hamjaelewa bado? Kwa ccm neno nyerere ni mtaji, cdm inaonekana kuwapiga bao kwa kumtumia memba wa familia ya JKN ktk kampen, nionavo ni kama saikolojia itawafanya wameru kuamini kuwa nyerere & family wamejiunga cdm! Hawaongei hivo kimakosa kuna jambo wanaliona hapo likiiwaaribia BWM hakumshambulia vicent kimakosa! Uwepo wa kiboko arumeru ni kichomi kwa ccm!Nimeshangazwa na aina ya kampeni za magamba,kwa mfano; Ole Sendeka amesema Wamasai wasiwasikilize watu kutoka Musoma!SWALI JE,Wasira anatoka WAPI? AMA KWEI NYANI HAONI KUNDULE.