Duduwasha
JF-Expert Member
- Nov 3, 2010
- 5,703
- 3,653
Da Pretty Huyu Marehemu Mkama Sharp hakufika Upanga ila kwa wale waliokuwa wanaenda Viwanjani haswa Taifa na Karume ndio waliofanikiwa kumfahamu kwani alikuwa ni kama Kituko tu Bastola Kiunoni Mfupi anavaa miwani ya macho yenye lens nzito akizuia watu wasiluke Ukuta kuingia viwanjani so aliuwa ni kama chale chale tu sijui walikuwa wanamuogopea nini Sijui ...Huyo Mkama sharp alifika Upanga? Miaka gani hiyo?