Watumishi wengi wa Umma tumeachwa Kimaisha na Wajasiriamali wadogo

We mwenyewe hapo ukikwama leo utamtafuta mwenye ajira akubust unadhani self employment wanatoa hela hovyo hovyo tatizo lako una generolize na tatizo la kuombwa hela ukiwa nazo ni tatizo la Africa nzima sio personal na inawezekana una stress za biashara ngoja nikuache maana wafanya biashara wengi wana stress kwa hyo hapa unatafuta pakuzitolea pambana na TRA na kodi ya frame kwanza maana naona unataka ujiliwaze.
Yaani mtumishi aniboost mimi wakati wao ndio wananikopa vitu wakisubiri mshahara ndio walipe! naamua kuwasaidia kwakuwa pesa yangu inakaa kwao mda mrefu bila mzunguko.

Mishahara yenyewe ya nchi hii ya take home laki 8 au 7 ndio mtegemewe na jamii ok may be wewe!lakini mimi kwetu watu wamesoma wengi lakini kwenye mambo ya kifamilia yakitokea wanategemewa nduguzetu wafanyabiashara.

Mimi nilisoma nilipomaliza nikapata ajira nikafanya miaka 8 nikapata kianzio nikaacha kazi nafanya biashara! mimi sina DND ya kuajiriwa akili yangu iligoma kabisa ajira zenyewe za nchi masikini kutoboa ukiwa kazini labda uibe lakini sio mshahara.
 
Yaani mtumishi aniboost mimi wakati wao ndio wananikopa vitu wakisubiri mshahara ndio walipe! naamua kuwasaidia kwakuwa pesa yangu inakaa kwao mda mrefu bila mzunguko.

Mishahara yenyewe ya nchi hii ya take home laki 8 au 7 ndio mtegemewe na jamii ok may be wewe!lakini mimi kwetu watu wamesoma wengi lakini kwenye mambo ya kifamilia yakitokea wanategemewa nduguzetu wafanyabiashara.

Mimi nilisoma nilipomaliza nikapata ajira nikafanya miaka 8 nikapata kianzio nikaacha kazi nafanya biashara! mimi sina DND ya kuajiriwa akili yangu iligoma kabisa ajira zenyewe za nchi masikini kutoboa ukiwa kazini labda uibe lakini sio mshahara.
DND =DNA
 
Yaani mtumishi aniboost mimi wakati wao ndio wananikopa vitu wakisubiri mshahara ndio walipe! naamua kuwasaidia kwakuwa pesa yangu inakaa kwao mda mrefu bila mzunguko.

Mishahara yenyewe ya nchi hii ya take home laki 8 au 7 ndio mtegemewe na jamii ok may be wewe!lakini mimi kwetu watu wamesoma wengi lakini kwenye mambo ya kifamilia yakitokea wanategemewa nduguzetu wafanyabiashara.

Mimi nilisoma nilipomaliza nikapata ajira nikafanya miaka 8 nikapata kianzio nikaacha kazi nafanya biashara! mimi sina DND ya kuajiriwa akili yangu iligoma kabisa ajira zenyewe za nchi masikini kutoboa ukiwa kazini labda uibe lakini sio mshahara.
Sio wote waliojariwa wanapenda wengine ni family background ndio inafanya hvyo kama ww kwenu mmesoma wote ni jambo la kher watu wamevaa namba 9 mgongoni tangia primary school ila hawana back up biashara kuna rise and fall ila ajira ni uniform usidharau walioajiriwa maana kuna wengine wengine wanaona ni bora laki 5 ya uhakika kuliko million 1 ya kukimbizana na biashara kwasababu we differ in many ways according to responsibility and family background so respect others life is like a box of chocolate.
 
Hawa hawajui kinachoendelea huko Mitaani
Watazame ile video ya mch. Kimaro wa Kijitonyama akilalamika mshirika wake kuuwawa ambaye alikuwa anafanya mauzo ya chips zaidi ya milioni 1 kwa siku.
Pesa ziko mtaani.
Mshahara wakevmtu anapiga siku mbili tu ashaupata
Huyo Kimaro unamwamini mtu wa Kuongeza chumvi sana! Motivational speaker!
 
Acha ubishi wa kijinga wewe! unapajua Uhuru dampo kwanza? yule mwamba chips haziishi pale unazikuta kwenye kabati kama chapati.

1.Anawafanyakazi wanashift mchana na usiku.
2.kuna watu kazi yao ni kumenya viazi tu.
3.kuna watu kazi yao ni kuandaa Mishikaki tu.
4.kuna watu kazi yao ni kuandaa kuku tu.
5.kuna watu kazi yao ni kukaanga viazi tu.
6.kuna watu kazi yao ni kuchoma chips tu.
7.kuna mtu kazi yake ni kuhudumia vinywaji tu.
8.Ana watu 3 kazi yao ni kupokea pesa tu.
9.Anabajaji 2 zimepaki kwaajili ya kufata mkaa stoo ukiisha.

Tembea uone acha ubishi wa hovyo! yule jamaa ananyumba 3 amejenga, watu wanachukua take away pale kama hawana akili nzuri.
Watu wanapenda sana kubisha, wanaona mambo hayawezekanai ila wapo watu wanaingiza pesa ndefu sana kwa biashara ambazo ni za kawaida. Nina mfano wa dada mmoja anauza juisi fresh.

Kwa siku analaza za kawaida analaza wastani 350k, kuanzia ijumaa na weekends analaza wastani wa 600k.

Ubishi bila kuwa na ushahidi ni UJINGA na MZIGO.
 
Hi!

Si Wajasiriamali wote kwamba wana maisha mazuri kuliko Watumishi wa Umma ila nataka kusema kuwa wapo Wajasiriamali wengi tu ambao hata leseni ya biashara hawana, Kodi hawalipi kabisa na Serikali haiwatambui lakini wana pesa kuliko wenye maduka ambao hulipa Kodi kwa VAT.

Kuna Jamaa anauza Ugali nyama choma, huyu bwana akiondoa gharama zote za uendeshaji anapata faida ya TZS 200,000/- mpaka TZS 300,000/- kwa siku. Maana yake huyu kwa mwezi amefeli amepata faida ya TZS 5,000,000/-. Pesa ambayo wanalipwa Watumishi Waandamizi Wizarani. Hapo ameshatumia pesa ya kutosha ndani ya huo mwezi mwisho wa mwezi ana TZS 5,000,000/- .

Mtumishi Mwandamizi akipata hiyo TZS 5,000.000/- ndipo aanze kutumia, atasave Million Moja au Laki 5 tu. Kuna dogo anauza chips Mwenge kwa siku analaza Laki 3.5. Huyu baada ya matumizi yake yote mwisho wa mwezi akichungulia akiba yake hakosi Milioni 7. Faida ya Milioni 7 kwa mwezi ni Watumishi wa Umma wangapi wanaipata? Labda majizi tu ambayo hawana amani maana jela inawaita kila siku.

Kuna muuza chips Keko kwa siku anapata faida ya Laki 4 . Na jinsi alivyo bahiLi yule kwa mwezi analaza mpaka Milioni 10. Halipi kodi hata mia, kajenga mjengo Madale nahisi hata baadhi ya Wabunge hawana Nyumba kama ile.

Tisidharauliane ndugu. Kuna Watumishi wengi tu wa chini wamewazidi maisha mabosi zao.

Mimi ni Mwajiriwa ila nakiri kuwa utajiri nitasikilizia redioni tu. Kwa mishahara hii tusubiri kifuta machozi cha kustaafu labda au tuibe tunawiri na mwisho tukafungwe.
Yaani wewe Mbumbumbu kweli yaani ukiwa bizzy na mavitabu kuangalia uhalisia kweli huwezi ona ukweli Kundi kubwa la Watumishi wa umma ndiyo wajasiliamali wenyewe. Wao ndiyo wakulima,wao ndiyo wamiliki wa vyombo vya usafiri wao ndiyo wafanyabiashara tatizo kubwa ya hao wafanyakazi huwa wanaficha uhalisia ili kukwepa taarifa za kuharibiwa kazi.Madaktari wengi wanamiliki hospital na pharmacy,Walimu wengi ndiyo Wamiliki wa Bookshop na stationary ,Maofisa wengi wa majeshi ndiyo wamiliki wa makampuni za Ulinzi na vyombo vya Usafiri,Maofisa wengi ndiyo wafanyabiashara wa Kariakoo,Waandisi wengi ni wamiliki wa nyumba za kupangisha town maofisa Ardhi wengi ndiyo wafanyabiashara wa Kuuza viwanja ,Kilimo ndiyo karibu wafanyakazi wengi ni wakulima hata ukienda mashambani utasikia tu hili shamba kubwa ni la Teacher,Mjeshi,Doctor,Bwana mifugo au vyovyote mradi tu wafanyakazi. Kwenye Makazi ukifika kila mitaa utakuta nyumba kali za hayo maeneo ni wafanyakazi wa umma tupo mitaani huku tunaona kuanzia Masaki,Oysterbay,Mbweni Bunju kijichi utasikia tu hii ya mejor General fulani ,hii ya kamishina fulani,hii ya Professor fulani,hii ya Waziri fulani ,hii ya Mbunge fulani na majina ya hiyo mitaa wanapewa hao viongozi wanaoishi huko.Tuache kujidanganya ili uwe mfanyabiashara Mzuri kwa jamii zilizotokea kaya maskini wengi wanapatia pesa kwenye Utumishi wa Umma na kisha wanafanya Uwekezaji. Kule Gongola mboto Mashamba mengi ya kuku wa Mayai na nyama yanamilikiwa na Askari na Walimu, Bajaji na Bodaboda kwa DSM nyingi kupita maelezo zinamilikiwa na hao wafanyakazi .
Hivyo acha kujifariji ikitokea fursa za ajira tuzidandie fasta tupate mitaji ya kueleweka.
 
Kwaiyo kwa mwaka anapata faida ya million 60 afu bado anauza nyama na ugali ebu acha mashala
Lizika na ajira yako usiumizwe na maneno ya watu
 
Watu wanapenda sana kubisha, wanaona mambo hayawezekanai ila wapo watu wanaingiza pesa ndefu sana kwa biashara ambazo ni za kawaida. Nina mfano wa dada mmoja anauza juisi fresh.

Kwa siku analaza za kawaida analaza wastani 350k, kuanzia ijumaa na weekends analaza wastani wa 600k.

Ubishi bila kuwa na ushahidi ni UJINGA na MZIGO.
Achana nao hao watu!ajira zenyewe za nchi masikini hizi mishahara kiduchu kutoboa hadi uibe.Ukikutana na Kiongozi kama Chuma Magufuli anaziba mianya mnabaki kulialia kwa sababu mshahara hautoshi.

Mimi niliajiriwa miaka 8 nikapiga chini nafanya mishe zangu! maisha pote yanachangamoto lakini wasidhani kuwa wao ndio wanapiga pesa kuliko wasio watumishi kuna watu mtaani wanachukua pesa nzuri kwa siku kwenye kazi zao.

Mfano mimi nilifungua kibanda cha TIGO PESA nikamuweka binti yupo pale hadi leo! kupitia miamala ya Lipa kwa simu kwa siku naingiza sio chini ya 30,000/= bado malipo ya mwisho wa mwezi kutoka makampuni ya sim.

Binti namlipa 150,000/= kwa mwezi halafu nalipa 15,000 ya sehem nilipoweka banda! na mimi ninashughuli zangu zingine.Kuna watu wengi tu nawajua waingiza zaidi ya laki 1 faida kwa siku haya mambo sio hadithi yapo nduguzangu msiwaone watu mtaani hawajavaa tai na suti makadhani wate wamechoka.
 
Hi!

Si Wajasiriamali wote kwamba wana maisha mazuri kuliko Watumishi wa Umma ila nataka kusema kuwa wapo Wajasiriamali wengi tu ambao hata leseni ya biashara hawana, Kodi hawalipi kabisa na Serikali haiwatambui lakini wana pesa kuliko wenye maduka ambao hulipa Kodi kwa VAT.

Kuna Jamaa anauza Ugali nyama choma, huyu bwana akiondoa gharama zote za uendeshaji anapata faida ya TZS 200,000/- mpaka TZS 300,000/- kwa siku. Maana yake huyu kwa mwezi amefeli amepata faida ya TZS 5,000,000/-. Pesa ambayo wanalipwa Watumishi Waandamizi Wizarani. Hapo ameshatumia pesa ya kutosha ndani ya huo mwezi mwisho wa mwezi ana TZS 5,000,000/- .

Mtumishi Mwandamizi akipata hiyo TZS 5,000.000/- ndipo aanze kutumia, atasave Million Moja au Laki 5 tu. Kuna dogo anauza chips Mwenge kwa siku analaza Laki 3.5. Huyu baada ya matumizi yake yote mwisho wa mwezi akichungulia akiba yake hakosi Milioni 7. Faida ya Milioni 7 kwa mwezi ni Watumishi wa Umma wangapi wanaipata? Labda majizi tu ambayo hawana amani maana jela inawaita kila siku.

Kuna muuza chips Keko kwa siku anapata faida ya Laki 4 . Na jinsi alivyo bahiLi yule kwa mwezi analaza mpaka Milioni 10. Halipi kodi hata mia, kajenga mjengo Madale nahisi hata baadhi ya Wabunge hawana Nyumba kama ile.

Tisidharauliane ndugu. Kuna Watumishi wengi tu wa chini wamewazidi maisha mabosi zao.

Mimi ni Mwajiriwa ila nakiri kuwa utajiri nitasikilizia redioni tu. Kwa mishahara hii tusubiri kifuta machozi cha kustaafu labda au tuibe tunawiri na mwisho tukafungwe.
Kwani wewe kuchoma chipsi unashindwa, kuchoma nyama na kuuza ugali unashindwa ???.....🤔🤔🤔

Kuna tatizo pahala juu yako
 
Back
Top Bottom