Utashangaaje!!!!Utasonyajeeeeeeee!!!!
Kwani nimesemaje?
Unajua huwa nna kichaa cha madakika, usijali
WanchekeshaUtashangaaje!!!!
Utanunaje!!!
kwenye mafuta tuanafanya kazi nzuri ila huku tunanyonywa na sera za kipuuzi za nchi zetu..!
hapa nadhani njia ni kufanya kama kongosho anavyosema ni mikono tu hapa..! hehehehe auu..?
Wanchekesha
Kwa wastaarabu bado ungeonekana kama kituko
Ukiwa mlimani pale (UDSM) ukiwa mtu wa fujo fujo wanajua kuwa wewe ni engineer mtu wa mavyuma na fujo fujo
So usitake kujiweka huko wala usitake kuonekana kituko kwa wastaarabu maana ukibishana mjinga wewe ndo utaonekana mjinga zaidi
unaenda wapi mbona hata mualiko hutoi..! tualike basi tuandamane pamoko..!
hahahaaahaa nyie bana..!
mzee mbona unawaonea ma engineer..? sio vizuri mkuu..! ni kwamba tu wanajua kudai haki zao vizuri.. unapogusa pananiuma mzazi..!
Kilichokuchekesha. . . . ???
owkey mzee..! ni ushauri mzuri..! wadada wamekaaje hapo..!? kumbe kweli the finest alivyosema unaenda nyumba ndogo alikua anasema mambo flani yanayo elekea kwenye uhalisi auuuuuu...! wape hi hao madada..!Siwaonei ila ndo walivyo ngumi mkononi kuonyesha kuwa wao ni wababe na wana nguvu
Kumbe nguvu zao wangetumia kuzalisha zaidi na sio kupigana
maneno ni mazuri zaidi na ukiona mtu kakuchokoza nyanyuka nenda wala usitake kujionyesha kuwa wewe ni mbabe
Maana unaweza kumpiga mtu ngumi kumbe ni mbovu mwili wake ukamuua ukasababisha muandikiwa murder case bure
owkey mzee..! ni ushauri mzuri..! wadada wamekaaje hapo..!? kumbe kweli the finest alivyosema unaenda nyumba ndogo alikua anasema mambo flani yanayo elekea kwenye uhalisi auuuuuu...! wape hi hao madada..!
vijembe..!