Fala kama fala anajiona mjanja kumbe limbukeni tuKuwa lengo lenu Kuu la hii Treni yenu ya SGR ni Kusafirisha hasa Mizigo na Abiria ni kama Bonus tu ya Huduma.
Halafu nikiwadharau mnanichukia!!!
Hata likiwa la Kipumbavu kama ulivyo Mpumbavu?Tujifunze kushukuru kwa kila Jambo
Kama Mama yako Aliyekuzaa.Fala kama fala anajiona mjanja kumbe limbukeni tu
Kwa speed ya ngapi ,acha kutudanganya hapa,sana sana utatumia matatu na hapo hujafuata speed limit ya barabaraniMimi kutoka Dar hadi Moro kwa gari natumia masaa mawili tu. Ina maana ninafika mapema kuliko treni ya umeme wa bongo. Kwanza nasikia umeme ulikatika katikati ya safari. Kazi kwelikweli
Kabisa ni masaa matano moro to dar mnakua mmefika shekilango ,kutokea dar moro yanaweza kua manne na nusu sababu moro hakuna foleniHakuna basi la Dar morogoro linatumia masaa mawili uongo minimum masaa matano
Hilo taahiraKama Mama yako Aliyekuzaa.
Ndo umeandika nini hapa au ume lewa?GENTAMYCINE nikisikia au niliambiwa Treni ya SGR itatumia saa 2 na dakika 30 au hata na dakika 45 kidogo nitaona imefanikiwa ila hili la kutoka Dar hadi Moro kutumia Saa 2 na dakika 20 naona ni Kufeli kwa Mradi na Mpango kwa Maendeleo ya Taifa, Muda na Uimarishwaji wa Uchumi wa Tanzania na Watanzania.
Mule walipandushwa wakina baba level...machawa unategemea nini tena
Ova
Kama Mama yako Aliyekuzaa na Basha wako.Hilo taahira
Taahira Mama yako Aliyekuzaa na siyo Mimi sawa? Tuheshimiane tafadhali..We tailahuo nimudawamajalibio
Mbona unahasira sana mkuu, tupe utabiri wa jumamosi na ijumaaTaahira Mama yako Aliyekuzaa na siyo Mimi sawa? Tuheshimiane tafadhali..
.
Jamani si tumeambiwa treni linakimbia 160kmph?Muandishi wa habari wa EATV alisema ni dakika 75 tu
Huwa mnapenda sana Kukimbilia kuniona Mkorofi pale nikiwajibu Wanaonichokoza na Kunidhalilisha kwa Matusi ya kila aina hapa JamiiForums ila huwa mnanyamaza na Kufurahia pale Wao wakianza kufanya hivyo Kwangu. Wanafiki na Wapumbavu wakubwa nyie.Mbona unahasira sana mkuu, tupe utabiri wa jumamosi na ijumaa