Watumishi wengi wa Umma tumeachwa Kimaisha na Wajasiriamali wadogo

Hi!

Si Wajasiriamali wote kwamba wana maisha mazuri kuliko Watumishi wa Umma ila nataka kusema kuwa wapo Wajasiriamali wengi tu ambao hata leseni ya biashara hawana, Kodi hawalipi kabisa na Serikali haiwatambui lakini wana pesa kuliko wenye maduka ambao hulipa Kodi kwa VAT.

Kuna Jamaa anauza Ugali nyama choma, huyu bwana akiondoa gharama zote za uendeshaji anapata faida ya TZS 200,000/- mpaka TZS 300,000/- kwa siku. Maana yake huyu kwa mwezi amefeli amepata faida ya TZS 5,000,000/-. Pesa ambayo wanalipwa Watumishi Waandamizi Wizarani. Hapo ameshatumia pesa ya kutosha ndani ya huo mwezi mwisho wa mwezi ana TZS 5,000,000/- .

Mtumishi Mwandamizi akipata hiyo TZS 5,000.000/- ndipo aanze kutumia, atasave Million Moja au Laki 5 tu. Kuna dogo anauza chips Mwenge kwa siku analaza Laki 3.5. Huyu baada ya matumizi yake yote mwisho wa mwezi akichungulia akiba yake hakosi Milioni 7. Faida ya Milioni 7 kwa mwezi ni Watumishi wa Umma wangapi wanaipata? Labda majizi tu ambayo hawana amani maana jela inawaita kila siku.

Kuna muuza chips Keko kwa siku anapata faida ya Laki 4 . Na jinsi alivyo bahiLi yule kwa mwezi analaza mpaka Milioni 10. Halipi kodi hata mia, kajenga mjengo Madale nahisi hata baadhi ya Wabunge hawana Nyumba kama ile.

Tisidharauliane ndugu. Kuna Watumishi wengi tu wa chini wamewazidi maisha mabosi zao.

Mimi ni Mwajiriwa ila nakiri kuwa utajiri nitasikilizia redioni tu. Kwa mishahara hii tusubiri kifuta machozi cha kustaafu labda au tuibe tunawiri na mwisho tukafungwe.
"Kuna, muuza, chips mwenge anapata faida ya milioni7 kwa mwezi, kuna muuza chipsi keko anatengeneza faida ya laki 4 kwa mwezi!
Nimesoma mpaka Nika Cheka mpaka mbavu zikauma,haya maubili yako haya na tofauti na wale waxhingaji, utawasikia, wakisema" Namuona mama mmoja, mama neema, anasumbuliwa na tumbo,na kule namuona Dada nancy, mchango wa tumbo unamsumbua kwa mwaka mzima sasa"pokeeni uponyaji!
Hizi hesabu zako, kawasimulie wa Toto wa kindergarten, kama unapata faidi ya laki 4 kwa siku, chukulia kila sahani ya chips, unapata faida ya buku, ina maana itabidi uuze sahani 400! Kwa siku!
Bro unajua nyomi ya watu 400! Hakuna, uhalisia, kibanda cha, chipsi, cha kawaida kihudumie watu 400! Kwa, siku,
Pili kama mapato Yao ndio hayo,milioni 7 net kwa mwezi, mbona hatuwaoni wakisomesha wa Toto kwenye shule zetu za kimombo ambazo sie watumishi wa serikali na mishahara yetu ya vima vya chini tunasomesha?
Hatuwaoni wakiwa wapangaji wenzetu huku msasani,mbezi beach, wengi wao wapo kawe, mbagara!
Hatukutani nao kwenye ujenzi bagamoyo, kigamboni! Sasa pesa zao, zipo, wapi? Au za majini?
Acha story za kwenye makaratasi, hazina uhalisia,
Ukiwa na surplus, disposable income maisha yako, yataonwkana tu, outing nyingi, ndinga,majumba, Arya Bora, sasa unaowazungumzia,
Kwa kimombo tunawaita"wretched of the earth"
 
Kwani ni sheria gani inamzuia mtumishi wa umma kuwa mjasiriamali? Suala la maendeleo ya mtu ni matakwa ya mtu na namna anaona maana ya maendeleo ni nn.
 
"Kuna, muuza, chips mwenge anapata faida ya milioni7 kwa mwezi, kuna muuza chipsi keko anatengeneza faida ya laki 4 kwa mwezi!
Nimesoma mpaka Nika Cheka mpaka mbavu zikauma,haya maubili yako haya na tofauti na wale waxhingaji, utawasikia, wakisema" Namuona mama mmoja, mama neema, anasumbuliwa na tumbo,na kule namuona Dada nancy, mchango wa tumbo unamsumbua kwa mwaka mzima sasa"pokeeni uponyaji!
Hizi hesabu zako, kawasimulie wa Toto wa kindergarten, kama unapata faidi ya laki 4 kwa siku, chukulia kila sahani ya chips, unapata faida ya buku, ina maana itabidi uuze sahani 400! Kwa siku!
Bro unajua nyomi ya watu 400! Hakuna, uhalisia, kibanda cha, chipsi, cha kawaida kihudumie watu 400! Kwa, siku,
Pili kama mapato Yao ndio hayo,milioni 7 net kwa mwezi, mbona hatuwaoni wakisomesha wa Toto kwenye shule zetu za kimombo ambazo sie watumishi wa serikali na mishahara yetu ya vima vya chini tunasomesha?
Hatuwaoni wakiwa wapangaji wenzetu huku msasani,mbezi beach, wengi wao wapo kawe, mbagara!
Hatukutani nao kwenye ujenzi bagamoyo, kigamboni! Sasa pesa zao, zipo, wapi? Au za majini?
Acha story za kwenye makaratasi, hazina uhalisia,
Ukiwa na surplus, disposable income maisha yako, yataonwkana tu, outing nyingi, ndinga,majumba, Arya Bora, sasa unaowazungumzia,
Kwa kimombo tunawaita"wretched of the earth"
Nimekwambia acheni ujinga huo eti umesoma umesomea ujinga nini?

Kwahiyo wewe unataka akisomesha akwambie.
Akijenga akwambie.
Akipanga Msasani akwambie.

Wewe unadharau kazi ya chips unajua kilo 1 ya nyama anapata kiasi faida kiasi gani?

Kuku 1 anapata faida kiasi gani? kaa kwa kutulia watu wanapiga pesa kwenye chips hizi kama hawana akili nzuri. Yule jamaa wa Uhuru dampo Mwanza anatembeza take away maofisini balaa.

Nimekwambia anauza 1.5 million kwa siku day and night sasa hiyo laki 2 yako anaikosaje baada ya kutoa cost zote?

Eti unasomesha private eti umepanga Msasani labda bonde la mpunga kule! unaleta sifa za kihaya hapa sijui nani kakuuliza mambo yote hayo. Wewe endelea kuwa na akili za kitumwa na kudharau wajasiriamali.

Halafu yule jamaa amejenga hajapanga kama wewe muhaya na sifa zako.
 
Hi!

Si Wajasiriamali wote kwamba wana maisha mazuri kuliko Watumishi wa Umma ila nataka kusema kuwa wapo Wajasiriamali wengi tu ambao hata leseni ya biashara hawana, Kodi hawalipi kabisa na Serikali haiwatambui lakini wana pesa kuliko wenye maduka ambao hulipa Kodi kwa VAT.

Kuna Jamaa anauza Ugali nyama choma, huyu bwana akiondoa gharama zote za uendeshaji anapata faida ya TZS 200,000/- mpaka TZS 300,000/- kwa siku. Maana yake huyu kwa mwezi amefeli amepata faida ya TZS 5,000,000/-. Pesa ambayo wanalipwa Watumishi Waandamizi Wizarani. Hapo ameshatumia pesa ya kutosha ndani ya huo mwezi mwisho wa mwezi ana TZS 5,000,000/- .

Mtumishi Mwandamizi akipata hiyo TZS 5,000.000/- ndipo aanze kutumia, atasave Million Moja au Laki 5 tu. Kuna dogo anauza chips Mwenge kwa siku analaza Laki 3.5. Huyu baada ya matumizi yake yote mwisho wa mwezi akichungulia akiba yake hakosi Milioni 7. Faida ya Milioni 7 kwa mwezi ni Watumishi wa Umma wangapi wanaipata? Labda majizi tu ambayo hawana amani maana jela inawaita kila siku.

Kuna muuza chips Keko kwa siku anapata faida ya Laki 4 . Na jinsi alivyo bahiLi yule kwa mwezi analaza mpaka Milioni 10. Halipi kodi hata mia, kajenga mjengo Madale nahisi hata baadhi ya Wabunge hawana Nyumba kama ile.

Tisidharauliane ndugu. Kuna Watumishi wengi tu wa chini wamewazidi maisha mabosi zao.

Mimi ni Mwajiriwa ila nakiri kuwa utajiri nitasikilizia redioni tu. Kwa mishahara hii tusubiri kifuta machozi cha kustaafu labda au tuibe tunawiri na mwisho tukafungwe.
Kwenye utumishi wa uma watu hawaishi kwa mishahara bali kwa posho kuna madereva wanalipwa laki 3 kwa mwezi ila posho yake akibeba makaratasi akipeleka kwa muhasibu sio mchezo kwa mfano kuna watu walikuwa wanafanya project fulani kwa week walikuwa wanakula pesa ndefu kiufupi hatuwezi kuajiriwa wote na hatuwezi kujiajiri wote lazima kuwe na balance believe me nchi inaendeshwa na waliojariwa hata mzunguko wa pesa mwisho wa mwezi ni mkubwa sana iwe kwenye maduka kwenye daladala mpaka mtaani kwasababu wenye uhakika wa kipato ndio wenye uhuru wa kutumia mara nyingi wanaojiajiri wanakuwa wabahili kwasababu hawaijui kesho yao ila ukiajiriwa unakuwa na limit kwamba next month ni 100% nitapa tena ila kwenye business ni vice versa mwisho nchi inaendeshwa na waliojiriwa because 90% ya watanzania wanategemea kupiga mizinga walioajiriwa kuanzia kwenye family level mpaka kwenye business level.

Alamsik
 
Kwenye utumishi wa uma watu hawaishi kwa mishahara bali kwa posho kuna madereva wanalipwa laki 3 kwa mwezi ila posho yake akibeba makaratasi akipeleka kwa muhasibu sio mchezo kwa mfano kuna watu walikuwa wanafanya project fulani kwa week walikuwa wanakula pesa ndefu kiufupi hatuwezi kuajiriwa wote na hatuwezi kujiajiri wote lazima kuwe na balance believe me nchi inaendeshwa na waliojariwa hata mzunguko wa pesa mwisho wa mwezi ni mkubwa sana iwe kwenye maduka kwenye daladala mpaka mtaani kwasababu wenye uhakika wa kipato ndio wenye uhuru wa kutumia mara nyingi wanaojiajiri wanakuwa wabahili kwasababu hawaijui kesho yao ila ukiajiriwa unakuwa na limit kwamba next month ni 100% nitapa tena ila kwenye business ni vice versa mwisho nchi inaendeshwa na waliojiriwa because 90% ya watanzania wanategemea kupiga mizinga walioajiriwa kuanzia kwenye family level mpaka kwenye business level.

Alamsik
Acha uongo! mimi kuna jamaa yangu ni dereva yupo EWURA ananipiga mizinga mimi pesa ya kula nyumbani kwake.

Hivi watumishi ni wangapi hadi watu wawategemee?
 
Hi!

Si Wajasiriamali wote kwamba wana maisha mazuri kuliko Watumishi wa Umma ila nataka kusema kuwa wapo Wajasiriamali wengi tu ambao hata leseni ya biashara hawana, Kodi hawalipi kabisa na Serikali haiwatambui lakini wana pesa kuliko wenye maduka ambao hulipa Kodi kwa VAT.

Kuna Jamaa anauza Ugali nyama choma, huyu bwana akiondoa gharama zote za uendeshaji anapata faida ya TZS 200,000/- mpaka TZS 300,000/- kwa siku. Maana yake huyu kwa mwezi amefeli amepata faida ya TZS 5,000,000/-. Pesa ambayo wanalipwa Watumishi Waandamizi Wizarani. Hapo ameshatumia pesa ya kutosha ndani ya huo mwezi mwisho wa mwezi ana TZS 5,000,000/- .

Mtumishi Mwandamizi akipata hiyo TZS 5,000.000/- ndipo aanze kutumia, atasave Million Moja au Laki 5 tu. Kuna dogo anauza chips Mwenge kwa siku analaza Laki 3.5. Huyu baada ya matumizi yake yote mwisho wa mwezi akichungulia akiba yake hakosi Milioni 7. Faida ya Milioni 7 kwa mwezi ni Watumishi wa Umma wangapi wanaipata? Labda majizi tu ambayo hawana amani maana jela inawaita kila siku.

Kuna muuza chips Keko kwa siku anapata faida ya Laki 4 . Na jinsi alivyo bahiLi yule kwa mwezi analaza mpaka Milioni 10. Halipi kodi hata mia, kajenga mjengo Madale nahisi hata baadhi ya Wabunge hawana Nyumba kama ile.

Tisidharauliane ndugu. Kuna Watumishi wengi tu wa chini wamewazidi maisha mabosi zao.

Mimi ni Mwajiriwa ila nakiri kuwa utajiri nitasikilizia redioni tu. Kwa mishahara hii tusubiri kifuta machozi cha kustaafu labda au tuibe tunawiri na mwisho tukafungwe.
Kwanini hufungui biashara na umeshaona mifano halisi hiyo au ni woga wako tu
 
Acha uongo! mimi kuna jamaa yangu ni dereva yupo EWURA ananipiga mizinga mimi pesa ya kula nyumbani kwake.

Hivi watumishi ni wangapi hadi watu wawategemee?
Kwa watumishi wote wanafanya kazi EWURA mkuu kaa hvyo hvyo na tongo tongo zako maana mimi sijataja shirika Ila ww ume concludes ni EWURA mtafute na dereva wa RUWASA umuulize halafu uje ufanye conclusion hapa kwenye thread.
 
Hi!

Si Wajasiriamali wote kwamba wana maisha mazuri kuliko Watumishi wa Umma ila nataka kusema kuwa wapo Wajasiriamali wengi tu ambao hata leseni ya biashara hawana, Kodi hawalipi kabisa na Serikali haiwatambui lakini wana pesa kuliko wenye maduka ambao hulipa Kodi kwa VAT.

Kuna Jamaa anauza Ugali nyama choma, huyu bwana akiondoa gharama zote za uendeshaji anapata faida ya TZS 200,000/- mpaka TZS 300,000/- kwa siku. Maana yake huyu kwa mwezi amefeli amepata faida ya TZS 5,000,000/-. Pesa ambayo wanalipwa Watumishi Waandamizi Wizarani. Hapo ameshatumia pesa ya kutosha ndani ya huo mwezi mwisho wa mwezi ana TZS 5,000,000/- .

Mtumishi Mwandamizi akipata hiyo TZS 5,000.000/- ndipo aanze kutumia, atasave Million Moja au Laki 5 tu. Kuna dogo anauza chips Mwenge kwa siku analaza Laki 3.5. Huyu baada ya matumizi yake yote mwisho wa mwezi akichungulia akiba yake hakosi Milioni 7. Faida ya Milioni 7 kwa mwezi ni Watumishi wa Umma wangapi wanaipata? Labda majizi tu ambayo hawana amani maana jela inawaita kila siku.

Kuna muuza chips Keko kwa siku anapata faida ya Laki 4 . Na jinsi alivyo bahiLi yule kwa mwezi analaza mpaka Milioni 10. Halipi kodi hata mia, kajenga mjengo Madale nahisi hata baadhi ya Wabunge hawana Nyumba kama ile.

Tisidharauliane ndugu. Kuna Watumishi wengi tu wa chini wamewazidi maisha mabosi zao.

Mimi ni Mwajiriwa ila nakiri kuwa utajiri nitasikilizia redioni tu. Kwa mishahara hii tusubiri kifuta machozi cha kustaafu labda au tuibe tunawiri na mwisho tukafungwe.
Hatuna discipline na pesa tunazolipwa,ile mambo ya kujiona kuwa wacha nitumie tu mwisho wa mwezi zinaingia nyingine ndio inayotuponza watumishi...
 
Kwa watumishi wote wanafanya kazi EWURA mkuu kaa hvyo hvyo na tongo tongo zako maana mimi sijataja shirika Ila ww ume concludes ni EWURA mtafute na dereva wa RUWASA umuulize halafu uje ufanye conclusion hapa kwenye thread.
Kwahiyo EWURA sio mtumishi! wewe umesema watumishi wanapigwa mizinga na wasio watumishi ndio nikakupa mfano huo.

Halafu umesema hata kwenye business level watu wanategemea watumishi! kwahiyo maduka ya vijijini wanategemea watumishi ndio wakanunue kwa wingi? ndio maana nikasema acha uongo hivi watumishi mpo wangapi kwenye watu zaidi ya million 60?
 
Kwahiyo EWURA sio mtumishi! wewe umesema watumishi wanapigwa mizinga na wasio watumishi ndio nikakupa mfano huo.

Halafu umesema hata kwenye business level watu wanategemea watumishi! kwahiyo maduka ya vijijini wanategemea watumishi ndio wakanunue kwa wingi? ndio maana nikasema acha uongo hivi watumishi mpo wangapi kwenye watu zaidi ya million 60?
Inaonekana hujasoma nilichoandika maana hoja ni too personal na kwa nn umekimbilia EWURA mimi sitaki league na low thinker kama ww hiyo million 5 mtu anaingiza ndani ya week kwa kuhudhuria kikao tu hapo bado madokezo ya kazi watu watu wanaingiza 10 million+ per month yaani unavyo concludes na kusema ni uongo ni kama umefanya kazi taasisi zote vile kama average inatafutwa kwa shirika moja tu la EWURA basi ulikimbia hesabu na kukuelewesha sio jukumu langu.
 
Amepanga uchochoro kati ya nyumba na nyumba analipa laki 1 kwa mwezi.

Hakuna kodi ya serikali anayolipa.

Viazi na mkaa anabajaji zake 2 fasta tu kutoa soko kuu ni kama mita 100 tu.

Mafuta, kuku na nyama wanaleta wenyewe huku wanakimbi kwakuwa ni soko la uhakika.

Wafanyakazi anawalipa 40,00 kwa siku wapo 10.

Vitu vingine vidogovidogo madogo wanafata sokoni,nyanya,kabeji,vitunguu,n.k

Wafanyakazi chakula wanakula viewed.

Haya endelea kupiga hesabu zako uchwara nimekwambia watu wanapiga hiyo pesa bila wasiwasi! au nikuongezee wengine 2 pale Uhuru dampo?

1.anauza yeboyebo za mtumba anapiga faida 150,000 kwa siku.

2.anauza nguo za mtumba retail and wholesale anauza 2.5 million kwa siku utajua mwenyewe faida yake kiasigani.
Yaani mtu anauliza hesabu za expense alige hesabu wewe unaweka maelezo eti kuku wanaleta wanakimbizana BUREE??, mara bajaji zimefanyaje mafuta BUREE?? blaa blaa kwa Thinking hii unahaki ya kusema anaingiza hata million 100 kwasiku maana hujui chochote.
 
Inaonekana hujasoma nilichoandika maana hoja ni too personal na kwa nn umekimbilia EWURA mimi sitaki league na low thinker kama ww hiyo million 5 mtu anaingiza ndani ya week kwa kuhudhuria kikao tu hapo bado madokezo ya kazi watu watu wanaingiza 10 million+ per month yaani unavyo concludes na kusema ni uongo ni kama umefanya kazi taasisi zote vile kama average inatafutwa kwa shirika moja tu la EWURA basi ulikimbia hesabu na kukuelewesha sio jukumu langu.
Tatizo unakimbia ulichoandika wewe mwenyewe! umedai kuwa watumishi wanapigwa sana mizinga na wasio watumishi acha ku generalized watu wote.

Kama wewe jamaa zako wana tabia hiyo kwako ni wewe! halafu ulivosema kuwa watumishi ndio wanategemewa kwenye business level nikakuuliza watumishi mpo wangapi hadi sisi wafanyabiashara tuwategemee? .

Unashindwa kujibu unakimbilia personal attack kwamba mimi ni low thinker! unajua fikra kama zako zimewapumbaza watumishi wengi wanashituka wamezeeka wanakuja kupambana na kikokotoo.
 
Tatizo unakimbia ulichoandika wewe mwenyewe! umedai kuwa watumishi wanapigwa sana mizinga na wasio watumishi acha ku generalized watu wote.

Kama wewe jamaa zako wana tabia hiyo kwako ni wewe! halafu ulivosema kuwa watumishi ndio wanategemewa kwenye business level nikakuuliza watumishi mpo wangapi hadi sisi wafanyabiashara tuwategemee? .

Unashindwa kujibu unakimbilia personal attack kwamba mimi ni low thinker! unajua fikra kama zako zimewapumbaza watumishi wengi wanashituka wamezeeka wanakuja kupambana na kikokotoo.
We mwenyewe hapo ukikwama leo utamtafuta mwenye ajira akubust unadhani self employment wanatoa hela hovyo hovyo tatizo lako una generolize na tatizo la kuombwa hela ukiwa nazo ni tatizo la Africa nzima sio personal na inawezekana una stress za biashara ngoja nikuache maana wafanya biashara wengi wana stress kwa hyo hapa unatafuta pakuzitolea pambana na TRA na kodi ya frame kwanza maana naona unataka ujiliwaze.
 
Yaani mtu anauliza hesabu za expense alige hesabu wewe unaweka maelezo eti kuku wanaleta wanakimbizana BUREE??, mara bajaji zimefanyaje mafuta BUREE?? blaa blaa kwa Thinking hii unahaki ya kusema anaingiza hata million 100 kwasiku maana hujui chochote.
Wewe ni mjinga kabisa! Nimesema anauza 1.5 million kwa siku akitoa cost zote hizo unazosema anabaki na hiyo faida yake ya laki 2+ au hauwelewi nini hapo. Sasa wewe subiri hizo hesabu zako na dharau zako za kijinga wakati watu wanaendelea kupiga pesa! halafu unajiona great thinker kumbe hamna lolote.
 
Biashara yoyote huwa inalipa ukisimuliwa ,mtu wa nje anaweza ona mfanya biashara anapata faida sanaaaa na anasave pesa mingi lakini ukweli anaujua muuzaji na si mtazamaji kutoka nje kuna vitu wanfanyabiashara huwa hawasemi na watakusimulia mazuri tu ya kukuinspire au kukufanya ww mtu wa nje utamani anachokifanya..ndo maana wengi wakiingia kichwa kichwa huwa wanakuta mambo tofauti na waonavyo kwa nje wanakata tamaa na kuachana na biashara..ss jichanganye uingie kichwa kichwa ....niwaeleze tu kufanya biashara ni zaidi ya kujikana nafsi na uwe na roho ya ujasiri na ngumu kama ya paka.
 
Hi!

Si Wajasiriamali wote kwamba wana maisha mazuri kuliko Watumishi wa Umma ila nataka kusema kuwa wapo Wajasiriamali wengi tu ambao hata leseni ya biashara hawana, Kodi hawalipi kabisa na Serikali haiwatambui lakini wana pesa kuliko wenye maduka ambao hulipa Kodi kwa VAT.

Kuna Jamaa anauza Ugali nyama choma, huyu bwana akiondoa gharama zote za uendeshaji anapata faida ya TZS 200,000/- mpaka TZS 300,000/- kwa siku. Maana yake huyu kwa mwezi amefeli amepata faida ya TZS 5,000,000/-. Pesa ambayo wanalipwa Watumishi Waandamizi Wizarani. Hapo ameshatumia pesa ya kutosha ndani ya huo mwezi mwisho wa mwezi ana TZS 5,000,000/- .

Mtumishi Mwandamizi akipata hiyo TZS 5,000.000/- ndipo aanze kutumia, atasave Million Moja au Laki 5 tu. Kuna dogo anauza chips Mwenge kwa siku analaza Laki 3.5. Huyu baada ya matumizi yake yote mwisho wa mwezi akichungulia akiba yake hakosi Milioni 7. Faida ya Milioni 7 kwa mwezi ni Watumishi wa Umma wangapi wanaipata? Labda majizi tu ambayo hawana amani maana jela inawaita kila siku.

Kuna muuza chips Keko kwa siku anapata faida ya Laki 4 . Na jinsi alivyo bahiLi yule kwa mwezi analaza mpaka Milioni 10. Halipi kodi hata mia, kajenga mjengo Madale nahisi hata baadhi ya Wabunge hawana Nyumba kama ile.

Tisidharauliane ndugu. Kuna Watumishi wengi tu wa chini wamewazidi maisha mabosi zao.

Mimi ni Mwajiriwa ila nakiri kuwa utajiri nitasikilizia redioni tu. Kwa mishahara hii tusubiri kifuta machozi cha kustaafu labda au tuibe tunawiri na mwisho tukafungwe.
Acheni mawazo ya kimasikini
 
Back
Top Bottom