielewi ni kwa nini sielewi baraza linavohusika hapa.

ndalichako alisema kwamba mtihani ulivuja. Na sio wanafunzi. Lkn ndalichako ameshindwa kuwapeleka walionekana na hizo simu polisi. Jee kama mtu anaonekana na bukuleti ndani ya mtihani halafu hakamatwi. Ndalichako anadai kamuona na simu. Hakumnyanganya simu. Ukweli wake unaingia mashaka
 
Wazanzibar kwa kulalamika tu...
Wamevimbiwa Biriani hao.
24737_112689752087753_108719462484782_154818_2051779_n.jpg
 
Hivi kwanini 1997 mtihani ulifutwa?jee unaamini mtihani unaweza kuvuja Shule 1 halafu usiangukie shule nyengine?tena ukiwa kwa mwanafunzi siku 14 mkononi?. hakuna duniani formula walioutumia NECTA.

Mtihani hufutwa kwa kupata ushahidi na vielelezo sio kusikia mtaani au shule kuwa jirani.
 
Leo nimesoma gazeti la Mwanahalisi na kuona makala moja inayopinga hoza za Dk Ndalichako kuhusu kufutiwa matokeo ya wazanzibar.
makala hiyo inazungumzia jinsi matokeo hayo yalivochahakachuliwa.
kwa mfano, wanadai kuna shule zipo pua na mdomo, moja imefutiwa matokeo ya wanafunzi 170 na mmoja kusalimika , lakini nyegine haikuguswa na hata mtu mmoja. Makala hiyo inadai haingii akilini swali hili la Mtihani uvuje sehemu ya shule usiambukize shule nyengine.
kwa mfano kutoka shule ya kiislam na hadi shule ya Kiembe samaki ni dakika 2 kwa miguuu. lkn shule ya kiembe samaki hakuna alieguswa shule ya kiislam amesalimika 1 kati ya 52. hivyo hivyo kwa shule ya Hamamni na Vikokotoni, Benbella na Haile salas ambazo zipo karibu sana. lkn Hamamni ambayo inaonekana inafanya vizuri zanzibar imebakwa na Necta kwa kuwafutia matokeo ya wanafunzi 152 kati ya 172 lakini hizo nyegine hakuna alieguswa. Hii anasema sawa na moto umeunguza nyumba ya mtaa mmoja ukaambukiz mtaa wa 2 lkn nyumba za jirani zimeachwa. moto huu wanadai utakuwa wa Kichawi
lkn pia anadai haiwezekani uvuje Zanzibar ushindwe kuvuja bara hasa huko wanafunzi waliopata div1 yaani hapa shule za seminary
pia wanadai Necta imejaribu kufuta zile shule ambazo ni bora kw miaka ya nyuma huko Zanzibar na kupeleka Alama ya D na F shule ambazo zimepakana na shule zilizofutiwa matokeo.
Pia imejidai hao wanafunzi wa shule waliofutiwa ambao wao wamesalimika wameangua Div 1v kwa alama ya D na F.

jeografia ya zanzibar kutoka shule hadi shule ni dakika 5 hadi 10 kwa miguu huku mtihani ulifanywa siku 14.

lakini haiwezekani uvuje zanzibar usipande meli au Ndege kufika Iringa na Bukoba.lkn hat hii njia ya Email au simu nayo ipo lkn nndalichako anadai Wabongo hawakuona.
Kikubwa zaidi wanadai shule zilizolengwa na sakata hili shule ambazo zikifanya vizuri sana huko nyuma mfano shule ya Mikunguni, High view na Lauret.
pemba shule ya kiislam wamefutiwa wote .

Mmmmh kumbe huko Zanzibari jirani yako akipata maambukizi say ya HIV kumbe automatically na wewe utaambukizwa.....never imagined before...I thought ni active participation kwenye process ndo inaweza kuwa chanzo.........oooonh I better live mbali na watu then
 
Mwanafunzi mmoja akikutwa na kosa la kuiba mtihani, je na wapembeni yake atafutiwa mtihani pasipo ushahidi? eti sababu tu jirani yake alikutwa na kosa la kugushi.
 
Tofautisheni kuvuja mtihani na udanganyifu katiika mtihani.... Halafu acheni kutetea uhalifu... Kama karatasi za mtahiniwa mmoja zina miandiko ya watu tofauti na wataalamu wenye jukumu hilo kisheria wamethibitisha kuwa mtahiniwa mmoja amefanyiwa mtihani hadi na watu wanne ndalichako unamlaumu kwa kukamata wezi?? Yaani mtahiniwa ni she lakini skripti zimeandikwa hadi na me?? acheni kuinajisi elimu vinginevyo mtakuwa na taifa la vilaza au anzisheni BARAZA lenu la mitihani halafu muone vyeti vyenu mtakavyokuwa mnapeana atavitambua nani.
 
Ni haki na ruhusa kwa shule au mwanafunzi kukata rufaa na mitihani bado ipo inachomwa moto baada ya miaka 3. kama wana ushahidi kwamba wameonewa wanatakiwa kuandika rufaa (barua) ya kuomba kupitia upya karatasi za mtihani za shule husika.
 
Kubenea achukue sample ya wanafunzi watano tu kutoka zanzibar na kwenda nao Baraza la mtihani kukata rufaa na kusahihisha upya karatasi zao za mitihani kwani bado zipo. kisha atujulishe ukweli.
 
Leo nimesoma gazeti la Mwanahalisi na kuona makala moja inayopinga hoza za Dk Ndalichako kuhusu kufutiwa matokeo ya wazanzibar.
makala hiyo inazungumzia jinsi matokeo hayo yalivochahakachuliwa.
kwa mfano, wanadai kuna shule zipo pua na mdomo, moja imefutiwa matokeo ya wanafunzi 170 na mmoja kusalimika , lakini nyegine haikuguswa na hata mtu mmoja. Makala hiyo inadai haingii akilini swali hili la Mtihani uvuje sehemu ya shule usiambukize shule nyengine.
kwa mfano kutoka shule ya kiislam na hadi shule ya Kiembe samaki ni dakika 2 kwa miguuu. lkn shule ya kiembe samaki hakuna alieguswa shule ya kiislam amesalimika 1 kati ya 52. hivyo hivyo kwa shule ya Hamamni na Vikokotoni, Benbella na Haile salas ambazo zipo karibu sana. lkn Hamamni ambayo inaonekana inafanya vizuri zanzibar imebakwa na Necta kwa kuwafutia matokeo ya wanafunzi 152 kati ya 172 lakini hizo nyegine hakuna alieguswa. Hii anasema sawa na moto umeunguza nyumba ya mtaa mmoja ukaambukiz mtaa wa 2 lkn nyumba za jirani zimeachwa. moto huu wanadai utakuwa wa Kichawi
lkn pia anadai haiwezekani uvuje Zanzibar ushindwe kuvuja bara hasa huko wanafunzi waliopata div1 yaani hapa shule za seminary
pia wanadai Necta imejaribu kufuta zile shule ambazo ni bora kw miaka ya nyuma huko Zanzibar na kupeleka Alama ya D na F shule ambazo zimepakana na shule zilizofutiwa matokeo.
Pia imejidai hao wanafunzi wa shule waliofutiwa ambao wao wamesalimika wameangua Div 1v kwa alama ya D na F.

jeografia ya zanzibar kutoka shule hadi shule ni dakika 5 hadi 10 kwa miguu huku mtihani ulifanywa siku 14.

lakini haiwezekani uvuje zanzibar usipande meli au Ndege kufika Iringa na Bukoba.lkn hat hii njia ya Email au simu nayo ipo lkn nndalichako anadai Wabongo hawakuona.
Kikubwa zaidi wanadai shule zilizolengwa na sakata hili shule ambazo zikifanya vizuri sana huko nyuma mfano shule ya Mikunguni, High view na Lauret.
pemba shule ya kiislam wamefutiwa wote .
Vilaza wakubwa Dr Ndalichako waambie wasiingize siasa za majitaka walizozoea kwenye academics. This is plain stupidity!
Hawa vilaza bado wanataka kutumia upumbavu wa kisiasa hapa; they should be SHATTERED!
 
kwa nini waalimu na wanafunzi washule hizo hawakati rufaa baraza la mitihani wanalalamika mitaani. Rufaa iko wazi muda wote pale baraza la mitihani ambapo karatasi za wahusika zitaletwa mezani na wao wanafunzi wakiwepo na kusahihishwa upya.
 
Nyie c mnasoma qruan
zaidi kuliko elimu ya
dunia, mtaachwa hivyo hivyo
Mliiga kuita shule zenu
SEMINARI! lakikini zinaa
mbulia 0!. CATHOLIC
SEMINARI zimeendelea
kutamba.
 
Unacholalama hapa ni kitu gani?
  1. Kwamba shule zikiwa karibu basi zote zitakuwa na uadilifu ulio sawa?
  2. Kwamba shule za kiislam zilizoko Zanzibar/Pemba zimefutiwa mitihani kutokana na umiliki wake?
  3. Kwamba kosa likifanyika Visiwani lazima pia lifanyike Bara?
  4. Kwamba shule iliyofanya vizuri mwaka jana lazima ifanye vizuri mwaka huu?
Hebu kwa muwazi na msimamo wako ni upi bila kujiegemeza katika gazeti la mwanahalisi!
 
Vilaza wakubwa Dr Ndalichako waambie wasiingize siasa za majitaka walizozoea kwenye academics. This is plain stupidity!
Hawa vilaza bado wanataka kutumia upumbavu wa kisiasa hapa; they should be SHATTERED!

Mkuu kastarehe wangekuwa karibu ungewachapa kibao naona. Ila hawa watu wanaboa sana. Kama kunaushahidi kuwa shule nyingine waliiba wapeleke baraza. Kama wanadhani wameonewa wakate rufaa. Hawa watu wanatakiwa wakamatwe na kufunguliwa mashitaka ya uchochezi
 
Back
Top Bottom