Acha kuwazulia watu, watanzania ndio maana hampati maendeleo; kuzuliana tu. Wazo jema hapa ni kuvitaka vyombo husika vichukue hatua za kumbaini huyu mchonganishi wa watanzania, au huoni kuwa waraka huu unachangisha dini mbili kwa kutumia siasa?Huu waraka umeandikwa na wabaya wa CHADEMA iwe ni CCM, NCCR au vikundi fulani vya waislam nk, lakini lengo kubwa si kuchafua kanisa katoliki bali kuchafua chadema. Hisia zinaniambia Mhe. Makamba anajua huu waraka unatoka wapi. Tungekuwa na vyombo vya upelelezi makini kama FBI ni wiki moja mchawi angepatikana.
Hii 2010 mbona inakuja vibaya!!!?Salva Rweyemamu kazi yake hiyo na huo waraka umeandaliwa na jamaa mmoja ktk ofisi ya akina salva na miongoni mwa aliyeupeleka same ni dogo mmoja hivi anaishi kigurunyembe moro.
pengo lete mawazo ujenge nchi yako. JF siyo uwanja wa matusi. hapa unatakiwa umwage points kwa hoja zipi unafikiri waraka huo siyo propaganda za hao wanaosemwa. hapo utaonekana kuwa mwana tafakuri na hujawa personally dogmasified.JK hana sababu ya kuonewa huruma kwani yeye mwenyewe anajitosheleza kwa ukakamavu na uongozi thabiti,tatizo lenu mliomadogma mkipumbazwa tuu mmepambazishwa!Mtasema sana lakini ukweli utabaki palepale JK ndiye chaguo la watanzania wengi wenye kutaka amani na utulivu sasa kama nyie mnataka fujo(na tayari tunawajua kawaida yenu ni fujo hata mashuleni mlifahamika) ameni nchi na mwende kwa ndugu yenu M7 tuachieni nchi yetu
huu waraka ndio uliompeleka methodius kilaini BUKOBA!........STUKA
Huu waraka lazima umeandikwa na propaganda machinery ya CCM ili kuwadumaza wananchi waone kana kwamba Kanisa linamuonea Kikwete kwa hiyo apate sympathy ya waislamu na ndio maana umesambazwa misikitini!! Waraka wa wakisto husambazwa kanisani na unawahusu wakisto na si vinginevyo; hizi spin za watu wa aina ya Salva Rweyemamu!!
Hapa hakuna cha Methodius Kilaini wala nani...ni machinery ya ccm at peak of work!
Wanatafuta legitimacy kwa mbinu ya kijinga hawa., na bahati mbaya imestukiwa...Hizo ni alama za nyakati kwao, na wakae wakijua kwamba wakati wao wa kuwepo unahojiwa na watu...!
Mwenye macho na aone!
Pia Kanisa Katoliki wangehusika na waraka huu wangesema wazi, maana hawana tabia ya kujificha, hasa inapokuja orientation yao ya masuala ya hatima ya nchi hii. These guys are bold and they never operate in darkness for a sensitive matter like this!
Acha kuwazulia watu, watanzania ndio maana hampati maendeleo; kuzuliana tu. Wazo jema hapa ni kuvitaka vyombo husika vichukue hatua za kumbaini huyu mchonganishi wa watanzania, au huoni kuwa waraka huu unachangisha dini mbili kwa kutumia siasa?
Hizi ni fikra duni sana. Hii ni mara ya pili waraka wa aina hii kusambazwa na 'System' kwa lengo la kuiharibia Chadema ili kionekane kuwa chama cha kidini zaidi kama ilivyo CUF. Kanisa Katoliki lina wasomi waliobobea na ni 'very understanding', Kamwe hawawezi kuandika ujinga kama huo. Hivi ndivyo watu wetu wa 'system' wanavyotumika. This is very unfortunate!
Waraka huo unaendelea kudai kuwa chini ya awamu ya tatu ya Rais Alli Hassan Mwinyi, kanisa liliweza kudhibiti na kurudisha heshima yake lakini katika awamu ya nne kumekuwa na udhalilishaji wa kanisa wa kiwango cha juu.
JK hana sababu ya kuonewa huruma kwani yeye mwenyewe anajitosheleza kwa ukakamavu na uongozi thabiti,tatizo lenu mliomadogma mkipumbazwa tuu mmepambazishwa!Mtasema sana lakini ukweli utabaki palepale JK ndiye chaguo la watanzania wengi wenye kutaka amani na utulivu sasa kama nyie mnataka fujo(na tayari tunawajua kawaida yenu ni fujo hata mashuleni mlifahamika) ameni nchi na mwende kwa ndugu yenu M7 tuachieni nchi yetu
Waraka huu umeandikwa na wakatoliki kuendeleza mikakati yao kama kawaida,
Hawa jamaa wanamambo mengi ambayo mengine hivi karibuni yameshtukiwa na wa Tanzania, kamavile kusaini memorandam za siri na serikali, nk
Sasa dili lililo kuwa la siri kwa mapadre, limeshtukiwa sasa wanalikataa, mengi yatajitokeza na siri nyingi zitafumbuka, na mtawatamani sana viongozi waliokuwa wanailinda Catholic party warudi!!
This is transparency Gorverenment, ujinga wote utajulikana, na catholic mtakana mengi, unafiki unaanza kufichuka.
Yote yaliyoandikwa kwenye waraka yalikuwa tayari yanafahamika kwa watanzania anyway! sas wanakana nini? No more excuse!!!!!!