Hector Cooper
JF-Expert Member
- Apr 16, 2023
- 562
- 812
Yaani mtumishi aniboost mimi wakati wao ndio wananikopa vitu wakisubiri mshahara ndio walipe! naamua kuwasaidia kwakuwa pesa yangu inakaa kwao mda mrefu bila mzunguko.We mwenyewe hapo ukikwama leo utamtafuta mwenye ajira akubust unadhani self employment wanatoa hela hovyo hovyo tatizo lako una generolize na tatizo la kuombwa hela ukiwa nazo ni tatizo la Africa nzima sio personal na inawezekana una stress za biashara ngoja nikuache maana wafanya biashara wengi wana stress kwa hyo hapa unatafuta pakuzitolea pambana na TRA na kodi ya frame kwanza maana naona unataka ujiliwaze.
Mishahara yenyewe ya nchi hii ya take home laki 8 au 7 ndio mtegemewe na jamii ok may be wewe!lakini mimi kwetu watu wamesoma wengi lakini kwenye mambo ya kifamilia yakitokea wanategemewa nduguzetu wafanyabiashara.
Mimi nilisoma nilipomaliza nikapata ajira nikafanya miaka 8 nikapata kianzio nikaacha kazi nafanya biashara! mimi sina DND ya kuajiriwa akili yangu iligoma kabisa ajira zenyewe za nchi masikini kutoboa ukiwa kazini labda uibe lakini sio mshahara.