Fidel80
JF-Expert Member
- May 3, 2008
- 21,947
- 4,445
Ntakusaidia kukuonesha zinapouzwa..msaada huo ntatoa BURE..lol
Hahahaha mtumie 150/-
Ntakusaidia kukuonesha zinapouzwa..msaada huo ntatoa BURE..lol
hahahaa naomba nipunguzie 250 basi
Bora kubana uswazi tu, nyie wa mboga saba hatuwawezi bana
Umewahi kubahatika kuhongwa kiasi gani cha juu?
unaona sasa,
hebu waambie hawa wakina Michelle na Maty,
huduma ndo inayokimbiliwa hapa!!!!!!!
Unalia nini sasa Samora 10,embu nyamaza kwanza huo uso utulie ndo nikujibu manake waweza lia zaidi????:car:
Kwani nina appointment? unapewa kama kuna miahadi vinginevyo patupu :love::love::love:
we bacha wewe umesikia mimi mpiga mizinga lol ushindwe, ningekuonjesha huduma ila tatizo wewe unapenda sana visivyohalalishwa
Ntakusaidia kukuonesha zinapouzwa..msaada huo ntatoa BURE..lol
wewe michelle,Sio gharama nafuu tu
hata huduma yenyewe inayotolewa imetulia,
hakuna longolongo kule!!!!!!!!
muulize Fidel!!!!!!
ikizd sana buku5
Hivi, tukiwa tunawahonga Michelle,
na kuingia magharama yote hayo,
Na kama tukikuta huduma ni kichefuchefu,
je, mnaweza japo kurudisha gharama japo nusu tu?
si mnajua dhuluma ni dhambi kwa mungu eeeeh!!!!!!!!!
hahahahahaaaaaaaa lol basi nitatangaza miadi, niombe vocha halafu sitokei ng'o
umeshaanza na wewe Maty,
humwogopi Mungu?
Kiongozi,
Naona michelle amezaliwa Upanga, amesoma Olimpiyo, na Kisutu Girls then Scholarship UK!
Kwa mtizamo wangu - Wanawake wazuri wapo uswazi - full stop - Wale hawajui Meriedo wala nini - Lakini akivaa kigauni cha "mtumba" anapendeza kuliko hawa wanaoshinda shopping malls - and above all - they know how to make love!
unashabikiaga sana wewe bacha nashangaa leo umekuja kivingine ibarikiwe w'end hii huyo mtoto wa tandale naona kakufurahisha sana
ikizd sana buku5
Yah, Kama jasho la mtu laliwa..utanipa mia 5?
Hivi, tukiwa tunawahonga Michelle,
na kuingia magharama yote hayo,
Na kama tukikuta huduma ni kichefuchefu,
je, mnaweza japo kurudisha gharama japo nusu tu?
si mnajua dhuluma ni dhambi kwa mungu eeeeh!!!!!!!!!