Wazanzibar waanza kumbana dk ndalichako wa necta: Gazeti la mwanahalisi

kila siku wanapanua midomo tu hawa,
kwa kuna ulazima gani kwa wao kuwa chini ya necta?watafute utaratibu wao wa elimu kama necta hawaitaki
 
Hawa wnzetu wanapenda sana kulalamika hata kwa issue ambazo ni technical zaidi. Ubinafsi wao unawagharim sana. Wakati wakilalamikia shule za kikristu, waangalie walimu wanaofundisha shule zao, isijekuwa ni bora walimu. Aghalabu ni ngumu sana kumuona mwalimu mkristu, au mkristu akiajiriwa kwenye taasisi yoyote ya kiislamu, wakristu wao wanaangalia content ya mtu na siyo dini.

Jamani, hivi, unamaanisha jirani akiwa mwizi na wewe unakuwa mwizi? Wasitolee mfano usio na mshiko wa moto kuwaka. Kwa hiyo wanavosema ni kuwa shule zote za Zanzibar wanaiba mitihani, isipokuwa wengine wanaiba ki akili zaidi?

Acheni ubaguzi nyie viumbe.
 
kila siku wanapanua midomo tu hawa,
kwa kuna ulazima gani kwa wao kuwa chini ya necta?watafute utaratibu wao wa elimu kama necta hawaitaki
sio hoja. kama mtihani wa std 7 ulivuja Tanga. mbona hadi wa shinyanga walifutiwa? jee uvuje zanzibar usifike rukwa? hii ndio mara ya 1 kutokea kiini macho kama hichi. NECTA hapa wakubali wamechemsha
 
Hawa wnzetu wanapenda sana kulalamika hata kwa issue ambazo ni technical zaidi. Ubinafsi wao unawagharim sana. Wakati wakilalamikia shule za kikristu, waangalie walimu wanaofundisha shule zao, isijekuwa ni bora walimu. Aghalabu ni ngumu sana kumuona mwalimu mkristu, au mkristu akiajiriwa kwenye taasisi yoyote ya kiislamu, wakristu wao wanaangalia content ya mtu na siyo dini.

Jamani, hivi, unamaanisha jirani akiwa mwizi na wewe unakuwa mwizi? Wasitolee mfano usio na mshiko wa moto kuwaka. Kwa hiyo wanavosema ni kuwa shule zote za Zanzibar wanaiba mitihani, isipokuwa wengine wanaiba ki akili zaidi?

Acheni ubaguzi nyie viumbe.
sasa hapa kuna vita vya ukiristo na uislam? hivi NECTA NI YA UKIRSTO? ndio maana ikawapa div 1shule za wakiristo tu?
 
Nyie c mnasoma qruan
zaidi kuliko elimu ya
dunia, mtaachwa hivyo hivyo
Mliiga kuita shule zenu
SEMINARI! lakikini zinaa
mbulia 0!. CATHOLIC
SEMINARI zimeendelea
kutamba.

UDINI HAUNA NAFASI. NDALICHAKO KAMA KATUMIA NJIA HIYO BASI HAFAI KUWA HAPO. Waloguswa hata wa huko ni wakotoliki. hoja sio udini. kama ndalichako anania ya kuwabaana waislam hilo sasa topic nyengine
 
Nyie c mnasoma qruan
zaidi kuliko elimu ya
dunia, mtaachwa hivyo hivyo
Mliiga kuita shule zenu
SEMINARI! lakikini zinaa
mbulia 0!. CATHOLIC
SEMINARI zimeendelea
kutamba.

Udini tena.
 
Mbona mlalamiko hayana points za kutete hoja zao? Yaani walitaka kwakuwa shule ziko karibu zote zifutiwe? It doesnt click in my head! I am sorry
 
hata kama kuna ukweli lkn kwa kua ni madai ya zanzibar uctegemee kabisa mtu kua great thinker ili apambanue kama kuna ukweli au la, humu lete mada za chadema, lowasa nk uone watu watavokua bize kukomenti hata kama ukweli uko wazi mtu ataugeuza uongo. ni wachache sn wenye sifa ya kuwemo humu wengi wao ni watumwa wa vyama na watu wao tu.
 
Hii kali ya mwaka.wanafunzi 99 wanapata mtihani shuleni mmoja tu ndio anakosa? tena huyo aliekosa anapigwa D na F ili asije juu.
 
hata kama kuna ukweli lkn kwa kua ni madai ya zanzibar uctegemee kabisa mtu kua great thinker ili apambanue kama kuna ukweli au la, humu lete mada za chadema, lowasa nk uone watu watavokua bize kukomenti hata kama ukweli uko wazi mtu ataugeuza uongo. Ni wachache sn wenye sifa ya kuwemo humu wengi wao ni watumwa wa vyama na watu wao tu.
na harufu ya dini pia inazingatiwa
 
Napenda nikuulize, ivi hata kama kweli umevuja nani wa kuhukumiwa kati ya watoto na wasimamizi waliosababisha uvujaji huo wa mitihani?

Wanafunzi 10 bora Kitaifa
Moses Andrew Swai kutoka shule ya Feza Boys, Rosalyn Tandau kutoka Marian Girls, Mboni Mumba kutoka St Francis Girls na Sepiso Mwamelo kutoka St Francis Girls. Wengine na shule zao kwenye mabano ni Uwella Rubuga (Marian Girls), Hellen Mpanduji (St Mary's Mazinde Juu), Daniel Wallace Maugo (St Joseph Millennium), Benjamin Tilubuzya, (Thomas More Machrina), Simon Mbangalukela (St. Joseph Millennium) na Nimrod Rutatora (Feza Boys).
KWA TECHNOLOJIA INAVYOKUWA. HAWA WAMEUPATA TU KUTOKA ZANZIBAR. VYENGINEVYO HAINA MAANA YA KUWA NA SIMU NA NET
 
yaani wanataka ufaulu wao uwe sawa na ule wa tanganyika kweli wazanzibari hamnazo kabisa, yaani kila kitu kiwe sawa na tanganyika.
 
Leo nimesoma gazeti la Mwanahalisi na kuona makala moja inayopinga hoza za Dk Ndalichako kuhusu kufutiwa matokeo ya wazanzibar.
makala hiyo inazungumzia jinsi matokeo hayo yalivochahakachuliwa.
kwa mfano, wanadai kuna shule zipo pua na mdomo, moja imefutiwa matokeo ya wanafunzi 170 na mmoja kusalimika , lakini nyegine haikuguswa na hata mtu mmoja. Makala hiyo inadai haingii akilini swali hili la Mtihani uvuje sehemu ya shule usiambukize shule nyengine.
kwa mfano kutoka shule ya kiislam na hadi shule ya Kiembe samaki ni dakika 2 kwa miguuu. lkn shule ya kiembe samaki hakuna alieguswa shule ya kiislam amesalimika 1 kati ya 52. hivyo hivyo kwa shule ya Hamamni na Vikokotoni, Benbella na Haile salas ambazo zipo karibu sana. lkn Hamamni ambayo inaonekana inafanya vizuri zanzibar imebakwa na Necta kwa kuwafutia matokeo ya wanafunzi 152 kati ya 172 lakini hizo nyegine hakuna alieguswa. Hii anasema sawa na moto umeunguza nyumba ya mtaa mmoja ukaambukiz mtaa wa 2 lkn nyumba za jirani zimeachwa. moto huu wanadai utakuwa wa Kichawi
lkn pia anadai haiwezekani uvuje Zanzibar ushindwe kuvuja bara hasa huko wanafunzi waliopata div1 yaani hapa shule za seminary
pia wanadai Necta imejaribu kufuta zile shule ambazo ni bora kw miaka ya nyuma huko Zanzibar na kupeleka Alama ya D na F shule ambazo zimepakana na shule zilizofutiwa matokeo.
Pia imejidai hao wanafunzi wa shule waliofutiwa ambao wao wamesalimika wameangua Div 1v kwa alama ya D na F.

jeografia ya zanzibar kutoka shule hadi shule ni dakika 5 hadi 10 kwa miguu huku mtihani ulifanywa siku 14.

lakini haiwezekani uvuje zanzibar usipande meli au Ndege kufika Iringa na Bukoba.lkn hat hii njia ya Email au simu nayo ipo lkn nndalichako anadai Wabongo hawakuona.
Kikubwa zaidi wanadai shule zilizolengwa na sakata hili shule ambazo zikifanya vizuri sana huko nyuma mfano shule ya Mikunguni, High view na Lauret.
pemba shule ya kiislam wamefutiwa wote .

Mtihani unavuja kwa njia nyingi, kwanza ni wanafunzi kupata mtihani halisi lakini kila mwanafunzi akajibu kwa akili yake, lakini pia unaweza kuvuja halafu wanafunzi wakaandikiwa jinsi ya kujibu; hii ya pili ndio hugundulika kwa urshisi kwani sentensi na tarakimu hufanani kwa kila hali.Si ajabu shule kuwa karibu ila moja ikafutiwa mtihani.
 
Back
Top Bottom