Ritz
JF-Expert Member
- Jan 1, 2011
- 46,972
- 32,374
Candid Scope, kiongozi ni kioo cha jamii tunakubaliana na hii kauli.
Last edited by a moderator:
Ndiyo sababu nimemuomba candid scope apandishe kiwango tujadili mada
Chama
Gongo la mboto DSM
Hayo mapungufu ndiyo tunayotaka myaweke hapa katika utendaji na uwanja wa siasa ayaone ili ajisahihishe.
Vp kiroho alikuwa safi?Candid Scope,
Unasema wachangiaji wengi wamekuelewa na kuona bandiko lako limekamilika sababu hawakuhoji Dr Slaa ana watoto wa ngapi na ameishaoa..
Sawa mkuu naona unachagua mazuri na kuyapamba na yale ambao utaki kuyasikia kuhusu Dr Slaa, utaki kuyajadili.
Candid Scope, kiongozi ni kioo cha jamii tunakubaliana na hii kauli.
Vp kiroho alikuwa safi?
Posho mlizokuwa mkipigania zitolewe bungeni mbona mnazisaini na kuzila je wananchi wako kwenye hali nzuri?Kweli kafanya mazuri lakini hoja ni ana mabaya aliyoyafanya?
Mimi namkubari Dr Slaa lakini si hivyo ulivyoleta mada kwa kuchagua mazur tuu(Sisi tulio chini ya jua ni wakosefu na tunamuomba mungu atusamehe japo mdamwengine atujui wapi tumeteleza)
Mkuu mimi ni mtanzania kama hao wengine labda kama sina haki kuielewa ; imeandikwa kwa kiwango cha chini sana labda kama iliandaliwa kwa wanafunzi wa shule za kata; kujishusha daraja siwezi game yangu nyingine kabisa wewe ndio unapaswa upandishe kiwango
Chama
Gongo la mboto DSM
Poor analysis
Fool of bias.
Wewe na molemo mkajipange upya!
Najivunia kiwango ni cha kuridhisha ndio maana umebaki jukwani, vinginevyo kama mada ingekuwa inakuchefua ungeshaikimbia, hahahaha, wanivunja mbavu Chama wa Gongolamboto, jamani.
Mbona unaeleza vitu nusu nusu mkuu, ujasema kama Dr Slaa ana wake wawili ujasema Dr ana watoto wa ngapi ebu tufahamishe, umetaja mambo ya kanisa tu.
Nini maana ya debate? Kwenye majadiliano hatuulizani maswali, ila tunachangia maoni, sasa hayo ambayo mimi sijayakamilisha ndo ninyi myachangie. Kwa upande mwingine si vema mada za kuchangia hapa mleta mata amalizie yote la sivyo atawakosesha wengine kuleta mengi ambayo hayajui au kutoyakamilisha.
TMP Book deparment Tabora mjini) idara ya maduka ya vitabu na usambazaji vitabu wakitumia Apple computers
Ahaa haa kiwango bado mechi ya mchangani hii wadau wameshakuambia ongeza kiwango ili tujadili uone kama hutapakimbia au uomuombe mods apige ban watu; hatutaki kutia maneno yetu ndani ya kinywa chako!
Chama
Gongo la mboto DSM
Mkuu mimi ni mtanzania kama hao wengine labda kama sina haki kuielewa ; imeandikwa kwa kiwango cha chini sana labda kama iliandaliwa kwa wanafunzi wa shule za kata; kujishusha daraja siwezi game yangu nyingine kabisa wewe ndio unapaswa upandishe kiwango
Chama
Gongo la mboto DSM
Vitabu vipi? cha John Sivalon kimo?
Mbona unaeleza vitu nusu nusu mkuu, ujasema kama Dr Slaa ana wake wawili ujasema Dr ana watoto wa ngapi ebu tufahamishe, umetaja mambo ya kanisa tu.