Ibrah
JF-Expert Member
- Mar 22, 2007
- 2,729
- 528
Nawakumbusha wale wasomaji wa Biblia wakati Wanadamu wanajenga mnara ili wamfikie Mungu kule Babeli (Mnara wa Babeli). Kumbuka kuwa wote walikuwa na lugha moja na kwa umoja ule, ni wazi walikuwa wafike hadi mbinguni.
Mungu alichofanya ni kuwachanganya kwa kuwapa lugha tofauti ili wasielewane. Mnara ukaishia palepale!
CCM wamechanganyikiwa kama wa-Babeli, wanapiga kampeni moja lakini hawaelewani.
Babeli umeanguka !
Mungu alichofanya ni kuwachanganya kwa kuwapa lugha tofauti ili wasielewane. Mnara ukaishia palepale!
CCM wamechanganyikiwa kama wa-Babeli, wanapiga kampeni moja lakini hawaelewani.
Babeli umeanguka !