Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 50,504
- 113,618
Wanabodi,
Wale wenye access na Star TV, please watch, Mbunge wa Nzega, Dr. Kingwangala, yuko live kwenye kipindi cha Tuongee asubuhi na Star TV!.
Mada kuu ni makundi ndani ya vyama vya siasa!.
Dr. Kigwangala ameanza kwa kueleza kuwa makundi ndani ya vyama vya siasa hayaepukiki, na kutoa ufafanuzi wa kitaalamu kuwa makundi ni "power blocks" kwa lengo la kushika madaraka!.
Endelea.
Thanks.
Pasco.
Wale wenye access na Star TV, please watch, Mbunge wa Nzega, Dr. Kingwangala, yuko live kwenye kipindi cha Tuongee asubuhi na Star TV!.
Mada kuu ni makundi ndani ya vyama vya siasa!.
Dr. Kigwangala ameanza kwa kueleza kuwa makundi ndani ya vyama vya siasa hayaepukiki, na kutoa ufafanuzi wa kitaalamu kuwa makundi ni "power blocks" kwa lengo la kushika madaraka!.
Endelea.
Thanks.
Pasco.