ram
JF-Expert Member
- Oct 5, 2007
- 9,253
- 8,343
Kazi ipo! Jina Nyerere ni tishio Arumeru, hadi ifike tarehe 1 mapovu yatawatoka sana, inaonesha Vicent anawanyima usingizi viongozi wa ccm.
Lakini mbona iko wazi tu, Vicent ni mwanaukoo tu katika ukoo wa Nyerere, anaitwa Vicent Josephat Kiboko Nyerere, Wasira, Mkapa sijui nani wote wanalijua hili na huyu kijana hayuko Arumeru kwasababu anatumia jina la Nyerere, yuko pale kama mwanaCHADEMA na ndiye meneja wa kampeni za Chadema hapo Arumeru, sasa kina wasira mapovu yanawatoka.
Mbona hawamsemi yule mbuge wa viti maalum anaetumia jina la Nyerere, na yule alikuwa ni mke wa Madaraka Julius Kambarage Nyerere, na ndoa yao ilishavunjika lakini mbona anatumia jina la Nyerere? Why Vicent Nyerere ambaye huyo mwenye jina Nyerere ni babu yake kabisa?
Ninyi CCM ninyi, mmekosa sera kabisa, na ninawaambia mkiendelea na huu ujinga wenu jimbo mnalipoteza hilo, mmefikia hatua mnapiga kampeni eti Sioi achaguliwe ili apate mshahara wa kutunza familia kwasababu ameachiwa mzigo mkubwa wa kutunza familia? Hii ni sera au ni ujinga? hay endeleeni na ujinga wenu mtakalia Nyerere, sijui sioi kaachiwa familia, wenzenu wanzidi kujipanga,tarehe 1 april jimbo hiloooooooo linago
Lakini mbona iko wazi tu, Vicent ni mwanaukoo tu katika ukoo wa Nyerere, anaitwa Vicent Josephat Kiboko Nyerere, Wasira, Mkapa sijui nani wote wanalijua hili na huyu kijana hayuko Arumeru kwasababu anatumia jina la Nyerere, yuko pale kama mwanaCHADEMA na ndiye meneja wa kampeni za Chadema hapo Arumeru, sasa kina wasira mapovu yanawatoka.
Mbona hawamsemi yule mbuge wa viti maalum anaetumia jina la Nyerere, na yule alikuwa ni mke wa Madaraka Julius Kambarage Nyerere, na ndoa yao ilishavunjika lakini mbona anatumia jina la Nyerere? Why Vicent Nyerere ambaye huyo mwenye jina Nyerere ni babu yake kabisa?
Ninyi CCM ninyi, mmekosa sera kabisa, na ninawaambia mkiendelea na huu ujinga wenu jimbo mnalipoteza hilo, mmefikia hatua mnapiga kampeni eti Sioi achaguliwe ili apate mshahara wa kutunza familia kwasababu ameachiwa mzigo mkubwa wa kutunza familia? Hii ni sera au ni ujinga? hay endeleeni na ujinga wenu mtakalia Nyerere, sijui sioi kaachiwa familia, wenzenu wanzidi kujipanga,tarehe 1 april jimbo hiloooooooo linago