Wacha1
JF-Expert Member
- Dec 21, 2009
- 16,681
- 8,233
Usiende nje ya nchi ukitegemea umoja wa WTZ kukusaidia. Kitu muhimu ni kufahamu sheria ambazo zinakulinda ukiwa ugenini, mfano kuwasiliana na ubalozi wa nchi yako na kuwaeleza upo pale kwa shughuli gani utakuwepo kwa muda gani nk. Pindi ukishikwa kitu cha kwanza popote pale utakapokuwepo unawasiliana nao na kuwaambia upo wapi nk. Kama wamekufunga jela na watakupeleka mahakamani au watakurudisha TZ etc.
Jambo jingine ni kuwa na fweza za kuweza kulipa kwa wakili ambaye atakuwakilisha kwenye jambo lolote kama unafanya biashara yenye faida nzuri vile vile kuwa na uhalali wa kuwepo pale. Usiingie kwa njia za panya, nenda na passport na uvuke mpaka kihalali. Know your rights na angalia shughuli unayofanya kama unaruhusiwa kuifanya, usijiingize kwenye biashara ambayo ni ya magendo au pengine wageni hawaruhusiwi kuifanya, declare mali zako kama ni za kuuza na uwe na risiti etc. Usiingize mzigo kwa magendo fuata njia halali ingawaje faida inaweza kuwa ndogo in a long term itajilipa.
Jambo jingine ni kuwa na fweza za kuweza kulipa kwa wakili ambaye atakuwakilisha kwenye jambo lolote kama unafanya biashara yenye faida nzuri vile vile kuwa na uhalali wa kuwepo pale. Usiingie kwa njia za panya, nenda na passport na uvuke mpaka kihalali. Know your rights na angalia shughuli unayofanya kama unaruhusiwa kuifanya, usijiingize kwenye biashara ambayo ni ya magendo au pengine wageni hawaruhusiwi kuifanya, declare mali zako kama ni za kuuza na uwe na risiti etc. Usiingize mzigo kwa magendo fuata njia halali ingawaje faida inaweza kuwa ndogo in a long term itajilipa.