hayo yenu bwana mimi niko jamvini nangojea ubwabwa nile nijiandae na keshoooooo...!
Karibu hapa kwetu kuna kila raha
Wanawake wa kumwaga na bia za kumwaga na story kibao
Ila hatutaki engineer hapa
hayo yenu bwana mimi niko jamvini nangojea ubwabwa nile nijiandae na keshoooooo...!
TF na Lizzy :focus: na niko hapa :behindsofa: nawachungulia
sasa huo ni unyanyapaaji tena wa kiwango cha juu..! poa bwana ngoja sisi tuwawezeshe tu kwenye mawasiliano yenu lakini bado mnatutenga tutafanyaje sasa..!! karibu na kwetu pia lakini kuna ubwabwa na tumemaliza ku-trouble shoot nini kilikua kinasumbua kwenye heart-lung machine...! karibu ubwabwa..!Karibu hapa kwetu kuna kila raha
Wanawake wa kumwaga na bia za kumwaga na story kibao
Ila hatutaki engineer hapa
Kheeee!Kumbe unatunchungulia?Ngoja nijifunike.
Bora kabisa muache hiyo tabia ya kujiachia wazi hivyo
sasa huo ni unyanyapaaji tena wa kiwango cha juu..! poa bwana ngoja sisi tuwawezeshe tu kwenye mawasiliano yenu lakini bado mnatutenga tutafanyaje sasa..!! karibu na kwetu pia lakini kuna ubwabwa na tumemaliza ku-trouble shoot nini kilikua kinasumbua kwenye heart-lung machine...! karibu ubwabwa..!
mara ya mwisho huyu dada anaetupikia alipoulizwa kutoa statistics za kua ni nani anakamata sana sahani alitoa jibu zuri tu.... ni huyu fundi apa.."mimi" sasa kama unataka tuingie kwenye ligi jongea pande hizi uoneshe uwezo..! ila tano anakula dogo mmoja hivi hapa ambae tunamuona hajui hata kula yani tunamuona hana appetite ..!Hiyo kitu hiyo heart -lung machine ahhhh unanikumbusha yule Doctor wa TF yule
Ahhh njoo kwenye crime and civil suit utatukuta tuu na ukinibishia tuu unapata civil case ya trepass
Asante kwa makaribisho ila aise nafuta msosi mbaya sahani tano hazitoshi
Wewe ndio uache tabia ya kuchungulia maana ndio unaeiba privacy yetu.
UtajimalizajeeWanshangaza!!!!
mara ya mwisho huyu dada anaetupikia alipoulizwa kutoa statistics za kua ni nani anakamata sana sahani alitoa jibu zuri tu.... ni huyu fundi apa.."mimi" sasa kama unataka tuingie kwenye ligi jongea pande hizi uoneshe uwezo..! ila tano anakula dogo mmoja hivi hapa ambae tunamuona hajui hata kula yani tunamuona hana appetite ..!
Hebu funga hilo dirisha kabisaWewe ndio uache tabia ya kuchungulia maana ndio unaeiba privacy yetu.
Huyo doctor umemfananisha banaaaHiyo kitu hiyo heart -lung machine ahhhh unanikumbusha yule Doctor wa TF yule
Ahhh njoo kwenye crime and civil suit utatukuta tuu na ukinibishia tuu unapata civil case ya trepass
Asante kwa makaribisho ila aise nafuta msosi mbaya sahani tano hazitoshi
watu wa law bwana kila kitu hata kama ni cha kawaida lazima mki associate na kesi..!
Huyo doctor umemfananisha banaaa
Hebu funga hilo dirisha kabisa
aah wapi ndio tunawakuza kwenye mazoezi na misosi..! sasa wewe utapata alsurs na sijui utaziweka wapi..!Mhhh hapo nitatoka
Maana kwa upande wangu nikila sana nimekula robo sahani hapo najipiga piga kifua kuwa nimekula sana
Na kama ni juice ni nusu glass hapo nasema tayari nimevimbiwa
Ahhh nyie mtaua watoto na njaa
Mimi mipimbi ya aina hiyo huwa nachukuaga sheria mkononi kama vipiimepita kama siku mbili hivi nilikua maeneo ya dit ninakula kwa wale wanaofahamu eneo ni MANGESHO sasa nikawa nimeweka bag ya laptop kwenye kiti ambacho nilikua nimekalia..! akaja jamaa mmoja hivi.., sio kwamba nawasema hawa watu vibaya ila jamaa alikua mhaya..! alikua ameshika plate imejaa wali na maharagwe na mamboga mengine..! jamaa akamwagia bag yangu maharage yani badala ya kuomba msamaha akapita tu akaja akakaa kwenye meza hiyo hiyo niliyo kaa mimi, na aliona kua amenimwagia maharage..! ikabidi nimwambie kua jamaa "hujaona umenimwagia maharage hapa..!" jamaa akasema "wewe huoni kantini ilivyobanana hivi sasa ulitegemea mimi nitafanya nini...!" dah asee nilipandwa na hasira...! ninashukuru tu nilimwambia "asee huu sio ustaarabu rafiki yangu...!"
yani jamaa aliniharibia siku...!
sio vizuri jamani..!
vipi wewe kimekutokea kipi..? na uli react vipi...?
Asa si mmekaaa vibaya na nilisikia sauti za ajabu ndo maana nikachungulia
Utajimalizajee