The Sunk Cost Fallacy 2
JF-Expert Member
- Nov 8, 2022
- 7,382
- 8,437
Tanzania tunasubiria nini Kuzuia au kuweka Kodi kubwa kwenye bidhaa za Nje ya Nchi Ili kuwasaidia mafundi Wetu hususani kwenye furnitures?
Mbona Nchi zingine zinafanya na zinaweza sie Watunga sera, Wanasiasa na wachumi Wetu Wana shida gani?
=======
Rais wa Kenya, William Ruto amepiga marufuku kuagiza vitanda kutoka china na kuwataka Wakenya kutumia kitanda kilichotengenezwa nchini humo kwani hakihitaji mambo mengi.
“Kwani kutengeneza kitanda hapa si unahitaji mbao, nyundo, randa na msumari, kama hutaki kulala kwa hiyo kitanda lala chichi mpaka ukubali kulala kwa hiyo kitanda.” – Rais William Ruto
EA Radio
Mbona Nchi zingine zinafanya na zinaweza sie Watunga sera, Wanasiasa na wachumi Wetu Wana shida gani?
=======
Rais wa Kenya, William Ruto amepiga marufuku kuagiza vitanda kutoka china na kuwataka Wakenya kutumia kitanda kilichotengenezwa nchini humo kwani hakihitaji mambo mengi.
“Kwani kutengeneza kitanda hapa si unahitaji mbao, nyundo, randa na msumari, kama hutaki kulala kwa hiyo kitanda lala chichi mpaka ukubali kulala kwa hiyo kitanda.” – Rais William Ruto
EA Radio