Watanzania "wazagaa" nje ya nchi yao!!

kwa mfano walimaji wa matunda wangewekewa kiwanda cha kutengeneza juice!kwa mfano korogwe kama sikosei kunakiwanda ambacho kilikuwa kiwe cha kutengeneza juice sijui iliishia wapi!
Ni kwamba mama suala la uvivu lipo pale pale pamoja na suala la kutokuwa na strategies na Rushwa pamoja na ubadhilifu ukichanganya vyote hivi inakuwa ni mwiko kuulaani umaskini!
kwa mfano Shinyanga na Mwanza kulikuwa na vyama vya ushirika sasa huvi vipo kwenye magogo yaani vianasuasua ile mbaya hapa namaanisha SHIRECU na NYANZA!ukiangalia source ni ubadhilifu hivi vyama viliwasaidia wakulima wa pamba enzi zile kwa kununua mazao yao!
ki ukweli kuna cycle hapo hivyo basi kila mtu lazima ajikomit kuondoa umaskini!
Any way tusije tukahama kwenye maudhui ya thread!Maana thread inaongelea kuzagaa kwa wtz nje!

Serikali ilkuwa bize ikiuza Taifa badala ya kuwaandaa na kuwasaidia na kuwapa dili wananchi chini ya mipango ya EPZ NA AGOA.
Sana sana waliochungulishwa dili hizo ni wahindi na mafisadi wengine!
 
Watanzania wengi wapo Ulaya Magharibi, Marekani ya Kaskazini na Japan. Sababu za wao kwenda huko ni nyingi. Lakini wengi wao wameenda au walienda huko kwa malengo ya elimu, wengine kwa maswala ya kibiashara, wengine kwa lengo la kuhamia na wengine kwa ajili ya kutembea. Mbinu na nyenzo walizotumia kufika huko zinatofautiana...

--------------------
[url="https://www.jamiiforums.com/showthread.php?t=654"]waraka huu unaishia hapa!![/url] --------------------

Mkuu tuwekee takwimu, kusema tu Watanzania wengi wako nje itasaidia kama utakuwa na nchi ya kulinganisha nayo, halafu ndio tujadili nini kinaendelea kwani kuna vigezo vingi sana vya kuangalia kabla ya hilo.
 
kwa mfano walimaji wa matunda wangewekewa kiwanda cha kutengeneza juice!kwa mfano korogwe kama sikosei kunakiwanda ambacho kilikuwa kiwe cha kutengeneza juice sijui iliishia wapi!

...wawekewe na nani? serikali? hiyo sahau na haitatokea tena na wala hakuna sababu,nafikiri serikali imefanya H/W yake vizuri mana kuna incentive nyingi sana kwa wanaotaka kuwekeza kwenye kilimo(tembelea TIC)
 
Ndio maana baadhi ya watanzania wanaona bora wakawe mbwa ulaya na marekani kuliko kuwa mtu na kubaki hapo Tanzania.

Mmmmhhhhh!!!! Watanzania tuna vituko. Watanzania wanaohamia nje wanakuwa mbwa Ulaya? Wazungu wanaohamia Tanzania wanakuwa miungu.

Waache Watanzania waishi popote wanapoona panawafaa, hayo mambo mengine ni ujinga ambao hautusaidii kitu.

Ukiangalia Tanzania tunanyanyasana sisi wenyewe kwa wenyewe labda kuliko ninavyoweza kunyanyaswa huku Ulaya.

Hata nchi iwe tajiri namna gani, bado kuna watu wataondoka na kwenda nchi zingine.
 
...wawekewe na nani? serikali? hiyo sahau na haitatokea tena na wala hakuna sababu,nafikiri serikali imefanya H/W yake vizuri mana kuna incentive nyingi sana kwa wanaotaka kuwekeza kwenye kilimo(tembelea TIC)

hao TIC wana website? maana sio kila mtanzania anaweza safiri kwenda Dar es Salaam kwa ajili ya kuangalia hao TIC wana nini? naomba nihabarishe ndugu yangu kuhusu kuwekeza katika kilimo, hii ni habari njema kushare.
 
Huko ulaya na marekani wtz wanakokimbilia hawakulala na kesho yake wakaamka
wameupunguza umaskini!na kukimbia matatizo huo ni ubanafsi kwa mfano wanaoenda huko kwa masomo then wanalowea badala ya kuja kufanya mapinduzi kwenye nchi zao ili kuondoa matatizo!hata hao huko tunakokimbilia walikuwa maskini walianzia kwenye ziro point ila wakajicomit kufanya walichokifanya hadi leo wtz wanakimbilia huko kwenda kufaidika na maendeleo kwenye hizo nchi huku nchi zao zikiwa kwenye magogo!
umaskini utafutwa na maskini wenyewe na sio G8!

...haya ndio naita majungu ,nani kakuambia walioko States/Europe wamekimbia nchi na hiyo akili ya kusema wanakimbilia huku kufaidika as if kuna chochote kinakuwa handed freely is plain stupid,wewe mzalendo ambaye hujakimbia nchi inawezekana mchango wako ni mdogo kuliko yule unaye muita mbinafsi na mlowezi,najua watu kibao wanasomesha ndugu zao na wanatuma pesa nyingi sana nyumbani kwa ajiri ya kufanya kazi nje na wasingeweza kusaidia chochote kama wangeendelea kukaa hapo,kumbuka watu wana haki ya kuishi popote wanapotaka!
 
Hivyo suala linakuja ni kwa nini hapa tanzania ni vigumu sana kutoka kwenye ziro point? Kwa nini vijana wetu kama wanaweza kufanya kazi kwa bidii wakiwa nje hapa nyumbani washindwe? Naamini kuna kitu zaidi ya kufanya kazi kwa bidii. Na kitu hicho hasa mimi kwa upande wangu nadhani ni miundombinu duni. Tanzania hakuna umeme reliable, upatikanaji wa sio maji reliable,b barabara ndio usiseme, utasafirishaje hayo mazao kutoka ruvuma vijijini kuja kwenye soko lenye bei za kueleweka ruvuma mjini aun hata morogoro na dar es salaam? usafiri wa reli ndio usafiri wa nchi kavu unaoweza kubeba mzigo mkubwa kwa gharama nafuu, je tuna railway network ambayo ni reliable?

Bado G8 itakuwa ina mchango mkubwa kisera, kwani tupende tusipende bado uchumi wetu unakuwa control na siasa za kimagahribi. Mfano, parachichi utalokula Tanzania sio sawa na utakalokuwa ulaya. La Tanzania lina ubora wa hali ya juu na liko tasty hadi mzungu mwenyewe anabana ngenge akilila. Parachichi hilo kulisafirisha kwenda kuliuza huko maulaya ambako bei ni nzuri ni kitu kisichowezekana kabisa. Utawekewa vikwazo ooh, lina doa jeusi, oo mara vile, mara kiwango na kadhalika. Je kwa nini kama globalisation inafungua milango ya free markets, kwa nini basi na sisi tusiexport free kwenda nchi yeyote duniani bila vikwazo?

Mama,

Kwanini sisi tushindwe kuuza hayo matunda Ulaya wakati wenzetu wanauza? Mbona kenya wanauza maua yao? Mbona Zimbabwe, South Africa wanauza?

Tatizo la Tanzania ni ubinafsi wa middle class ambao ndio wanasimamia idara za serikali na vyombo vya fedha.

JK anaelewena na CEO wa M&S, lakini je amefanya nini hata kumshawishi wanunue matunda Tanzania? Siku hizi shauri ya mapambano ya biashara, haya makampuni yanaweza kununua popote ili mradi ni cheap. Lakini mpaka kufikia hapo lazima sisi wenyewe tuwe tayari kubadilika na kuzalisha vitu vyenye quality. Kufikia hilo lengo lazima kuwe na msaada kwa wakulima ili wapate mafunzo ya kuwawezesha kuzalisha mazao bora na kwa wingi.

Nenda bank kaombe mkopo kwamba unataka kuinvest wilayani, watakuangalia kama kichaa. Mawazo ya sisi watanzania na Waafrika kwa ujumla ni kukosa creativity na kufikiria tunaweza kuendelea kwa kutumia zaidi ya tunavyotengeneza na kudharau watu wetu na kukimbilia wageni.

Tutalaumu wengine lakini ukombozi wa mtanzania uko mikononi mwetu. Mimi nikipita kwenye idara za serikali pamoja na mabank na ofisi za halmashauri za wilaya, naona nafasi ya kuendelea kwa walio wengi ni karibu na zero. Tunashindwa matatizo yanayotuzunguka, je tutaweza kushindana kwenye dunia ya utandawazi?
 
Ina maana hao middle class ndio wachawi wa maendeleo ya watanzania. Maana ukienda mbele na kurudi nyuma, hakuna sababu inayowafanya watanzania wasiendelee au at least kupiga hatua katika maendeleo. Mchawi wetu na hao middle class??!!
 
Ina maana hao middle class ndio wachawi wa maendeleo ya watanzania. Maana ukienda mbele na kurudi nyuma, hakuna sababu inayowafanya watanzania wasiendelee au at least kupiga hatua katika maendeleo. Mchawi wetu na hao middle class??!!


Mama naomba nikuulize swali moja tu.

Je class structure ya Tanzania ikoje na middle class inajumuisha nani?
 
Mama,

Kwanini sisi tushindwe kuuza hayo matunda Ulaya wakati wenzetu wanauza? Mbona kenya wanauza maua yao? Mbona Zimbabwe, South Africa wanauza?

Tatizo la Tanzania ni ubinafsi wa middle class ambao ndio wanasimamia idara za serikali na vyombo vya fedha.

JK anaelewena na CEO wa M&S, lakini je amefanya nini hata kumshawishi wanunue matunda Tanzania? Siku hizi shauri ya mapambano ya biashara, haya makampuni yanaweza kununua popote ili mradi ni cheap. Lakini mpaka kufikia hapo lazima sisi wenyewe tuwe tayari kubadilika na kuzalisha vitu vyenye quality. Kufikia hilo lengo lazima kuwe na msaada kwa wakulima ili wapate mafunzo ya kuwawezesha kuzalisha mazao bora na kwa wingi.

Nenda bank kaombe mkopo kwamba unataka kuinvest wilayani, watakuangalia kama kichaa. Mawazo ya sisi watanzania na Waafrika kwa ujumla ni kukosa creativity na kufikiria tunaweza kuendelea kwa kutumia zaidi ya tunavyotengeneza na kudharau watu wetu na kukimbilia wageni.

Tutalaumu wengine lakini ukombozi wa mtanzania uko mikononi mwetu. Mimi nikipita kwenye idara za serikali pamoja na mabank na ofisi za halmashauri za wilaya, naona nafasi ya kuendelea kwa walio wengi ni karibu na zero. Tunashindwa matatizo yanayotuzunguka, je tutaweza kushindana kwenye dunia ya utandawazi?

Mkuu Mtanzania fuatilia kwa makini jinsi ambavyo hawataki hata kuwashirikisha wananchi kwenye mipango ya AGOA NA EPZ...!
EPZ..Which stands for Export Proccessing Zones. Pamojana na...
AGOA...Which stands for African Growth Opportunity Acts.
Ukifuatilia kwa makini utaratibu huu wana uhandle kama walivyofanya kwenye utaratibu wa PRSC ambapo wananchi hawakushirikishwa!
EPZ..Ni maeneo ambayo yametengwa kwa ajili ya kuzalisha bidhaa zitakazouzwa nje ya nchi kama mauwa,matunda na vyakula vya kusindika!
Na AGOA (ambayo pia inahusisha uzalishaji wa nguo kwa kutumia pamba zetu) mtu aliyeitumia mpaka sasa ni mtu yule yule(BAKHRESSA) Ambaye alipewa fursa ya kutuingizia mitumba TZ! Sasa kwanini watanzania wengine hawajawezeshwa kufanya Biashara na wanakosa mamilioni ya dollars kwa uzandiki na ubinafsi wa MAFISADI!?
 
Mama naomba nikuulize swali moja tu.

Je class structure ya Tanzania ikoje na middle class inajumuisha nani?

Kwangu mimi ninaclasify as
a) walalahoi kabisa ambao income yao si rahisi kuipigia hesabu, yaani hauchi hauchi unakucha
b) wafanyakazi wa kipato cha chini serikali
c) wanafanyakazi wa daraja la kati mbao wengi ndio watendaji wakuu serikalini mfano ndio wanaondaa bajeti za wizara, wapanga miradi, na watekelezaji wake. Hili kundi ni hatari kwani linaweza hata kumuingiza bosi wao mjini na wakiamua kukusukia zali wanasuka kwani hili ndilo kundi lenye wataalam.
d) vigogo ambao wao husubiri kuweka sign na kwenda kwenye vikao, hawa ni mara chache sana kusoma mambo in detail na kufanya critical analysis (sio wote). Hii tabia ina wafanya daraja C kuwatumia/ kutumiwa na daraja D kujinufaisha wao familia zao na marafiki zao wa karibu.
e) magogo ambayo hutegemea sana utendaji wa kundi d,
 
Mama,

Kwanini sisi tushindwe kuuza hayo matunda Ulaya wakati wenzetu wanauza? Mbona kenya wanauza maua yao? Mbona Zimbabwe, South Africa wanauza?

Tatizo la Tanzania ni ubinafsi wa middle class ambao ndio wanasimamia idara za serikali na vyombo vya fedha.

JK anaelewena na CEO wa M&S, lakini je amefanya nini hata kumshawishi wanunue matunda Tanzania? Siku hizi shauri ya mapambano ya biashara, haya makampuni yanaweza kununua popote ili mradi ni cheap. Lakini mpaka kufikia hapo lazima sisi wenyewe tuwe tayari kubadilika na kuzalisha vitu vyenye quality. Kufikia hilo lengo lazima kuwe na msaada kwa wakulima ili wapate mafunzo ya kuwawezesha kuzalisha mazao bora na kwa wingi.

Nenda bank kaombe mkopo kwamba unataka kuinvest wilayani, watakuangalia kama kichaa. Mawazo ya sisi watanzania na Waafrika kwa ujumla ni kukosa creativity na kufikiria tunaweza kuendelea kwa kutumia zaidi ya tunavyotengeneza na kudharau watu wetu na kukimbilia wageni.

Tutalaumu wengine lakini ukombozi wa mtanzania uko mikononi mwetu. Mimi nikipita kwenye idara za serikali pamoja na mabank na ofisi za halmashauri za wilaya, naona nafasi ya kuendelea kwa walio wengi ni karibu na zero. Tunashindwa matatizo yanayotuzunguka, je tutaweza kushindana kwenye dunia ya utandawazi?

...mtanzania mambo yamebadilika (not 100%),kuna promise kubwa yatendelea kubadilika for the better,mfano TIC wanajua wanafanya nini na sio wababaishaji na kama ni serious investor watakupatia red carpet,kama wewe ni investor nakushauri fanya kazi na hao jamaa sio wababishaji wengine watakumalizia kila kitu,kumbuka Banks nyingi ni private kwa hiyo nao sio rahisi kukutupa mteja bila sababu ingawaje mikopo bado ni very expensive na managing risk kwa TZ ni ngumu sana ndio maana sometimes nao wanakuwa wagumu kudeal na establishment zisizoeleweka
 
...mtanzania mambo yamebadilika (not 100%),kuna promise kubwa yatendelea kubadilika for the better,mfano TIC wanajua wanafanya nini na sio wababaishaji na kama ni serious investor watakupatia red carpet,kama wewe ni investor nakushauri fanya kazi na hao jamaa sio wababishaji wengine watakumalizia kila kitu,kumbuka Banks nyingi ni private kwa hiyo nao sio rahisi kukutupa mteja bila sababu ingawaje mikopo bado ni very expensive na managing risk kwa TZ ni ngumu sana ndio maana sometimes nao wanakuwa wagumu kudeal na establishment zisizoeleweka

Chini ya mipango hiyo Mtanzania anatakiwa kupewa elimu ya kuzalisha bidhaa bora na kwa kushirikiana na wataalam wa nje!
Wamepewa kila msaada ili wampe mwananchi lakini wanaweka mfukoni na kupeana kindugu!
Kuna orders za uhakika chini ya mipango hiyo!
Order za nguo kwa kutumia pamba zetu na order za vyakula na matunda ya kusindika!
Hapo walichotakiwa ni kuhakikisha viwango vyote vya quality vya mataifa hayo kama USA na EUROPE vimezingatiwa ili bidhaa hizo ziuzike vyema nje ya nchi!
Lakini sasa hivi unaweza kuta ni ndugu kwa ndugu na kwa kufahamiana na ndio maana hakuna uwazi kwa wananchi ili na wao washiriki kwenye uchumi wao!
Sasa hao wachina na wahindi na watoto wa MAFISADI ndio watakaopewa hiyo mikopo na wao ndio watakao kuwa ma exporters wa bidhaa zetu na sisi kubakia kama vibaruwa tu!
 
Mkuu Mtanzania fuatilia kwa makini jinsi ambavyo hawataki hata kuwashirikisha wananchi kwenye mipango ya AGOA NA EPZ...!
EPZ..Which stands for Export Proccessing Zones. Pamojana na...
AGOA...Which stands for African Growth Opportunity Acts.
Ukifuatilia kwa makini utaratibu huu wana uhandle kama walivyofanya kwenye utaratibu wa PRSC ambapo wananchi hawakushirikishwa!
EPZ..Ni maeneo ambayo yametengwa kwa ajili ya kuzalisha bidhaa zitakazouzwa nje ya nchi kama mauwa,matunda na vyakula vya kusindika!
Na AGOA mtu aliyeitumia mpaka sasa ni mtu yule yule(BAKHRESSA) Ambaye alipewa fursa ya kutuingizia mitumba TZ! Sasa kwanini watanzania wengine hawajawezeshwa kufanya Biashara na wanakosa mamilioni ya dollars kwa uzandiki na ubinafsi wa MAFISADI!

...Mush story ya AGOA tuache kulaumu serikali hapo,just get your facts straight utanielewa,hata EPZ sioni sababu ya kulaumu serikali maana kila kitu kiko wazi na ninajua watu wengi tuu wanafaidika na hiyo ACT,na ni rahisi sana kuitumia hiyo EPZ maana haibagui mzawa/mgeni.
 
Chini ya mipango hiyo Mtanzania anatakiwa kupewa elimu ya kuzalisha bidhaa bora na kwa kushirikiana na wataalam wa nje!
Wamepewa kila msaada ili wampe mwananchi lakini wanaweka mfukoni na kupeana kindugu!
Kuna orders za uhakika chini ya mipango hiyo!
Order za nguo kwa kutumia pamba zetu na order za vyakula na matunda ya kusindika!
Hapo walichotakiwa ni kuhakikisha viwango vyote vya quality vya mataifa hayo kama USA na EUROPE vimezingatiwa ili bidhaa hizo ziuzike vyema nje ya nchi!
Lakini sasa hivi unaweza kuta ni ndugu kwa ndugu na kwa kufahamiana na ndio maana hakuna uwazi kwa wananchi ili na wao washiriki kwenye uchumi wao!
Sasa hao wachina na wahindi na watoto wa MAFISADI ndio watakaopewa hiyo mikopo na wao ndio watakao kuwa ma exporters wa bidhaa zetu na sisi kubakia kama vibaruwa tu!


...Mush unajua tatizo hata hao wazawa wenyewe wa kuchukua hizo order hakuna mana hakuna viwanda na vilivyopo ni low quality ambayo haiwezi kukubalika States,unakuta fund ipo lakini legit people wa kuchukua hakuna na mafisadi wanaishia kugawana tuu,ng'ombe wa maskini hazai maana hata leo States aseme zalisheni na soko nawapa 100% free hatutaweza maana hatuna infrastructure zozote za uzalishaji,ila its up kwa mtu kama wewe kuanzisha hivyo viwanda na wala sio serikali na incentive zote zipo nakuhakikishia hata Tax hutalipa(legally),tuache kulaumu kila kitu serikali kumbe matatizo ni yetu wenyewe
 
Kwangu mimi ninaclasify as
a) walalahoi kabisa ambao income yao si rahisi kuipigia hesabu, yaani hauchi hauchi unakucha
b) wafanyakazi wa kipato cha chini serikali
c) wanafanyakazi wa daraja la kati mbao wengi ndio watendaji wakuu serikalini mfano ndio wanaondaa bajeti za wizara, wapanga miradi, na watekelezaji wake. Hili kundi ni hatari kwani linaweza hata kumuingiza bosi wao mjini na wakiamua kukusukia zali wanasuka kwani hili ndilo kundi lenye wataalam.
d) vigogo ambao wao husubiri kuweka sign na kwenda kwenye vikao, hawa ni mara chache sana kusoma mambo in detail na kufanya critical analysis (sio wote). Hii tabia ina wafanya daraja C kuwatumia/ kutumiwa na daraja D kujinufaisha wao familia zao na marafiki zao wa karibu.
e) magogo ambayo hutegemea sana utendaji wa kundi d,

Ni sawa.

Nami nionavyo ni kama ifuatavyo:

A- Upper Class ambayo mali na utajiri unaweza kurithiwa kizazi na kizazi. hapa namaanisha property na assets zingine na hawa watu wana nguvu sana kiuchumi. Hawa watu wanaweza wasifanye kazi na huwa wanajichanganya na makundi ya watu wanaoeleweka.

B- Upper Middle Class ambayo inajumuisha wafanya biashara ( waliofanikiwa), wataalam wa fani mbalimbali, mabosi wa mashirika na makampuni,viongozi wa juu serikalini na jeshini.

C-Middle Class ambayo inajumuisha wafanya biashara wa kawaida, wataalam wa kawaida, walimu, maofisa wa polisi na wengine wenye kazi za maofisini. Na hili kundi ndio utakuna hata wewe mama umo au mimi na wengine.

D-Working Class hii inajumuisha makarani, wafanyakazi kwenye viwanda, maofisa masoko na vibarua wengine. Hawa watu kazi zao hizi hazina guarantee na husimamiwa wakati wote na ma-supervisor.

E- Lower Class ambao ni wale uliowaelezea kwenye point (a) na pia ni maskini wa kutupwa na hata wakienda shule hufeli.
 
...Mush unajua tatizo hata hao wazawa wenyewe wa kuchukua hizo order hakuna mana hakuna viwanda na vilivyopo ni low quality ambayo haiwezi kukubalika States,unakuta fund ipo lakini legit people wa kuchukua hakuna na mafisadi wanaishia kugawana tuu,ng'ombe wa maskini hazai maana hata leo States aseme zalisheni na soko nawapa 100% free hatutaweza maana hatuna infrastructure zozote za uzalishaji,ila its up kwa mtu kama wewe kuanzisha hivyo viwanda na wala sio serikali na incentive zote zipo nakuhakikishia hata Tax hutalipa(legally),tuache kulaumu kila kitu serikali kumbe matatizo ni yetu wenyewe

Koba Tatizo namba moja ni UMEME!
Mi nakwambia hivi...Wamesha tu RICHMOND NA RA anajuwa hilo!
Serikali inatakiwa itowe subsidies...Mojawapo ni unafuu wa gharama za uzalishaji ie umeme na machine za kuimport za packaging etc etc!

Tena chini ya mipango hiyo kuna wananchi watakaopelekwa nje ya nchi ili waje kuwapiga wenzao darasa nk. Na pia mashine hizo tunapewa kwa bei nzuri tu chini ya programs hizo!

Serikali inataka wahindi tu! na waarabu...Na ndio hao wanaonunua mashine hizo kutoka india na kwingineko!

Wazawa nao wanaweza kupewa mikopo na wengine kupewa kozi fupi fupi za quality control ie ISO 9000 ambayo ofcourse ni ya zamani na sasa kuna ISQ SOMETHING! nI ISSUE NDOGO TU NA WATANZANIA WANAPIGA BAO!

Hakuna UZALISHAJI UTAKAOWEZEKANA KAMA SIRIKALI HAIWAJENGEI WANANCHI MAZINGIRA HAYO MAZURI!
Koba inaelekea hujafuatilia haya mambo vizuri!
Kwanini tunaingiza mitumba ambayo imetengenezwa na pamba zetu?
 
Watanzania wengi wapo Ulaya Magharibi, Marekani ya Kaskazini na Japan. Sababu za wao kwenda huko ni nyingi. Lakini wengi wao wameenda au walienda huko kwa malengo ya elimu, wengine kwa maswala ya kibiashara, wengine kwa lengo la kuhamia na wengine kwa ajili ya kutembea. Mbinu na nyenzo walizotumia kufika huko zinatofautiana...

-------------------- [url="https://www.jamiiforums.com/showthread.php?t=654"]waraka huu unaishia hapa!![/url] --------------------

Mkuu,

Katika dunia ya leo ya utandawazi ni lazima itaonekana kwamba na watanzania nao wametoka sana kwenda ng'ambo kutafuta maisha bora.

Sasa inategemea kwamba ni hali gani atayoikuta huko ndio inayo-determine the rest of his/her life huko aliko.

Pia mbinu alotumia ndizo zitazo-determine future ya huyo mtu iwe uanafunzi, utembezi au mengine.

Dunia ya leo tunazungumzia divercity na hali hii itaendelea kuwepo hata baada ya kizazi hiki cha sasa.

Kwa hio nami naona niishie hapa kwa sasa.
 
Mimi mbona niko huku na ninapambana na life tu licha ya kwamba kuna watoto wa vigogo wanaokula kuku kwa pesa za wavuja jasho!
Mimi ni MAN ALONE NA ninapata elimu kama ya kwao ambayo wanatumia pesa za kodi za wananchi!
Mimi niko hapa na ninajisomesha kwa jasho langu baada ya kutelekezwa na serikali yetu!
Sasa wao wanadai tumezagaa nje ya nchi? Nchi imeoza kila idara!
Na sasa hata wale walioko nchini wengine wanajuwa kuwa kuwa kwetu nje ya nchi ni wasababu ya ubinafsi wa viongozi wetu na dharau zao kwa wananchi wa kawaida!
Sasa kama hata usalama wa Taifa ni wao,Benki kuu ni wao kila kitu ni wao!
Hata NEC ambayo ndiyo hutoa viongozi wa nchi nayo imejaa watoto wa vigogo..!
Sasa sisi kina kabwela tutapewa nafasi na nani?
Kuna watu,watoto kwa vijana wenye vipaji vya hali ya juu lakini hawapewi nafasi nchini kwasababu tu hawako kwenye mtandao wa mafisadi!
 
Back
Top Bottom