Candid Scope
JF-Expert Member
- Nov 8, 2010
- 11,890
- 6,899
- Thread starter
- #21
Mbona unaeleza vitu nusu nusu mkuu, ujasema kama Dr Slaa ana wake wawili ujasema Dr ana watoto wa ngapi ebu tufahamishe, umetaja mambo ya kanisa tu.
Kuna anayejua kama Ritz ana mke, watoto au ana kimada? Jibu hapana, tunachojadili mada zinazohusu shughuli za kisiasa, mambo binafsi ya kifamilia tunawaachia wenyewe, hayatuhusu.