Independent Voter
JF-Expert Member
- Jan 25, 2012
- 279
- 71
Nani analikumbuka lile basi maarufu lililokuwa likiitwa simba luala?
haha Da Pretty wa zanaki unaweza kuwa sawa au si sawa wazee wengi wa kariakoo walipenda kuwasomesha watoto wao Shule ya Zanaki lakini kwa utundu wao hawakuweza kuendana na mazingira so wazazi wao waliwapeleka katika shule za mnazi mmoja lumumba na baadhi jamhuri..Wa Zanaki Primary nao walikua kikariakookariakoo....
haha Da Pretty wa zanaki unaweza kuwa sawa au si sawa wazee wengi wa kariakoo walipenda kuwasomesha watoto wao Shule ya Zanaki lakini kwa utundu wao hawakuweza kuendana na mazingira so wazazi wao waliwapeleka katika shule za mnazi mmoja lumumba na baadhi jamhuri..
Mie Sababu nimeishi Upanga na City Centre so nawafahamu kwa Sana... Tabia Za Watoto wa Karikakoo ni Wanakimbia Sana hata Sijui kwanini hakuna Wanariadha kutoka Kariakoo! Wanaongea Sana Tabia ya Udokozi ikiwemo kupapasa papasa macho hapa na pale kama kuku atafutaye chakula. Ukigombana nao cha kwanza wanakupiga mtama na walikuwa hawakosi wembe mfukoni. so unaweza kuchaniwa begi na ukifika home hakuna mkebe.
Pia Tabia zao hazikupishana na za watoto wa Magomeni na Ilala.. Watoto wa Kariakoo nilikuwa nawapenda kwene soccer tu japo walikuwa wanacheza sana rafu na mpira wanaujua
Pole The Romantic naona umekwazika...kaka hutupendi...unatuchukia sana mpaka unashindwa kuficha..
Mkama Sharp alikuwa bado hajaanza makeke ipindi cha ali gulu... Mkama baadae akiwa na akina Koba..huyo hakukutana na sharp mkama huyo
haha Sio chuki Mkuu ni hali halisi nahadithia Jinsi ilivyokuwa kipindi hicho Sababu Muhimbili Mwalimu Ndosi alikuwa anawaita Manunda Na Zanaki pia Kulikuwa na Mwalimu Ndosi Mwingine naye alikuwa anawachapa Sana.. Mimi Siwezi Sahau Begi langu niliibiwa tulipokusanya Sehemu tukkkkkkkawa tunacheza Soccer japo nilipata madaftari yangu tu yametupwa... Wajua walivyokuwa Wanafanya!kaka hutupendi...unatuchukia sana mpaka unashindwa kuficha..
Huyo Mama Hivi hakuwahi kuwa Mkuu wa Shule ya Zanaki Pr? manake nakumbuka kama alishawahi hama zanaki akahamia ups kama sikosei na pia walimu wakuu walikuwa ni kina mama zanaki na upanga...Pole The Romantic naona umekwazika...
Ila kwa kweli watoto wa Kariakoo mlikua wakorofi sana shuleni halafu mnapenda vikundi wakati kule kwetu hatukua na mambo ya vikundi. Sa nane ikifika mkitoka geti la shule kila mtu kivyake, kama atakuja, baba, mama, dereva au utaenda kwenu kwa mguu haya... Mimi nilisoma UPS kwa Marehemu mama Mahundi
wewe utakuwa ulikuwa unaishi mitaa ya Maweni Longido kitonga alykhan au Mitaa ile yote midogo midogo karibu na Jamat ndio walikuwa hawakosi Jamatini mida ya jioni hadi saa mbili kula mix na vijimishikakiWa Kariakoo kumbusheni enzi zenu maana sie wengine sijui hata kama huku kwetu kulikua na vijimambo... Labda mix za jamatini
haha Da Pretty wa zanaki unaweza kuwa sawa au si sawa wazee wengi wa kariakoo walipenda kuwasomesha watoto wao Shule ya Zanaki lakini kwa utundu wao hawakuweza kuendana na mazingira so wazazi wao waliwapeleka katika shule za mnazi mmoja lumumba na baadhi jamhuri..
Mie Sababu nimeishi Upanga na City Centre so nawafahamu kwa Sana... Tabia Za Watoto wa Karikakoo ni Wanakimbia Sana hata Sijui kwanini hakuna Wanariadha kutoka Kariakoo! Wanaongea Sana Tabia ya Udokozi ikiwemo kupapasa papasa macho hapa na pale kama kuku atafutaye chakula. Ukigombana nao cha kwanza wanakupiga mtama na walikuwa hawakosi wembe mfukoni. so unaweza kuchaniwa begi na ukifika home hakuna mkebe.
Watoto wa Kariakoo nilikuwa nawapenda kwene soccer tu japo walikuwa wanacheza sana rafu na mpira wanaujua
mkama na koba wapi na wapi mzee,kipindi mkama sharp anatingisha kariakoo koba alikua anapigana ngumi na iraq hudu na stanley mabesi relwe gerezani enzi hizo,akiwa kijana mdogo!Mkama Sharp alikuwa bado hajaanza makeke ipindi cha ali gulu... Mkama baadae akiwa na akina Koba..
mh mh sie wa ukerewe ngoja tukae kimya
haha Sio chuki Mkuu ni hali halisi nahadithia Jinsi ilivyokuwa kipindi hicho Sababu Muhimbili Mwalimu Ndosi alikuwa anawaita Manunda Na Zanaki pia Kulikuwa na Mwalimu Ndosi Mwingine naye alikuwa anawachapa Sana.. Mimi Siwezi Sahau Begi langu niliibiwa tulipokusanya Sehemu tukkkkkkkawa tunacheza Soccer japo nilipata madaftari yangu tu yametupwa... Wajua walivyokuwa Wanafanya!
Kariakoo kulikuwa nna Nyumba za Udongo Nyingi Kuna ambayo ilikuwa inanikera pale Mtaa wa Magira kwa Mafundi pikipiki ambayo ilivujwa kama sikosei 2010 sasa kuna gholofa kubwa... Kwa wakina Faiza bado kuna Nyumba Movu Mbovu pale Nyuma ya CCM Head office mtaa wa kariakoo
Huyo Mama Hivi hakuwahi kuwa Mkuu wa Shule ya Zanaki Pr? manake nakumbuka kama alishawahi hama zanaki akahamia ups kama sikosei na pia walimu wakuu walikuwa ni kina mama zanaki na upanga...
UPS nakumbuka zamani kulikuwa na fensi mbavu na kuna kinjia unapita mahakamani then unaenda tokezea Maktaba lol
Kuna Darasa Moja lilikuwa na Kinanda Kikubwa(Organ) ulishawahi kiona hicho Da Pretty!
Mkama Sharp alikuwa bado hajaanza makeke ipindi cha ali gulu... Mkama baadae akiwa na akina Koba..
Wacha unataka kuniambia hawakufanya kazi pamoja?mkama na koba wapi na wapi mzee,kipindi mkama sharp anatingisha kariakoo koba alikua anapigana ngumi na iraq hudu na stanley mabesi relwe gerezani enzi hizo,akiwa kijana mdogo!