hahahahahahhaha eti nimesahau unachekesha ili iweje....kipata na nini basi si useme maana kipata kubwa,sema tu kipata na nini tukutajie majirani zako may be tunawajua..au umesahau kidogo?kusahau imo!
hahahahahahhaha eti nimesahau unachekesha ili iweje....kipata na nini basi si useme maana kipata kubwa,sema tu kipata na nini tukutajie majirani zako may be tunawajua..au umesahau kidogo?kusahau imo!
hahahahahahhaha eti nimesahau unachekesha ili iweje....
sijambo mpendwa...ushapata ule mshiko nijisogeze!Bibie hujambo?
Kariakoo ilikua zamani,siku hizi wamevamia wageni na kuondoa radha yote ya kariakoo,sasa hivi wamejaa wachagga na wakinga na wapemba!bora wapemba walikuja siku nyingi kidogo
yeah Kim..
ilikuwa raha na huru.. Hawa wengine wanaongelea Kariakoo ya juzi naona.. Hawaijui ya zamani... Ambapo,mtaa wa Msimbazi ulikuwa na full functional street lights.. Senene wanajaaa magari si mengi,unaruhusu wanao wakakamate senene barabarani.. Kariakoo hiyo nani mwingine anaijua..
Hahahahaaaaa aisee kweli hiyo ID yake utata sanaAisee badilisha kwanza ID yako maana ni utata mtupu
kanishika pabaya wapi mpendwa...kama mtaa nimemwambia unataka nimpe namba ya nyumba ili iweje sihitaji ndugu wa hiari na uze huu,kwani kuzaliwa kkoo kunaongeza nini katika maisha yetu ya kila siku kama si juhudi binafsi za mtuumemshika pabaya,basi inatosha mzee!
Muhahaha Huyo ali Gulu alikuwa ni Noma hata wa kariakoo walikuwa wanamhofia nasikia kuna Saa flan zilitoka miaka yake zilikuwa zinaitwa Disco zilikuwa za betri jina la zamani kimweku mweku ukivaa hizo ukihisi kupishana nae unaivua na kuiweka ndani ya chupi kwani jamaa alikuwa ana sachi mifukoni na anachukua vyote.. Polisi wenyewe walikuwa wanamhofia kwani na wao wakizubaa anawapora jamaa alikuwa na ubavu wacha...Watu wa upanga nao bwana kweli wahindi,yani mlikua mnamuogopa mlemavu eti anawabia then hakimbii anatembea tu,kweli nyie ni watu wa upanga.
Hahahahaaaaa aisee kweli hiyo ID yake utata sana
Muhahaha Huyo ali Gulu alikuwa ni Noma hata wa kariakoo walikuwa wanamhofia nasikia kuna Saa flan zilitoka miaka yake zilikuwa zinaitwa Disco zilikuwa za betri jina la zamani kimweku mweku ukivaa hizo ukihisi kupishana nae unaivua na kuiweka ndani ya chupi kwani jamaa alikuwa ana sachi mifukoni na anachukua vyote.. Polisi wenyewe walikuwa wanamhofia kwani na wao wakizubaa anawapora jamaa alikuwa na ubavu wacha...
Upanga sie Hatukuitwa Wahindi Weusi tulikuwa ni Wengi Sana wahindi wa Kutafuta na hao wahindi walikuwa wanatuogopa Balaa
kanishika pabaya wapi mpendwa...kama mtaa nimemwambia unataka nimpe namba ya nyumba ili iweje sihitaji ndugu wa hiari na uze huu,kwani kuzaliwa kkoo kunaongeza nini katika maisha yetu ya kila siku kama si juhudi binafsi za mtu
kwani kati ya wachaga na wakinga na wapemba wapi hasa ni watanganyika ni wepi hasa ni wageni zaidi lol Ukiamua kuwa mbaguzi kuwa mbaguzi hasa sio unachovya nusu nusu.
Na kukumbusha umesahau na wachina......... Na wahindi ofcousre lakini hao ni .............. wenyeji lol. Au wachaga ni wageni zaidi ya wachina na wapemba......
Enzi hizo mtaa wa Pemba ndo kulikuwa kunapatikana raba mtoni,mashati ya yekeyeke,bati (jeans).Sabuni na Colget toka nje.
Mwee bila kusahau watu walikuwa wanafungiwa matambara badili ya nguo (kupigwa kagari)
Shule zetu Upanga Zanaki na Muhimbili Watoto wa Kariakoo walikuwa Na Matusi Wezi Walituibia Sana Mabegi Mikebe na Pesa na Wanaongea kama Chiruku Na Walikuwa wanapenda Nyimbo za Mchiriku na Mnanda Sana Eti na Watot waliokuwa wanasoma Olympio walikuwa wanatuogopa na sisi Majirani zao kwani walikuwa wanajifanya na wao Wahindi
Mtaa wa pemba ulikuwa maarufu kwa mirungi (soda za kresti), pia kulikuwa na refa mmoja maarufu aliyechezechaga mpira kidongo Chekundu na Mnazi mmoja aliyeiitwa Mandemla. Pale karibu na hospitali ya Mnazi Mmoja kulikuwa na harufu nzuri ya mikate ya Bakresa wakati wa jioni.