Michelle
JF-Expert Member
- Nov 16, 2010
- 7,621
- 3,514
Haya ndo maana mnaishia kuchuna
Lakini na nyie huwa mnapenda msipo pendeka pia
Yote ni maisha,kila mtu ana haki ya kuamua analotaka na kulifanya.
Kupendwa tusiko pendwa hata nyie mnafanya hivyo si ishu,ni sehemu ya maisha yetu binadamu.......:car: