Leo asubuhi hii nimesikia waziri fulani akisema wanataka takwimu za watanzania waishio nje ya nchi ili waweze kukusanya mapato yao na kupigia upatu kwenye katiba uraia wa nchi mbili...wazo hili sio baya
Je waziri huyu anafahamu ukweli huu?
1. Makampuni mengi yaliyopo ndani hayalipi kodi vizuri zaidi ya 'paye'
2. Wageni wa nje waliopo ndani wengi wanavibali feki. Mapato yao hayajakusanywa.
3. Wageni wengi waliopo chini pia hawastahili kuwepo nchini kwa kuwa hawana sifa hizo, ni mibaka uchumi.
4. Kodi nyingi ya sekta isiyo rasmi ama inayopotea kwa ujanja ujanja wa wachache ni karibu mara tatu kuliko ile inayokusanywa.
5. Wageni walioingia nchini kama wataalamu na kujivua gamba kuwa wawekezaji wamulikwe, wao wanawajua kwa kuwa ni wezi.
6.Ahakikishe wanapiga kura uchaguzi ujao wa 2015 kabla ya kutamani mapato yao.
Ningemshauri afanyie kazi hayo hapo juu kwanza kuliko kuvaa soksi wakati amekwisha vaa kiatu.
Je waziri huyu anafahamu ukweli huu?
1. Makampuni mengi yaliyopo ndani hayalipi kodi vizuri zaidi ya 'paye'
2. Wageni wa nje waliopo ndani wengi wanavibali feki. Mapato yao hayajakusanywa.
3. Wageni wengi waliopo chini pia hawastahili kuwepo nchini kwa kuwa hawana sifa hizo, ni mibaka uchumi.
4. Kodi nyingi ya sekta isiyo rasmi ama inayopotea kwa ujanja ujanja wa wachache ni karibu mara tatu kuliko ile inayokusanywa.
5. Wageni walioingia nchini kama wataalamu na kujivua gamba kuwa wawekezaji wamulikwe, wao wanawajua kwa kuwa ni wezi.
6.Ahakikishe wanapiga kura uchaguzi ujao wa 2015 kabla ya kutamani mapato yao.
Ningemshauri afanyie kazi hayo hapo juu kwanza kuliko kuvaa soksi wakati amekwisha vaa kiatu.