bacha
JF-Expert Member
- Aug 19, 2010
- 4,282
- 797
Wenyewe ndio mwayataka hayo unakutana na mtu anaanza kuongea na simu oo lile kontena langu la simu liko njiani laja, mara unajua kuna yule nimemkopesha milioni tano ananizungusha na bla bla kibao unategemea nini? au mwingine anatoa simu tano tano mara kaongea na hii mara kaongea na hii mradi mashauzi tu lazima upigwe mzinga besides wanaume wa sasa usipomuomba tu utashangaa unaanza ombwa wewe
Hivi Maty, nikija na njaa njaa zangu,
nikawa nakutongoza, hivi kweli utanikubalia?
yaani nakupiga mzinga, kisha nakuomba na penzi!!!!hapo vipi?