johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,014
- 142,053
Mchungaji Lusekelo wa Kanisa la Upako amesema maaskofu wa Katoliki wanapaswa kuomba radhi kwa kutoa Waraka wa namna ile
Lusekelo amesema ataliombea Kanisa Katoliki kwa Mungu wa mbinguni ili awashushie Roho Mtakatifu Wapone
Mlale Unono!
---
USEKELO: WARAKA WA TEC SI MAONI YA WATANZANIA NA WAKATOLIKI WOTE
Mchungaji Anthony Lusekelo amelitaka Baraza la Maaskofu (TEC), kutojumuisha maoni yao kuhusu Mkataba wa bandari kuwa ni maoni ya Watanzania wote, badala yake wangesema hayo ni maoni binafsi ya watu wachache waliopo kwenye Barazza la Maaskofu.
Lusekelo amesema si Wakatoliki wote wanakubaliana na huo Waraka.
Mchungaji Lusekelo "Kupinga ushonga hamuwezi kuzunguka nchi nzima lakini suala hili la Bandari kwani nauliza bandari ikiuzwa isiuzwe atuendi mbinguni"
Maana hakuna kitu haramu kama mwanaume kuolewa au ulawiti...lakini makanisa mengi huko kwa wenzetu ulaya yamebaliki ulawiti.
Mchungaji wa Kanisa la Maombezi (GRC), Anthony Lusekelo amewataka Maaskofu wa Kanisa Katoliki kuweka nguvu kupinga na kuzuia vitendo vya ndoa ya jinsia moja na ushoga badala kutoa waraka unaohusu uwekezaji wa Bandari, akisema hilo litafanywa na wanasheria na wanasiasa nchini.
Lusekelo ameyasema hayo leo wakati akiongea na waandishi wa habari kanisani kwake, jijini Dar es Salaam.
Lusekelo amesema ataliombea Kanisa Katoliki kwa Mungu wa mbinguni ili awashushie Roho Mtakatifu Wapone
Mlale Unono!
---
USEKELO: WARAKA WA TEC SI MAONI YA WATANZANIA NA WAKATOLIKI WOTE
Mchungaji Anthony Lusekelo amelitaka Baraza la Maaskofu (TEC), kutojumuisha maoni yao kuhusu Mkataba wa bandari kuwa ni maoni ya Watanzania wote, badala yake wangesema hayo ni maoni binafsi ya watu wachache waliopo kwenye Barazza la Maaskofu.
Lusekelo amesema si Wakatoliki wote wanakubaliana na huo Waraka.
Mchungaji Lusekelo "Kupinga ushonga hamuwezi kuzunguka nchi nzima lakini suala hili la Bandari kwani nauliza bandari ikiuzwa isiuzwe atuendi mbinguni"
Maana hakuna kitu haramu kama mwanaume kuolewa au ulawiti...lakini makanisa mengi huko kwa wenzetu ulaya yamebaliki ulawiti.
Mchungaji wa Kanisa la Maombezi (GRC), Anthony Lusekelo amewataka Maaskofu wa Kanisa Katoliki kuweka nguvu kupinga na kuzuia vitendo vya ndoa ya jinsia moja na ushoga badala kutoa waraka unaohusu uwekezaji wa Bandari, akisema hilo litafanywa na wanasheria na wanasiasa nchini.
Lusekelo ameyasema hayo leo wakati akiongea na waandishi wa habari kanisani kwake, jijini Dar es Salaam.