kuna chuo cha sanaa cha serikali kinafundisha hayo mabo hapa tz nahic itakua c uchawHabari zenu wakuu,
Kuna wale ambao hawaamini uwepo wa Mungu wala wa shetani (atheist).
Naombeni mtujuze pale mazingaombwe yanapofanyika
( mfano ya kumpasua mtu tumbo au kumtenganisha kichwa na kiwiliwili n.k) Je,
ni sayansi gani inayotumika pale?
Manaake Watu walio katika imani husema baadhi ya mazingaombwe ni uchawi,
na nyinyi ndio hamuamini uchawi wala shetani, SASA MTUAMBIE NA MTUELEWESHE NI SAYANSI GANI INAYOFANYWA WAKATI WA MAZINGAOMBWE?
hao itakuwa wanafundisha jinsi ya kumuingiza SAWAKA kwenye suruali (bila kukudhuru)nackia
kuna chuo cha sanaa cha serikali kinafundisha hayo mabo hapa tz nahic itakua c uchaw
Wanasayansi huwa hawaaminiKwahiyo unathibitisha uwepo wa Mungu kwa mazingaombwe?
Hii hapa mkuuHakuna dini inayokataa kwamba hakuna uchawi...
Rudia tena maandiko..... Nina matatizo ya kukariri mistari ningekupa reference.
Sent from mTalk
kweli mkuu nlishasikia wakikitangaza sema ckumbuki ni kiongoz gan aliekuwa anakiongelea wanadai c uchawi ule,inawezekana hata jecha alisoma chuo hicho.......................................................................................hao itakuwa wanafundisha jinsi ya kumuingiza SAWAKA kwenye suruali (bila kukudhuru)
LAKINI HAWAFUNDISHI ULE UCHAWI WA KUUGEUZA MCHANGA KUWA PILAU...
Hakuna sayansi hapo mkuu,huo ni ushetani tuHabari zenu wakuu,
Kuna wale ambao hawaamini uwepo wa Mungu wala wa shetani (atheist).
Naombeni mtujuze pale mazingaombwe yanapofanyika
( mfano ya kumpasua mtu tumbo au kumtenganisha kichwa na kiwiliwili n.k) Je,
ni sayansi gani inayotumika pale?
Manaake Watu walio katika imani husema baadhi ya mazingaombwe ni uchawi,
na nyinyi ndio hamuamini uchawi wala shetani, SASA MTUAMBIE NA MTUELEWESHE NI SAYANSI GANI INAYOFANYWA WAKATI WA MAZINGAOMBWE?
Kwani yeye amesema kipo au yupo!?? Mkuu mbona ametumia kiswahili au wewe huelewi kiswahiliHakuna kitu kinaitwa mungu. Usidanganywe. Mazingaombwe ni uchawi ambao pia hao unaowaita watumishi wa mungu wanautumia. Funguka
Afu nshakuja kustuka hadi nyie maatheist mna madhehebu!Hilo ndiyo swali lililoshindikana Dunia nzima
?
Mleta mada hujui maana ya Magic trick?
Kama hujui hata tricks zinazotumiwa basi hatuwezi kukulaumu kwa hiyo title yako hapo juu
Atheism si dini mpaka iwe na madhehebu,na wala hauna makao makuu au viongozitriga said:Afu nshakuja kustuka hadi nyie maatheist mna madhehebu!
Mwenzio hapo kasema uchunguzi bado unaendelea wewe unakuja na swala la magic trick sasa which is which?
Atheism si dini mpaka iwe na madhehebu,na wala hauna makao makuu au viongozi
Hata Monotheism[ukristo na uislam] ni tawi la Atheism
Kwasababu inapinga uwepo wa miungu mingine kama Osiris,zeus,mars au venus hata bila sababu yoyote ya msingi
Mkristo au Muislam ni atheist aliye limit u-atheism wake kwa Mungu mmoja
Kwani hata na yeye,hupinga uwepo wa miungu mingine
[Niliyoitaja hapo juu]
Mkuu na wewe,umeamini kuwa ule ni uchawi?
Tatizo la STUNTER anataka sisi ndo tumuelezee hizo trick zinafanyweje,
Jambo ambalo hatuliwezi kwasababu sisi si wanamazingaombwe
Mfano tazama hii video,
Ya mwanamke anayetenganishwa vipande viwili
Hapo wameelezea jinsi inavyofanyika,mchezo mzima upo kwa box pamoja na huyo Bi dada
Tazama kwa makini,hakuna uchawi hapo
Atheism si dini mpaka iwe na madhehebu,na wala hauna makao makuu au viongozi
Hata Monotheism[ukristo na uislam] ni tawi la Atheism
Kwasababu inapinga uwepo wa miungu mingine kama Osiris,zeus,mars au venus hata bila sababu yoyote ya msingi
Mkristo au Muislam ni atheist aliye limit u-atheism wake kwa Mungu mmoja
Kwani hata na yeye,hupinga uwepo wa miungu mingine
[Niliyoitaja hapo juu]
Mkuu na wewe,umeamini kuwa ule ni uchawi?
Tatizo la STUNTER anataka sisi ndo tumuelezee hizo trick zinafanyweje,
Jambo ambalo hatuliwezi kwasababu sisi si wanamazingaombwe
Mfano tazama hii video,
Ya mwanamke anayetenganishwa vipande viwili
Hapo wameelezea jinsi inavyofanyika,mchezo mzima upo kwa box pamoja na huyo Bi dada
Tazama kwa makini,hakuna uchawi hapo
WANAKANYAGANA SANA,Tena jana kuna mtu alileta kwenye facebook, mtu anamkata mwingine katikati na kutenganisha kuanzia tumbe kwenda juu, na miguu. Alifanya hivyo kwa watu wawili mmoja mwanaume na mwingine mwanamke. Kwisha kumaliza kuwatenganisha hivyo, akachukua kipande cha juu cha mwanamke akakiunganisha na kipande cha chini cha mwanamume, na hivyo hivyo kwa mwanamume. Viumbe hawa wawili wakasimama na kuamkuana kila mmoja akawa na sehemu ya nchi ya mwenziwe! Akili yangu ili jam!